"Mie tatizo langu tofauti kidogo, Mpenzi wangu hakojoi yaani anaweza akaenda wee mpaka hata masaa mawili lakini haachii uji. Saa nyingine tunafanya mapenzi mpaka tunachoka tunaacha lakini hakojoi sasa sijui hili linasababishwa na nini? nisaidieni jamani "
Dinah anauliza:Mmekuwa pamoja kwa muda gani na Je huwa wote mnafika kileleni? Kumbuka kilele cha mwanaume au yeye kufurahia tendo sio lazima amwage uji a.k.a cream anaweza akafurahia na kufikia mshindo bila kumwaga!!
Tuesday, 10 November 2009
Wangu hakojoi, hata akienda masaa 2-Nini tatizo?
Imeandaliwa na
Dinah
on
Tuesday, November 10, 2009
0
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Monday, 9 November 2009
Ndoa na Kaka wa kambo (step Brother) ni sahihi?
"Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"
Imeandaliwa na
Dinah
on
Monday, November 09, 2009
22
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Tuesday, 3 November 2009
Ndoa inanishinda, wanangu wadogo-Nifanyaje?
"Hello dada Dinah, pole kwa majukumu mpenzi.
Mie ni mwanamke wa miaka 29 na nina watoto 2 na nipo kwenye ndoa kwa miaka 4 sasa. Tatizo langu Dada Dinah ni kubwa, naomba msaada pamoja na wanablog wote.
Mume wangu ni mfanya biashara na mie ni mfanyakazi nilieajiriwa na Institution moja kubwa tu hapa ninapoishi, sasa mume wangu hafanyi lolote katika ndoa yetu, namaanisha hajihusishi na matumizi au manunuzi au gharama zozote za kifamilia jamani.
Kila kitu naachiwa mie, kuanzia bills, matibabu, mavazi ya watoto na garama nyingine zangu kama mwanamke. Kila ninapojaribu kumuelewesha anadai hali ni ngumu, lakini hata kama ni ngumu yeye kama mwanaume si anapaswa kufanya any means apate at least chochote haiwezekani ufanye kazi then ukose hata hela ya kununua chupi jamini!
Pili ana mahusiano nje ya ndoa na hili nina ushahidi wa kutosha baada ya kusoma sms ktk simu yake akimuagizia mwanamke guest na chumba namba Fulani amkute, kuuliza tu ilikuwa ugomvi mkubwa hasa na akaamua kuweka password kwenye simu yake.
Tatu Sina hamu yoyote ya mapenzi na yeye tena, sio tu kwa sababu ya ulevi na harufu ya pombe kunikosesha hamasa pia kula anapolewa huwa hajitambui kabisa na wakati mwingine. Kingine anatumia tumbaku basi kinywa chote kinakuwa na harufu.
Mume wangu anatoka asubuhi kwenda ktk shuguli zake akirudi hiyo usiku haogi anajitupa kitandani kama mzoga bado atataka mfanye mapenzi jamani hiyo hamasa itatoka wapi ndugu zangu, na hapo wala hakutakuwa na maandalizi yoyote zaidi ya yeye aingize uume wake tu na akojoe basi.
Wakati mwingine nafikiria hata kutafuta mwanaume mwengine wa kunipa raha lakini naogopa dada Dinah kwani watoto wangu bado wadogo na nisingependa waanze kuona wazazi wana tofauti kwani wanahitaji malezi ya baba na mama bado.
Plz naomba msaada wako dada Dinah, na samahani kwa msg ndefu.
Ni mimi Dada Line."
Mie ni mwanamke wa miaka 29 na nina watoto 2 na nipo kwenye ndoa kwa miaka 4 sasa. Tatizo langu Dada Dinah ni kubwa, naomba msaada pamoja na wanablog wote.
Mume wangu ni mfanya biashara na mie ni mfanyakazi nilieajiriwa na Institution moja kubwa tu hapa ninapoishi, sasa mume wangu hafanyi lolote katika ndoa yetu, namaanisha hajihusishi na matumizi au manunuzi au gharama zozote za kifamilia jamani.
Kila kitu naachiwa mie, kuanzia bills, matibabu, mavazi ya watoto na garama nyingine zangu kama mwanamke. Kila ninapojaribu kumuelewesha anadai hali ni ngumu, lakini hata kama ni ngumu yeye kama mwanaume si anapaswa kufanya any means apate at least chochote haiwezekani ufanye kazi then ukose hata hela ya kununua chupi jamini!
Pili ana mahusiano nje ya ndoa na hili nina ushahidi wa kutosha baada ya kusoma sms ktk simu yake akimuagizia mwanamke guest na chumba namba Fulani amkute, kuuliza tu ilikuwa ugomvi mkubwa hasa na akaamua kuweka password kwenye simu yake.
Tatu Sina hamu yoyote ya mapenzi na yeye tena, sio tu kwa sababu ya ulevi na harufu ya pombe kunikosesha hamasa pia kula anapolewa huwa hajitambui kabisa na wakati mwingine. Kingine anatumia tumbaku basi kinywa chote kinakuwa na harufu.
Mume wangu anatoka asubuhi kwenda ktk shuguli zake akirudi hiyo usiku haogi anajitupa kitandani kama mzoga bado atataka mfanye mapenzi jamani hiyo hamasa itatoka wapi ndugu zangu, na hapo wala hakutakuwa na maandalizi yoyote zaidi ya yeye aingize uume wake tu na akojoe basi.
Wakati mwingine nafikiria hata kutafuta mwanaume mwengine wa kunipa raha lakini naogopa dada Dinah kwani watoto wangu bado wadogo na nisingependa waanze kuona wazazi wana tofauti kwani wanahitaji malezi ya baba na mama bado.
Plz naomba msaada wako dada Dinah, na samahani kwa msg ndefu.
Ni mimi Dada Line."
Imeandaliwa na
Dinah
on
Tuesday, November 03, 2009
13
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Monday, 2 November 2009
Sina hamu na mume wangu Kingono-Ushauri

Mambo dinah, iko hivi mume wangu alikuwa akicheat. Baada ya kuchunguza nikabaini na yeye amekili kuwa alikuwa anatoka nje yandoa yetu. Ttatizo langu ni kwamba nimeishiwa hamu ya kufanya mapenzi na mumewangu, yaani sina hamu hata kidogo.
Najaribu lakini akili yangu haiwi pale, sifurahii wala sina ile kulalamika kwa mahaba wala kumpa yale mapenzi motomoto naomba msaada wako plz. Jamila (mrs) Hans.
Dinah anasema: Mrs Hans, mambo ni shwari kabisa hapa, asante kwa kujali. Pole kwa unayokabiliana nayo, kabla sijakupa maelezo tafadhali soma topics za zamani kuhusu cheatng kwa kubonyeza hapa, hapa , hapa na hapa kwa majibu niliyompatia mwenzio aliyepatwa na same tatizo.
Ofcoz kila issue iko tofauti na nitakuja kukupa ushauri kutokana na maelezo yako.
Nitarudi kwa ajli yako.....
Imeandaliwa na
Dinah
on
Monday, November 02, 2009
8
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Sunday, 1 November 2009
Mtarajiwa kanikataza kutumia Vizuia damu na Kidole, eti....
"Pole kwa kazi nyingi D!
Mimi leo nina tatizo kama ifuatavyo, mume wangu mtarajiwa amekuwa akilalamika kuhusu vitu vifuatavyo:-
Tampax-Amenikataza kutumia pad za kujiingizia ukeni kwa madai ya kwamba zinatanua uke,
hivyo ilibidi niache na kuanza kutumia pad za kawaida tu.
Dinah anasema:Inasemekana kuwa Matumzi ya Tampax zinahusiana na matizo ukeni kwa wanawake ikiwa zinatumia mara kwa mara, wataalam wanshauri zitumike marachache sio hivyo tu bali pia inasemekana kuwa bidhaa hiyo inasababisha uke kubadili uhalisi wake ila sidhani kama ni upana.
Samahani Mimi binafsi sijwahi kuzitumia bidhaa hizo hivyo kwa vile siamini katika kuingiza vitu ambavyo sio asilia(vitu kama toys, tampax, dawa za kuzuia mimba n.k) hivyo sitoweza kukupa jibu kutokana na uzoefu ila kutokana na hadithi za kweli za baadhi ya watu ninaowafahamu.
Tampax zinatengenezwa kwa kutumia fibers ambazo ndio zinanyonya damu, inasemekana fibers hizo hubaki ukeni na kujikusanya na baada ya miezi/mwaka ukeni na zinaweza kusababisha matatizo ya kiafya na maambukizo ukeni. Tatizo kubwa linalosabishwa na matumizi ya Tampax ni TSS (Toxic Shock Syndrom), hili linaweza kuwa serious na hata kupelekea kifo.
Vidole-Hivi karibuni tulikuwa wote bafuni na akaniona jinsi ninayojisafisha ukeni kwa kujiingiza kidole, akashangaa sana na kuniambia hivyo pia ni vitu ambavyo vinachangia sana kutanua misuli ya uke!!!!!! Hajawahi niona ninavyojisafisha kwani hatuishi pamoja na kutokana na ubusy wa maisha basi huwa tunakutana wikiend kupanga mambo yetu ya ndoa.
Dinah anasema: Nadhani mpenzi wako anahitaji kutembelea blog hii, ili ajifunze mambo kuhusu wanawake na maumbile yao. Kuna vitu vinavyoweza kusababisha K kuwa pana na vyo ni:
Mosi, Utoko ukiachwa ukeni ndio inasemekana (kwa mujibu wa Dr wangu) kuwa unasababisha uke kupanuka. Inasemekana wanawake wengi wa kiafrika wana K zilizokaza kwa vile wanautamaduni wa kuondoa utoko kila siku tofauti na wale wa magharibi ambao wana K pana/kubwa.
Vilevile mwanamke ukianza ngono katika umri mdogo wakati mwili wako bado unakua/badilika basi harakati za ukuaji hu-ignore K yako ambayo kwa wakati huo itakuwa pana nahivyo utakapo kuwa mtu mzima utakuwa na K kubwa na ukadhani kuwa ulizaliwa hivyo lakini ukweli ni kuwa hakuna mtu anazaliwa tayari kapanuka K, hii ni ya pili.
Je Dinah ni kweli kujiingizia vidole kunaweza kuwa kunatanua misuli ya uke?
nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimekuwa binti na bila ya kufanya hivyo najiona kama sijakamilika vile.
Naomba ushauri wako pamoja na wadau wengine wote ambao watapenda kuchangia chochote..
Love, Fatner!"
Dinah anasema:Niambie Fatner, asante na nimekwisha poa aisee. Sasa rafiki nimeamua kukujibu hapo juu kutokana na kila point uliyogusia. Pole kwa kuhisi kuwa baadhi ya wasomaji wanakushambulia. Kama wangekushambulia hakika mimi ningewaambia wasifanye hivyo na hata kuhariri comment zao.
Ukweli ni kuwa hawajaku-attack bali wameshangazwa na hali ya kujiamini kwako na uhuru mbele ya mpenzi wako which ni kitu kizuri ila kama kimepitiliza kidogo hihihihihihi....skia mimi ni mmoja kati ya wanawake wachache wanaojiamini, niko huru na muwazi kama unavyoona ninavyofanya kazi yangu hapa lakini tangu nimekuwa mtu mzima na kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi sijawahi kuruhusu Mpenzi mume wa mimi aone ninavyojiswafi uke wangu wala ninavyobadili kizuia damu (Pad).
Hata kama tunaoga wote, siku zote nitakuwa wa mwisho kumaliza kwani mimi kama mwanamke nachukua muda kidogo bafuni ili kujinafasi na kujisafisha vilivyo bila haraka.
Ni matumaini yangu basi utakuwa umechukua maelezo ya wachangiaji wengine in possitive way.
Asante kwa ushirikiano na tafadhali mtumie link ya jinsi ya kujiswafi uke mpenzi wako ili apate Elimu ya uanamke ambayo itamsaidia kufurahi tendo even more.
Kila la kheri.
Mimi leo nina tatizo kama ifuatavyo, mume wangu mtarajiwa amekuwa akilalamika kuhusu vitu vifuatavyo:-
Tampax-Amenikataza kutumia pad za kujiingizia ukeni kwa madai ya kwamba zinatanua uke,
hivyo ilibidi niache na kuanza kutumia pad za kawaida tu.
Dinah anasema:Inasemekana kuwa Matumzi ya Tampax zinahusiana na matizo ukeni kwa wanawake ikiwa zinatumia mara kwa mara, wataalam wanshauri zitumike marachache sio hivyo tu bali pia inasemekana kuwa bidhaa hiyo inasababisha uke kubadili uhalisi wake ila sidhani kama ni upana.
Samahani Mimi binafsi sijwahi kuzitumia bidhaa hizo hivyo kwa vile siamini katika kuingiza vitu ambavyo sio asilia(vitu kama toys, tampax, dawa za kuzuia mimba n.k) hivyo sitoweza kukupa jibu kutokana na uzoefu ila kutokana na hadithi za kweli za baadhi ya watu ninaowafahamu.
Tampax zinatengenezwa kwa kutumia fibers ambazo ndio zinanyonya damu, inasemekana fibers hizo hubaki ukeni na kujikusanya na baada ya miezi/mwaka ukeni na zinaweza kusababisha matatizo ya kiafya na maambukizo ukeni. Tatizo kubwa linalosabishwa na matumizi ya Tampax ni TSS (Toxic Shock Syndrom), hili linaweza kuwa serious na hata kupelekea kifo.
Vidole-Hivi karibuni tulikuwa wote bafuni na akaniona jinsi ninayojisafisha ukeni kwa kujiingiza kidole, akashangaa sana na kuniambia hivyo pia ni vitu ambavyo vinachangia sana kutanua misuli ya uke!!!!!! Hajawahi niona ninavyojisafisha kwani hatuishi pamoja na kutokana na ubusy wa maisha basi huwa tunakutana wikiend kupanga mambo yetu ya ndoa.
Dinah anasema: Nadhani mpenzi wako anahitaji kutembelea blog hii, ili ajifunze mambo kuhusu wanawake na maumbile yao. Kuna vitu vinavyoweza kusababisha K kuwa pana na vyo ni:
Mosi, Utoko ukiachwa ukeni ndio inasemekana (kwa mujibu wa Dr wangu) kuwa unasababisha uke kupanuka. Inasemekana wanawake wengi wa kiafrika wana K zilizokaza kwa vile wanautamaduni wa kuondoa utoko kila siku tofauti na wale wa magharibi ambao wana K pana/kubwa.
Vilevile mwanamke ukianza ngono katika umri mdogo wakati mwili wako bado unakua/badilika basi harakati za ukuaji hu-ignore K yako ambayo kwa wakati huo itakuwa pana nahivyo utakapo kuwa mtu mzima utakuwa na K kubwa na ukadhani kuwa ulizaliwa hivyo lakini ukweli ni kuwa hakuna mtu anazaliwa tayari kapanuka K, hii ni ya pili.
Je Dinah ni kweli kujiingizia vidole kunaweza kuwa kunatanua misuli ya uke?
nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimekuwa binti na bila ya kufanya hivyo najiona kama sijakamilika vile.
Naomba ushauri wako pamoja na wadau wengine wote ambao watapenda kuchangia chochote..
Love, Fatner!"
Dinah anasema:Niambie Fatner, asante na nimekwisha poa aisee. Sasa rafiki nimeamua kukujibu hapo juu kutokana na kila point uliyogusia. Pole kwa kuhisi kuwa baadhi ya wasomaji wanakushambulia. Kama wangekushambulia hakika mimi ningewaambia wasifanye hivyo na hata kuhariri comment zao.
Ukweli ni kuwa hawajaku-attack bali wameshangazwa na hali ya kujiamini kwako na uhuru mbele ya mpenzi wako which ni kitu kizuri ila kama kimepitiliza kidogo hihihihihihi....skia mimi ni mmoja kati ya wanawake wachache wanaojiamini, niko huru na muwazi kama unavyoona ninavyofanya kazi yangu hapa lakini tangu nimekuwa mtu mzima na kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi sijawahi kuruhusu Mpenzi mume wa mimi aone ninavyojiswafi uke wangu wala ninavyobadili kizuia damu (Pad).
Hata kama tunaoga wote, siku zote nitakuwa wa mwisho kumaliza kwani mimi kama mwanamke nachukua muda kidogo bafuni ili kujinafasi na kujisafisha vilivyo bila haraka.
Ni matumaini yangu basi utakuwa umechukua maelezo ya wachangiaji wengine in possitive way.
Asante kwa ushirikiano na tafadhali mtumie link ya jinsi ya kujiswafi uke mpenzi wako ili apate Elimu ya uanamke ambayo itamsaidia kufurahi tendo even more.
Kila la kheri.
Imeandaliwa na
Dinah
on
Sunday, November 01, 2009
13
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
Labels:
hedhi na hasira,
pads,
tampax,
usafi wa uke,
utoko
| Unaifikiriaje hii? |
Wednesday, 28 October 2009
Mke kabadilika, bila dole la O hakieleweki-Ushauri!
"Dada Dinah nakupongeza kwa kuelimisha jamii.
Mimi ni mwanaume wa 45yrs nimeoa mke wangu ana umri wa 38yrs tuna watoto 2 na ndoa yetu ina miaka 12. Mtoto wetu wa mwisho ana 6yrs. Ndoa yetu ilikuwa ya raha ila sasa yapata mwaka tangu mke wangu abadilike baada kutoka safari kwao iliyochukua muda wa wiki mbili.
Mwanzo wa mahusiano wakati wakumwandaa kwa tendo la ndoa tulikuwa tunabusiana na kula denda na kumnyonya matiti na kumlamba kisimi naye kuninyonya mboo hadi anaomba nianze kumtomba na anakuwa kesha lainika na haichukui muda mrefu tunafika kileleni.
Lakini sasa hakubali hayo tena yaani nimuandaapo anataka nimshikeshike tu na nianzapo kumtomba ni mkavu ni kama vile hana hisia na mimi, pia huchukua muda mrefu ndipo ananiomba nimguseguse mkundu kwa kidole na ndipo huanza kunyevuka sasa ninapoendelea kuthrust in and out huniomba niingize kidole ndani kabisa mkunduni mwake hapo ndipo hufika kileleni.
Swali je anatembea nje ya ndoa na ameanza tabia ya kufirwa huko nje? Kwani sijawahi kumfanya kinyume na maumbile na sipendi. Nishaurini"
Dinah anasema: Asante kwa pongezi, nami pia nasema shukrani kwa ushirikiano wako. Natambua kuwa ni mshituko mkubwa uliupata na bila shaka umepatwa na wasiwasi mkubwa dhidi ya mkeo kutokana na maelezo ya baadhi ya wachangiaji. Kutiwa kidole mbona ni jambo la kwaida tu kwa wanawake karibu wote na mara kwa mara dole hutumiwa kama sehemu ya kumuandaa mwanamke.
Vilevile kuna baadhi ya wanaume ambao hupendwa kutiwa dole ili waongezewe raha ya kukojoa na wengine wengi hupenda kutumbukiza dole kwenye O wakati wanawatia wake/wapenzi wao wanawake ktk kuongeza manjo-njo na huwafanya wafike kunako kilele mapema zaidi.
Kichwa cha uume kikichezewa kwenye O bila kuingizwa pia hutoa raha ya aina yake ambayo ni tamu kuliko dole....na kukubali kutiwa dole au kichwa kuchezea O haina maana kuwa unaomba au kutaka kufanywa kinyume na maumbile (Tigoliwa) bali ni moja ya vionjo vya kufurahishana ndani ya uhusiano wenu wa kingono.
Hey, natumaini hujafanya uamuzi wa kizembe kufuatana na maoni Hasi ambayo ni mengi kuliko yale Chanya na labda yenye ukweli hasa kama yametolewa na wanawake au mwanaume anaejua mwili wa mwanamke vema au unaujua ANAMKE.
Mimi binafsi naamini kuwa mkeo hajaonjwa Tigo nje ya ndoa yako bali alitaka mabadiliko kidogo kutoka kwenye routine mliyokuwa nayo tangu mmekutana miaka 12 iliyopita. Kwa kawaida mwanamke hukabiliana na mabadiliko mengi tangu anapoanza kuona damu (hedhi) mpaka nakuja itwa bibi.
Mwanamke huyu anapitia hatua chache kabla haja-settle nakufurahia maisha kama mwanamke. Hatua hizi zinategemea na mwanamke mwenyewe Mf-alianza kuzaa akiwa na umri gani, anawatoto wa ngapi na kila baada ya mtoto mmoja mwanamke huyu hupumzika kwa muda gani kabla ya mimba nyingine? bila kusahau umri wake.
Mwanamke anapokuwa na umri wa miaka Mf 21-25 huwa anajifunza maisha na kujaribu kupata uzoefu wa hisia zake na mwili wake, akifikia umri wa miaka 26-35, mwanamke anakuwa anaujua mwili wake vema, anajua namna ya kufurahia tendo la ndoa/ngono, anajua kona gani zinaamsha hisia za raha na hatimae utamu wa Ngono.
Huyu mama anapofikia umri wa miaka 36+ anakuwa na ile hali ya kujiamini juu ya mwili wake na baada ya hapo anaanza kukabiliana na masuala mengine mengi ya uanamke yanayosababishwa na kikomo cha hedhi.
Lakini, ikiwa mwanamke huyu aliwahisha mabadiliko kabla ya umri wake au wewe ndio mwanaume wake wa kwanza (wote mlikutana hamna uzoefu) ni wazi kuwa kuna vitu ali-miss na anapokuwa huru (labda kafunga kizazi as hamna mpango wa kuzaa tena)baadae......yaani amezaa na watoto wakubwa ndio anaanza "kulipia" aliyo-miss kipindi alichokuwa akikabiliana na masuala ya uzazi, homono n.k.
Mwanamke huyu anahisi kujiamini juu ya mwili wake, hana hofu tena ya kunyonyesha mtoto wala hofu ya kushika mimba na hivyo anataka kupata uzoefu wa mambo tofauti kingono.
Umesema "nimuandaapo anataka nimshikeshike tu" Huyu mkeo anamiaka 38, hisia juu ya mwili wake zimebadilika hivyo basi hata ushikaji wako na ufanyaji wako unapaswa kubadilika. Tena usuikute mwenzako amegundua kona nyingine za "raha" na anapokuambia umshike inamaana mshike pale panapompa raha. Sasa kama humpatii ni wazi kuwa hatonyegeka na hivyo kutonyevuka/lainika ukeni.
Hebu mshike huyu mwanamama katika hali ya kuonyesha unavutiwa na mwili wake, sujudu Uke na Matako yake, Matiti na Mgongo wake, Mapaja na Miguu yake, Tumbo na Kiuno chake.....mpe hali ya kujiamini akiwa mtupu/uchi mbele yako na ongeza muda wa kuchezea mwili wake kwa ashiki na mahaba.
Nikijibu swali lako, mkeo hafirwi nje ya ndo ayako bali anataka mabadiliko kwenye uhusiano wenu wa kingono kwa vile sasa yupo kwenye umri ambao anaujua vema mwili wake na anataka wewe mumewe u-enjoy mwili huyo kwa kuwa mtundu na mbunifu zaidi kuliko kufanya mliyokuwa mkiyafanya miaka 11 iliyopita.
Siku hizi kuna Dinahicious ambayo imesaidia kwa kiasi kikubwa kufungua macho wadada wengi ili kufurahia ngono, kuna baadhi ya magazeti ya Udaku na baadhi ya vipindi vya Radio wanatumia Makala zangu nyingi tu which means jamii kubwa Tanzania wanapata maelezo kuhusu mahusiana yao ya kingono na wanapenda kujaribu.
Mwanamke anaweza kutafuta muda wa peke yake na akajifunza wapi panaweza kumpa raha, mwaname anatumia mokono na vidole vya kujua vipele vyake vya nje na vile vya ndani anamshirikisha mumewe/mpenzi wake mwanaume.
Nakutakia kila la kheri.
Mimi ni mwanaume wa 45yrs nimeoa mke wangu ana umri wa 38yrs tuna watoto 2 na ndoa yetu ina miaka 12. Mtoto wetu wa mwisho ana 6yrs. Ndoa yetu ilikuwa ya raha ila sasa yapata mwaka tangu mke wangu abadilike baada kutoka safari kwao iliyochukua muda wa wiki mbili.
Mwanzo wa mahusiano wakati wakumwandaa kwa tendo la ndoa tulikuwa tunabusiana na kula denda na kumnyonya matiti na kumlamba kisimi naye kuninyonya mboo hadi anaomba nianze kumtomba na anakuwa kesha lainika na haichukui muda mrefu tunafika kileleni.
Lakini sasa hakubali hayo tena yaani nimuandaapo anataka nimshikeshike tu na nianzapo kumtomba ni mkavu ni kama vile hana hisia na mimi, pia huchukua muda mrefu ndipo ananiomba nimguseguse mkundu kwa kidole na ndipo huanza kunyevuka sasa ninapoendelea kuthrust in and out huniomba niingize kidole ndani kabisa mkunduni mwake hapo ndipo hufika kileleni.
Swali je anatembea nje ya ndoa na ameanza tabia ya kufirwa huko nje? Kwani sijawahi kumfanya kinyume na maumbile na sipendi. Nishaurini"
Dinah anasema: Asante kwa pongezi, nami pia nasema shukrani kwa ushirikiano wako. Natambua kuwa ni mshituko mkubwa uliupata na bila shaka umepatwa na wasiwasi mkubwa dhidi ya mkeo kutokana na maelezo ya baadhi ya wachangiaji. Kutiwa kidole mbona ni jambo la kwaida tu kwa wanawake karibu wote na mara kwa mara dole hutumiwa kama sehemu ya kumuandaa mwanamke.
Vilevile kuna baadhi ya wanaume ambao hupendwa kutiwa dole ili waongezewe raha ya kukojoa na wengine wengi hupenda kutumbukiza dole kwenye O wakati wanawatia wake/wapenzi wao wanawake ktk kuongeza manjo-njo na huwafanya wafike kunako kilele mapema zaidi.
Kichwa cha uume kikichezewa kwenye O bila kuingizwa pia hutoa raha ya aina yake ambayo ni tamu kuliko dole....na kukubali kutiwa dole au kichwa kuchezea O haina maana kuwa unaomba au kutaka kufanywa kinyume na maumbile (Tigoliwa) bali ni moja ya vionjo vya kufurahishana ndani ya uhusiano wenu wa kingono.
Hey, natumaini hujafanya uamuzi wa kizembe kufuatana na maoni Hasi ambayo ni mengi kuliko yale Chanya na labda yenye ukweli hasa kama yametolewa na wanawake au mwanaume anaejua mwili wa mwanamke vema au unaujua ANAMKE.
Mimi binafsi naamini kuwa mkeo hajaonjwa Tigo nje ya ndoa yako bali alitaka mabadiliko kidogo kutoka kwenye routine mliyokuwa nayo tangu mmekutana miaka 12 iliyopita. Kwa kawaida mwanamke hukabiliana na mabadiliko mengi tangu anapoanza kuona damu (hedhi) mpaka nakuja itwa bibi.
Mwanamke huyu anapitia hatua chache kabla haja-settle nakufurahia maisha kama mwanamke. Hatua hizi zinategemea na mwanamke mwenyewe Mf-alianza kuzaa akiwa na umri gani, anawatoto wa ngapi na kila baada ya mtoto mmoja mwanamke huyu hupumzika kwa muda gani kabla ya mimba nyingine? bila kusahau umri wake.
Mwanamke anapokuwa na umri wa miaka Mf 21-25 huwa anajifunza maisha na kujaribu kupata uzoefu wa hisia zake na mwili wake, akifikia umri wa miaka 26-35, mwanamke anakuwa anaujua mwili wake vema, anajua namna ya kufurahia tendo la ndoa/ngono, anajua kona gani zinaamsha hisia za raha na hatimae utamu wa Ngono.
Huyu mama anapofikia umri wa miaka 36+ anakuwa na ile hali ya kujiamini juu ya mwili wake na baada ya hapo anaanza kukabiliana na masuala mengine mengi ya uanamke yanayosababishwa na kikomo cha hedhi.
Lakini, ikiwa mwanamke huyu aliwahisha mabadiliko kabla ya umri wake au wewe ndio mwanaume wake wa kwanza (wote mlikutana hamna uzoefu) ni wazi kuwa kuna vitu ali-miss na anapokuwa huru (labda kafunga kizazi as hamna mpango wa kuzaa tena)baadae......yaani amezaa na watoto wakubwa ndio anaanza "kulipia" aliyo-miss kipindi alichokuwa akikabiliana na masuala ya uzazi, homono n.k.
Mwanamke huyu anahisi kujiamini juu ya mwili wake, hana hofu tena ya kunyonyesha mtoto wala hofu ya kushika mimba na hivyo anataka kupata uzoefu wa mambo tofauti kingono.
Umesema "nimuandaapo anataka nimshikeshike tu" Huyu mkeo anamiaka 38, hisia juu ya mwili wake zimebadilika hivyo basi hata ushikaji wako na ufanyaji wako unapaswa kubadilika. Tena usuikute mwenzako amegundua kona nyingine za "raha" na anapokuambia umshike inamaana mshike pale panapompa raha. Sasa kama humpatii ni wazi kuwa hatonyegeka na hivyo kutonyevuka/lainika ukeni.
Hebu mshike huyu mwanamama katika hali ya kuonyesha unavutiwa na mwili wake, sujudu Uke na Matako yake, Matiti na Mgongo wake, Mapaja na Miguu yake, Tumbo na Kiuno chake.....mpe hali ya kujiamini akiwa mtupu/uchi mbele yako na ongeza muda wa kuchezea mwili wake kwa ashiki na mahaba.
Nikijibu swali lako, mkeo hafirwi nje ya ndo ayako bali anataka mabadiliko kwenye uhusiano wenu wa kingono kwa vile sasa yupo kwenye umri ambao anaujua vema mwili wake na anataka wewe mumewe u-enjoy mwili huyo kwa kuwa mtundu na mbunifu zaidi kuliko kufanya mliyokuwa mkiyafanya miaka 11 iliyopita.
Siku hizi kuna Dinahicious ambayo imesaidia kwa kiasi kikubwa kufungua macho wadada wengi ili kufurahia ngono, kuna baadhi ya magazeti ya Udaku na baadhi ya vipindi vya Radio wanatumia Makala zangu nyingi tu which means jamii kubwa Tanzania wanapata maelezo kuhusu mahusiana yao ya kingono na wanapenda kujaribu.
Mwanamke anaweza kutafuta muda wa peke yake na akajifunza wapi panaweza kumpa raha, mwaname anatumia mokono na vidole vya kujua vipele vyake vya nje na vile vya ndani anamshirikisha mumewe/mpenzi wake mwanaume.
Nakutakia kila la kheri.
Imeandaliwa na
Dinah
on
Wednesday, October 28, 2009
20
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Subscribe to:
Posts (Atom)


