Mimi mwanamke mnye umri wa miaka 30, Elimu yangu ni Degree na nimeajiriwa. Sijawahi kuolewa na sina Mtoto.
Ningependa kukutana na mnaume Mkristo mwenye kuogopa Mungu, mwenye umri kati a 30-35, awe ameajiriwa au ajiajiri, awe serious kwani nimechoka kupotezewa muda na kudanganywa.Tuanze mawasiliano kwa nia ya kuanzisha uhusiano utakaozaa Ndoa.
Comments