tag:blogger.com,1999:blog-32428105845173478392024-03-14T11:05:03.153+03:00Dinahicious-Relationships, Love & MarriageBlog ya kwanza ya Kiswahili inayozungumzia Masuala ya Mahusiano, Mapenzi na Ndoa kwa uwazi. Karibu tuboreshe, tujifunze na kukumbushana ili sote tufurahie uumbaji wake Mungu.KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.comBlogger413125tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-30667237352302776022023-11-22T19:49:00.004+03:002023-11-22T19:49:25.686+03:00Mke Ulaya Mume Afrika...<p> ...the long suffering ones wa US, UK and Canada nyie wa Scandinavia, Spain, Italy, Germany, etc hamuolewagi...wait, huwa hamuolewi na Waafrika wenzenu na wengi ni Mama wa nyumbani (natania).</p><div><br /></div><div><br /></div><div>Dayaspora wives work several <span style="letter-spacing: 0.2px;">shifts in the cold and spend the </span><span style="letter-spacing: 0.2px;">money to support their husband's </span><span style="letter-spacing: 0.2px;">business ventures in Africa. Them ones who want something back home, they want to become somebody somewhere kule kwa Motherland. </span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;">Mnakubaliana vema tu kuwa mara 4 kwa mwaka yeye atakuwa anaenda Tanzania au Kenya(depends on their origin) na kukaa huko kwa wiki 2 mpaka mwezi "kusimamia" Mradi/Biashara, hiyo ni kila baada ya miezi 3.</span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiMeymvq4of6vYN_c7QnQCDZ16UVIc_cabBFNR_0fXyknMrCSi5ylmMiV9KNyL-3gqiJTuKmcVY1Xvlov7XNw-g9c_wTsMKWJ4b_s30PWYkvom1VAWUcMMnyF5IfmGCde_eO22lnpqH1UDXEjEZbnCOxML-DX35MCKCUufg_ZG2qQem17GkbmeiT1b6Lg4" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiMeymvq4of6vYN_c7QnQCDZ16UVIc_cabBFNR_0fXyknMrCSi5ylmMiV9KNyL-3gqiJTuKmcVY1Xvlov7XNw-g9c_wTsMKWJ4b_s30PWYkvom1VAWUcMMnyF5IfmGCde_eO22lnpqH1UDXEjEZbnCOxML-DX35MCKCUufg_ZG2qQem17GkbmeiT1b6Lg4" width="400" /></a></div> picha kutoka gazeti la The Telegraph*?</span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;">Kwasababu ya yeye kurudi kwao/kwenu mara kwa mara ni wazi kuwa haingizi kipato cha kutosha na hivyo yeye sio breadwinner isipokuwa wewe mkewe. Unajitolea mhanga ukiamini kuwa Mradi ukikamilika utaacha kufanya kazi kwa kiwango ufanyacho na Mumeo kuwa breadwinner, a provider and protected God made him to be...(to another wife in Africa). </span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><div>Diaspora wives my dear, your husband is<span style="letter-spacing: 0.2px;"> funding another wife somewhere in Afrika where he visit few times a year.</span><span style="letter-spacing: 0.2px;"> If husband goes to Tanzania* </span><span style="letter-spacing: 0.2px;">know that there is another woman</span></div><div>in there. Huenda mie nina trust issues but If my husband want to go to Afrika, Tanzania to be specific(kwa mfano) to "simamia" mradi, I would rather asimamie mbele yangu kwa maana kwamba I, myself, me and the kids will go with him twice a year. Not 4 times a year🙄</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Sasa unafanyaje kama wewe tayari ni London (popote ulipo nje ya Afrika) suffering Diaspora wife?</div><div><br /></div><div>I <span style="letter-spacing: 0.2px;">have said in this Blog years back that no Diaspora wife should </span>give her hard earned money to any man unless the business is in where she and her children lives either in UK, US , Canada etc. If he wants to do that business somewhere in Africa, let him do it all by himself with his own money. Diaspora wives, tambua hao Waume zenu wa "maisha ya sasa ni kusaidiana" maana yake ni wewe tu ndio u-work your tail off so he can use your money to fund Ua lingine Tanzania.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Mwanaume anaekupenda kwamwe hawezi kukuacha hapo unachakalika halafu yeye anakinga tu mikono kwa kisingizio cha "naendesha miradi Africa", Baba yangu aliwahi kunambia, "mwanaume(Mume) anaekupenda atabeba shida zako na kukupunguzia mzigo ili akili itulie na hivyo kumpa amani".</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Hujaumbwa kuhimili stress za kazi kiasi hicho bali Mumeo, wewe stress zako ni wakati wa Mimba, Uzazi, Elimu na mlezi ya watoto, kama unapenda kufanya kazi nje ya nyumbani ni sawa ila iwe kwa kiasi kidogo ili kutunza afya ya mwili na akili kwa faida yako na mumeo, Menopause is waiting, na kama uli-abuse sana mwili na akili yako, hali itakuwa mbaya kwako. Umewahi kusikia Mama wa nyumbani anahangaika na premenopausal? Exactly.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>I advice you to cut down work hours na mwambie akuze pumbu, asimame kama mwanaume, mume na baba wa watoto wenu na apige kazi. Akipanga kwenda Afrika dadaaa go with him, d<span style="letter-spacing: 0.2px;">on't let your African husband(hata kama kabadilisha Uraia bado ni Mwafrika) use your money to build a house and business </span>for another woman to live in. You work so hard overseas, to entrust <span style="letter-spacing: 0.2px;">it over a deceiving husband of yours? Hayo mapenzi/ndoa au Utumwa?</span></div></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;"><br /></span></div><div><span style="letter-spacing: 0.2px;">Nyie African Muzungu wives najua mna changamoto zenu, your Post is on the way. 😁</span></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Bbai.</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-84796028138849854762023-10-06T18:19:00.002+03:002023-10-06T18:19:18.074+03:00What to do when umevamba(married into these families )....<p><b> </b>Soma sehemu ya kwanza (Usiolewe kwenye familia hizi) kwa kubofya<b><span style="font-size: large;"> <a href="https://dinahicious.blogspot.com/2023/09/do-not-marry-usioeolewe-kwenye-familia.html" target="_blank">hapa</a></span></b></p><p><b>1-Washirikina, wana Imani ya Dini kupilitiliza(makanisa ya kisasa) na wanachukiana(wanaoneana wivu)</b>-Hawa huwa ni hatari wenyewe kwa wenyewe, na kujaribu kuumizana kwa kulipizana visasi au kuonyeshana nani ni nani. Ukichunguza utajua tu how they move na pengine your spouse have already told you.</p><p><br /></p><p><b>Cha kufanya: </b>Kama Imani yako ya Dini ni vuguvugu au huna kabisa, dada/kaka anza kuamini na ongeza majeshi ya Mungu, kumbuka unahitaji maombi ya nguvu na mara kadhaa kwa siku(kila siku) hivyo hakikisha una muda mwingi wa ziada vinginevyo husimami au hautoishi kwa furaha wala amani kwenye hiyo ndoa. Nakuambia hivyo kama Mama wa nyumbani mwenyewe watoto 3 na Baba yao ambae sina muda wa kuongeza nguvu kwenye maombi dhidi ya maadui wangu (maCCM). </p><p><br /></p><p>Sasa Kama wewe ni mama wa kazini niamini mimi nakuambia hutokuwa na muda wa kufanya maombi makuu daily kuilinda familia yako Dhidi ya familia ya Mume/Mkeo na maadui wengine huko mtaani na pengine Maccm au Machedema. Utakufa kwa stress(Stress husababisha maradhi ya Moyo). </p><p><br /></p><p>Hebu picture this, you as a wife(sijui ratiba ya husbands) get home from work, watoto wanakusubiri na Mumeo yupo njiani anakuhitaji, hapo hapo kuna selfcare, , lone time to relax, skincare halafu unatakiwa utoke uende Kanisani kufanya maombi makuu kwa masaa mawili, unatakiwa kuamka saa Kumi na Moja kuwahi job.....8hrs sleep where? Usitake nianze kuzungumzia Homono zinabadilika mara 4 ndani ya siku 28, hongera kama kwako ni 35days. Hapa mwenzangu, omba Talaka au mshawishi mumeo mhame Nchi halafu mnawachunia wote shenzi type.</p><p><br /></p><p><b>2-Wapenda Mikutano</b>, kila jambo lazima kuwe na kikao na jambo hilo likuzwe na liwe la Ukoo mzima. Hii utaoina mapema tu mnapoanza mahusiano, kuna siku mlipishana na mwenzio akakimbilia kwa Mama/kaka/dada nae akaitisha kikao kujadili suala hilo ambalo kiukweli halikuwa kubwa kiasi cha kuwafikia ndugu/wanafamilia.</p><p><br /></p><p><b>What to do;</b> Hameni, iwe Wilaya, Mkoa yaani live far away na ukiweza another country, pia hakikisha na kujitahidi kuweka mipaka kati yako na mkeo/mumeo, hakuna haja ya ku-share kila jambo na familia nzima. Enzi nakumbuka kwenye sherehe za kufunga ndoa, wanandoa walikuwa wanaambiwa matatizo madogo malizeni wenyewe, yale makubwa tuleteeni. Kumbuka unapolekeka jambo negative kwa wazazi/ndugu zako, wanalitunza na kumuona Mumeo/mkeo kwa namna hivyo hiyo negative no matter what, itamuondolea respect kwa ndugu zako.</p><p><br /></p><p><b>3-Karibu kila mmoja wao wa kiume alizaa nje ili kupata mtoto wa kiume</b> au wanawake wanatoka na waume za watu au/na walizaa kabla ya Ndoa(na hawajaolewa)...hawa bana, wanaruhusu cheating, yaani hawana moral wala family values. Hawa aisee hata ikitokea your spouse cheats. be sure his/her family know and they support them(wanamtunzia siri na wanatembeleana na Kimada wa mkeo/mumeo).</p><p><br /></p><p><b>Nini cha kufanya</b>: Hiyo familia niwazi hawapenzi wanawake,japokuwa wana mama na dada(wanawake pia huwa wanachukia wanawake na kuchukia uanamke wao so...). Jiweke mbali na watoto hao wa nje ya ndoa ya Mke mwenzio(mmeolewa familia moja) na Shemeji yako na waume za watu na watoto wao kama bado wanao. Mf; Wifi/Mpwa anatoka na mume wa mtu na wote kwa pamoja wanataka kuja kukutembelea, ingia mtini(kuwa busy). Kwamba hupatikani, akitaka aje peke yake bila mume wa mtu na watoto wao kama anao, wakwepe wote. Yaani kaa mbali na mikosi ya Wifi zako.</p><p><br /></p><p><b>4-Ambao hawajaondoa mavumbi(wengi wao ni wa la saba la Mkoloni, Nyerere, Mwinyi na Mkapa). </b></p><p><b>Cha kufanya;</b> Hawa, dah, wasamehe tu ila kumbuka kuweka mipaka na hakikisha hawaivuki ili kutozeana sana, vinginevyo hawa ni wale wanakuja kwako na kukuambia "this is my brother/sister's house i can do what i want"....hiyo ni nyumba yako, hapo ni kwako, wakija waheshimu sheria na mipaka uliyoiweka hapo nyumbani kwako.</p><p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidzAxtyCr_pi8KrZ8b5burAovSko-lLCkTv4bz4tWNmTH9kSMit8uX-Wo3ksdTTQNTes1IJZ7jAQzkd9e0yJvez-foocvbhF-y-i8mU1sfLebZPFZmrPcjuOLqYY8zR9gwbd27-q9ty4PpfVxt17Zj6dOcjGDrk-ltUm4w2hvTqJePA_LqbSzJkgCkmqWN/s660/family%20of%205.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="330" data-original-width="660" height="160" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidzAxtyCr_pi8KrZ8b5burAovSko-lLCkTv4bz4tWNmTH9kSMit8uX-Wo3ksdTTQNTes1IJZ7jAQzkd9e0yJvez-foocvbhF-y-i8mU1sfLebZPFZmrPcjuOLqYY8zR9gwbd27-q9ty4PpfVxt17Zj6dOcjGDrk-ltUm4w2hvTqJePA_LqbSzJkgCkmqWN/s320/family%20of%205.jpg" width="320" /></a></div> picha kutoka google<br /><p><br /></p><p><b>5-Wale wanao amini Mali au mafanikio ya ndugu kuwa ni Mali/mafanikio yao pia na vizazi vyao.</b> Hii hata mumeo/mkeo atakuwa nayo sababu kalelewa kwenye familia hiyo, hapa dada/kaka unahitaji kumuelimisha kuwa kila mmoja wenu kaja Duniani kivyake japo wote chanzo na njia ni moja, hiyo haina maana upatacho wewe ni chao na wapatacho wao ni chako. Sisi ni Mwili mmoja mbele ya Mungu na Serikali hivyo the two of us will work hard for our little family we created. If some people in your family need help and we are able, we will try our best to help them, but what is ours, is for us and our children. Okay!! Do that.</p><p><br /></p><p><b>6-Ile familia bwana'ko ndio mwanaume pekee halafu ni wa kwanza/mwisho kuzaliwa</b>. Mwambie mumeo aache u-mama na a grow some strong balls na ndevu, ajitegemee kiakili na kimawazo na kuweka mipaka, Aache kudeka na kuachia ndugu zake wam-treat kama vile anamika 12., huyu wa mwisho. </p><p><br /></p><p>Ikiwa mumeo ni kwanza kuzaliwa , da-daaaaa jiandae kupokea wifi/shemeji zako mara kwa mara na matatizo yao, watamuona mumeo kama Baba yao....hapa nenda nae taratibu, huyu yupo damaged na hajui what he is supposed to do. Muelimishe kuwa ndugu zake sio jukumu lake bali jukumu la wazazi wake, anaweza kuwasaidia pale anapoweza ila sio kuegemea kwao tu na kujisahau yeye kama mwanadamu, mume na baba kwa watoto wake,,,aweke nguvu hapo kwa watoto wake. Itachukua muda, ila with your love, respect, great sex and support atabadilika na atapona.</p><p><br /></p><p><b>7-Wasujudu mwanafamilia mmoja sababu tu anapesa au kaolewa na mwenye pesa kuwazidi wengine familiani</b>. </p><p><b>Unafanyaje;</b> Waache waendelee, maana hii doesn't concern you, unless otherwise mumeo nae yupo hivyo, hapo sasa inabidi umshushue aache ujinga/ushamba, akue na atafute pesa zake. Muonyeshe namna ya kutobabaikia watu kwasababu wanapesa ambazo hata yeye akitaka kushindana nao anaweza kuwa nazo.</p><p><br /></p><p><b>8-Mpenzi kasomeshwa kama "uwekezaji"</b> kwamba afanye ajualo ili kurudisha faida. Tangu kaanza hajamaliza tu deni? hebu mkalishe chini na kisha pigeni mahesabu kwa thamani ya pesa ya wakti ule, kama bado kuna mabaki pay back and get done. Mwambie mkeo/mumeo huwezi kuishi maisha yako yote kulipa madeni ya wazazi wako, wazazi walitakiwa kutokuzaa watoto wengi hivyo. Ulitakiwa kuzaliwa peke yako na kusomeshwa bila baggage ya ndugu zako for life(hii haina uzungu, ni common sense).</p><p><br /></p><p><b>9-Mama/Baba anakupa kipaumbele wakati kuna wakwe zake wengine kabla yako</b>. Unafanyaje, unaweza ku-enjoy but kumbuka kuwa wewe ni mgeni na unaweza kuwa chambo, nenda taratibu na kwa uangalifu, usijisahau na usiamini mtu(sikiliza. uliza maswali ila usiongezee neno)...utalibeba.</p><p><br /></p><p><b>10-Hawakutaka ndugu yao afunge ndoa na wewe</b>. </p><p><b>Cha kufanya?</b> Hapa unaweza ku manage if your husband is a very strong and have strong mind who can stand up for himself(na wewe), hii haitofanya wakupende bali wanaweza kukuheshimu, again kama mumeo yupo as nimesema hapo awali mtaishi mbali nao na will limit communication with them. Kama yeye ni mkeo, hakikisha mnaishi mbaaali na familia nzima na unamtunza binti yake vema, hakikisha hapati mashtaka kuhusu wewe kutoka sehemu ya tatu(majirani,rafiki,ndugu wanaowatembelea), maana kwa uhakika mkeo hawezi kupeleka malalamiko huko, hasa kama anakupenda.</p><p><b><br /></b></p><p><b>11-Wana maradhi ya kurithi </b>Saratani(ya Damu, Matiti, Mifupa, Mapafu, Ngozi, Tezi Dume), Kisukari, Moyo, Ukoma, Ukichaa/Akili, Upofu, Maradhi ya ngozi n.k,</p><p>Unafanyaje hapa? Unaishi kwa tahadhari, jitahidi kula vema na kujali/pima afya kwa familia nzima mara kwa mara, hakikisha Bima ya Afya in-cover maradhi hayo(usisubiri mpaka mtu augue) na kumuomba Mungu awaepushie mabalaa.</p><p><br /></p><p>Bbai.</p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-10684738563494586262023-09-24T18:45:00.003+03:002023-10-05T22:25:50.990+03:00Do not Marry (Usioe/olewe) kwenye Familia hizi...<p> </p><p>...<span style="font-size: medium;">Unafanyaje kama tayari umekosea? Wacha haraka tutafika hapo tukimaliza tangulizo...hujambo lakini? Mie, nipo hapa najongea kuwa Mama wa miaka 50 with a toddler. Natamani ningekuwa Twita oh X nikusamulie namna maisha yalivyo in my Forties. anyways, achana na hili.</span></p><p><br /></p><p><span style="font-size: medium;">Nadhani kilamtu anajua namna ya kuchagua mpenzi, mara nyingi sie wa enzi za kati(1900 we did not choose our spouses, we fell in love and do the right thing, you wa leo(2000s) choose just like in the 1800s mnatazama Pesa, afya na jinsi mnavyo kuwa treated on 1st date then do. Mimi sidhani kama tuli-date, we just fell and do(as in start relationship) and learn as we went. Hawa watoto wanafanya vema sana japo baadhi ya watu(the older ones) don't get them, these kids dont want to go through what their parent did, struggle love. Wanataka something different which I support.</span></p><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><p><span style="font-size: medium;">Umewahi kuhisi kama vile umekosea kuchagua familia, kwamba unaomba wakwe zako na ukoo mzima wangekuwa wachache labda, wajitegemee zaidi kiakili, kimaamuzi na kiuchumi. Umeshuhudia Mumeo/mkeo anasomesha na kuhudumia watoto wa dada zake, kaka zake, binamu zake na wajukuu zake....ukajisemea khee, ningefanya uchunguzi ningeepuka adha hii.</span></p><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhV7Mte8SUAJ5VAfj3bFVBJA23uNRkeT9XKFVXghlKeRgOQ4XxIAwxbPUwP9FbUXuQT_lnOr5CxSjac9jdBJhMAjTDsQeOXb-jcfVMXGAQV5jlmArpP7URHbgLbQ4EGGzdgE7H8IOXS3Hsd1Gj5-n1GRMaQVium7CYG2jLY2_WyFlhY6Rbrj4rCCw-24yqL/s750/dont%20marry%20these%20families.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-size: medium;"><img border="0" data-original-height="500" data-original-width="750" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhV7Mte8SUAJ5VAfj3bFVBJA23uNRkeT9XKFVXghlKeRgOQ4XxIAwxbPUwP9FbUXuQT_lnOr5CxSjac9jdBJhMAjTDsQeOXb-jcfVMXGAQV5jlmArpP7URHbgLbQ4EGGzdgE7H8IOXS3Hsd1Gj5-n1GRMaQVium7CYG2jLY2_WyFlhY6Rbrj4rCCw-24yqL/s320/dont%20marry%20these%20families.jpg" width="320" /></span></a></div><span style="font-size: medium;"><br /></span><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><p><span style="font-size: medium;">Mara kwa mara unaona Mmeo anakosa amani, furaha na you know for a fact sababu sio wewe wala Kazi wala Watoto, kwasababu hakuna kitu umefanya/kimetokea kinachoweza kumfanya awe down kiasi hicho. Kwasababu ni mwenza wako na unampenda ni jukumu lako to find out what is going own so that you support him but hawezi kukuambia because ni issue ya ndugu zake, haikuhusu. Bila kujua hali aliyonayo sio tu inakuathiri wewe kama mkewe bali pia watoto. Kama ni mkeo, kwa kawaida sisi huwa wepesi ku-share hata kama tunajua hayakuhusu, tutaongea/lalamika kushusha mzigo....men hawapo hivyo.</span></p><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><p><span style="font-size: medium;">Umewahi kushuhudia wake wenzio(mmeolewa familia moja) wanavyosemwa vibaya na kusingiziwa kuwa wamem-badilisha kaka/mdogo wao? Kwamba shemeji zako ambao ni kaka zao wamebadilishwa na wifi zao(na wewe ni wifi pia ila ni mpya?) Kimbia...well too late now.</span></p><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><p><span style="font-size: medium;"><b><i>Zifuatazo ni familia unatakiwa kuziepuka linapokuja suala la kufunga ndoa na ndugu yao;</i></b></span></p><p><span style="font-size: medium;">1-Wapenda Drama, iwe kwenye misiba, sherehe, maradhi au uzazi.</span></p><p><span style="font-size: medium;">2-Mama na Baba yao hawakufunga Ndoa mpaka watoto(bwana ako na ndugu zake) wamekua na Mama yao kuanza kuwalilia kuwa hakuolewa kwa sherehe hivyo mfanyieni sherehe nyie.</span></p><p><span style="font-size: medium;">3-Washirikina, wana Imani ya Dini kupilitiliza, wanachukiana(wanaoneana wivu) na wapenda Mikutano, kila jambo lazima kuwe na kikao na jambo hilo liwe la Ukoo.</span></p><p><span style="font-size: medium;">4-Karibu kila mmoja wao wa kiume alizaa nje ili kupata mtoto wa kiume au wanawake wanatoka na waume za watu au/na walizaa kabla ya Ndoa(na hawajaolewa).</span></p><p><span style="font-size: medium;">5-Ambao hawajaondoa mavumbi(wengi wao ni wa la saba la Mkoloni, Nyerere, Mwinyi na Mkapa). </span></p><p><span style="font-size: medium;">6-Wale wanao amini Mali au mafanikio ya ndugu kuwa ni Mali/mafanikio yao pia na vizazi.</span></p><p><span style="font-size: medium;">7-Ile familia bwana'ko ndio mwanaume pekee halafu wa ni kwanza au mwisho kuzaliwa.</span></p><p><span style="font-size: medium;">8-Wasujudu mwanafamilia mmoja sababu tu anapesa kuwazidi wengine.</span></p><p><span style="font-size: medium;">9-Mpenzi kasomeshwa kama "uwekezaji" kwamba afanye ajualo ili kurudisha faida.</span></p><p><span style="font-size: medium;">10-Mama/Baba anakupa kipaumbele wakati kuna wakwe zake wengine kabla yako.</span></p><p><span style="font-size: medium;">11-Hawataki ndugu yao afunge ndoa na wewe.</span></p><p><span style="font-size: medium;">12-Wana maradhi ya kurithi(Ukichaa/Akili, Kisukari, Moyo, Maini, Ukoma, Sikoseli n.k.)</span></p><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><p><span style="font-size: medium;">Enzi 1800s mtu akija kuchumbia kwenu, anapewa muda wa kusubiri jibu. Wazazi na ndugu wa karibu wanaanza shughuli ya kutafuta historia ya Familia/Ukoo wa jamaa ili kujua kama kuna hizo hekaheka 12 nilizozitaja na pengine zaidi. Once they find one "fault" which can't be justified out of 12 wanagoma kuoza binti yao kwenu, labda kama wewe ni Tajiri(wanakutoa Mhanga)😁. </span></p><p><span style="font-size: medium;"><br /></span></p><p><span style="font-size: medium;">Sasa kama tayari umevaba na umo ndoani mwaka wa 7 huu, unafanyaje?</span></p><p><span style="font-size: medium;">Njoo baadae wiki ijayo, </span></p><p><span style="font-size: medium;">Bbai.</span></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-2979143613774305202023-09-12T15:21:00.001+03:002023-09-12T15:21:19.657+03:00Tongoza Mkeo....<p> </p><p><br /></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Ni kawaida
kwako Mume (na jamii kwa ujumla) kutegemea mkeo afanye kila awezalo kuifanya
ndoa kusimama utasema kajioa mwenyewe. Kuna siku nikaamua kugugo matatizo ya
Ndoani, kila maelezo niliyoyapata kwa Kiswahili na Kiingereza, mzigo wa kuweka
mambo sawa wenye Muungano huo alibebeshwa mke.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Hakukua na
maelezo ya kutosha ambayo yanamsaidia Mume kutatatua matatizo ya ndoa zaidi ya
nini afanye akishindwa kusimamisha, Mke na Mama nani nimpende? au nini cha kufanya
ikiwa anamaliza haraka? Vipi kuhusu nini cha kufanya ikiwa umemuudhi mkeo? Nini
mbadala wa kumnunia/fokea/ignore mke wangu, kitu gani nifanye kukabiliana na mzunguuko
wa hedhi wa mke wangu baada ya kupevusha pale anapokaribia Siku zake(sio za
kufa bali Hedhi) n.k.? Kuna mengi kwenye ndoa zaidi ya Ego, Mama yako na Uume
wako.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span><span style="font-size: 14pt;">Kwenye blog
hii tutakumbushana mengi tu ambayo hayahitaji uekisipati wa jinsia bali ni
uelewa wa kawaida tu wa kusomana kwa pande zote mbili. Nakumbuka enzi
nilipokuwa Twitter kuna wakaka wawili nawaheshimu sana, walikuwa wanazungumzia
kuhusu “kuna umri ukifikia mambo kadhaa kwenye ndoa yanakuwa hayana uzito tena,
unakuwa unazingatia zaidi</span><span style="font-size: 14pt;"> </span><span style="font-size: 14pt;">uhakika wa
kipato, afya njema na furaha ya familia”, wasingegusia ndoa ningekubaliana nao
kuwa kweli baadhi ya marafiki wapenda starehe wanakuwa hawana
uzito(unawakwepa), kukaa Baa(au online) baada ya Kazi kila siku kunapoteza
thamani(unakunywa ukiwa home(unacheza na wanao).</span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt;">Basi mie na
umbeya wangu nikarukia “Convo” nikawauliza inamaana siku hizi hamtongozi wake
zenu humo ndoani? Wakachekaa, wakasema huo muda hawana….nikashangaa </span><span style="font-size: 14pt;"> </span><span style="font-size: 14pt;">hihihihi. Nikawauliza hamuhofii wake zenu
kutongozwa huko nje? Kama msemo unavyokwenda, usipompatia nyumbani/ndani,
wenzako watakusaidia huko nje.</span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Huenda mkeo
hakuambii, ila napenda ujue Kaka yangu mpendwa, Mkeo anahitaji kutongozwa mara
kadhaa kwa Mwaka, sio kila siku ila once in a while hasa akiwa kwenye mood
mbaya(anakaribia Hedhi)…usimtongoze kama vile ulivyoanzanga miaka 15 iliyopita,
mtongoze kulingana na alivyo sasa.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Mfuate-fuate(siku
hizi ndio mnaita ku-stoku? Unamstokuje mkeo), msumbue kwa kuonyesha mapenzi iwe
kwa vitendo au kwa maneno, pia unaweza kumtongoza wakati unamuandaa na wakati tendo
linaendelea. Nyumbani(Asili yetu) kuna msemo “ikiwa mumeo hakufuati-fuati kwa
maneno kutaka tendo basi ujue kuna tatizo”!<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Ni muhimu
sana kwa mkeo kuona kuwa bado unampenda na kumtamani kama ilivyokuwa awali pamoja
na mabadiliko yote aliyopitia kwa sababu yako na kwa ajili yako…you know,
Kubeba mimba na kukupa Watoto. Kurudi nyumbani kwa wakati kila siku au kusema “ahsante
mke wangu kwa chakula” sometimes haitoshi(sio kila mwanamke anahisi kutakwa sexually
kwa kupewa shukrani au kushikwa tako, wengine wanapenda kushawishiwa/tongozwa.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Je unaujua
Mzunguuko wa Mkeo wa Hedhi na unakabiliana nao vipi mwanzo mpaka mwishoni? Au
na wewe unaamua kukaa Kazini/Bar mpaka usiku wa manane halafu unakutana nae
mlangoni na Panga? (Natania).<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span><span style="font-size: 14pt;">Huo mzunguuko
ndio sababu kuu Wanawake na Uongozi is a Scam, we cannot make Big maamuzi bila
kuweka Mahisia mbele, kama sio hasira bin visirani au furaha kupitiliza basi </span><span style="font-size: 14pt;"> </span><span style="font-size: 14pt;">huruma kupitiliza. Wanaume homono zake zipo
vilevile, hazibadiliki mara 4 kwa Mwezi kama sisi. Nimetoka kwenye topic, sorry.</span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Takuona wiki
ijayo.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Bbai.</span><span style="font-size: 14pt;"> </span></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-64227188549174866982023-09-04T00:41:00.183+03:002023-09-04T15:36:21.783+03:00Je tangu umefunga Ndoa, ume-improve......Mchezo au upo vile vile? Kwamba ya nini ni-showcase au ujiboreshe wakati umeshampata, ni wako mpaka kifo? Sio sasa ni wangu wacha ni practise nae zaidi na time to time ni showcase niliyofuzu? nayo hapana? Ndoa ikibuma je utaanza kujifunza upya? hehehehe hawa wa siku hizi hawajui kusubiri, yaani hata muda wa ku-show off maujuzi hupewi.....ukitoka na hujalipia meal, umeachwa(wakati haukuwa na uhusiano nae)....hii kwa wote, wewe na mkeo/mmeo. <div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Natambua kuna kubadilika au tuseme kukua(inategemea na umri mliofunga ndoa)....uboreshaji wa tabia au mtindo wa maisha ni jambo muhimu, maana huwezi kuishi kama kijana/binti wa miaka 32 wakati sasa una miaka 47...Wataalamu wanasema kuwa Uhusiano haubadiliki bali wenza ndio hubadilika, mimi nabisha kwasababu ninyi mkibadilika/kua ni wazi kuwa mahitaji yenu yanabadilika na hivyo uhusiano mzima kubadilika. </div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Mfano; Uhusiano wenu ulivyokuwa kabla ya kufunga ndoa ni tofauti na sasa mmefunga ndoa, na uhusiano huu baada ya ndoa hubadilika baada ya kupata watoto. Kitu pekee kati yenu ambacho hakibadili ni Penzi mlionalo kwa kila mmoja wenu, Upendo uliokuwa nao mwanzo huwa ni ule ule, unaweza kuongezeka kutokana na "values" alizo-ongezea kutokana na uzoefu na changamoto mlizopitia kama wana ndoa ila haubadiliki no matter what!</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Sio tu kwamba wewe ni mtu tofauti kwa kiasi fulani tofauti na yule wa miaka 32, mahitaji yako ya kimwili pia ni tofauti(kutegemeana na ulipo kiafya/career/umri wa watoto wenu,), unaweza kujikuta unahitaji zaidi ya kila siku(kwamba sasa ni mara 4 kwa siku) au umeshuka zaidi ya mara moja kwa Wiki(and you are married? why?).<div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Kwasababu tu Mkeo/Mumeo halalamiki na kila mara anafika umpelekago haina maana anafurahia mwanzo wa safari au safari yenyewe...hata kama ni "mvumilivu hula mbivu" jamani shulti safari iwe yenye manjonjo na vionjo. Ukute mwenzako anahamisha mawazo kwa mtu mwingine ambae humtamani ila hawezi kumpata au kamuona Twitter soft "corn" na ndie anamsidia kufika....usimuulize Mkeo/Mumeo kuhusu hili, mtagombana. Jua tu hii inawezekana usipo impruvu.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Ngoja nije kwa engo tofauti, ikitokea leo hii umekutana na Mpenzi wako wa kwanza kabisa na ukalazimika kukumbushana ili kuokoa maisha ya yenu kwa uzoefu mlio nao sasa, huoni kuwa itakuwa vema kama utatumia nafasi hiyo kuonyesha ujuzi wako ambao hukua nao enzi zile ulikuwa bongolala kwa kufanya mapenzi? No? </div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Nachojaribu kusema ni hiviii, jitahidi kuboresha, kumbushia na kuongeza ujuzi, kama ambavyo unafanya kwenye maeneo mengine ya maisha yenu kama Mume na Mke. Sio kwasababu mmefunga ndoa basi ndio mmemaliza mwendo. Maisha ya ndoa kwenye kitengo cha tendo la ndoa yanaweza kuwa very boring, sasa kwa sababu mmezoeana mnachukulia poa na hakuna ari wala kujisukuma na kuweka effort kwenye kona hiyo.</div><div><br /></div><div><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRAzmFmnojeck_IhWhz2Wt7osM2speLtRVBk2rYi-OiYqO5HWLUR3w_3QEdTn31pTOgozae0Obxli1I1H93vqwXhoOFfYNiVMD1XcR8MzrIVLcjpu0QPnNZlPMs2qrsSZRW-tuDFhkJJSQs1CJV42aQn_5LbQuIaUNT5Lakur502No6nLzm8tEwwUz5tv6/s1280/boring%20marriage.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1280" data-original-width="941" height="317" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRAzmFmnojeck_IhWhz2Wt7osM2speLtRVBk2rYi-OiYqO5HWLUR3w_3QEdTn31pTOgozae0Obxli1I1H93vqwXhoOFfYNiVMD1XcR8MzrIVLcjpu0QPnNZlPMs2qrsSZRW-tuDFhkJJSQs1CJV42aQn_5LbQuIaUNT5Lakur502No6nLzm8tEwwUz5tv6/w233-h317/boring%20marriage.jpg" width="233" /></a></div> Picha kwa hisani ya Google.<br /><div><br /></div><div><br /></div><div>Ndoa ya muda mrefu (zaidi ya miaka 10) can become boring kirahisi sana kwenye sekta ya intimacy na Tendo, mtatoana mitoko kila wiki na kupoteza pesa kwenye expensive zawadi wakati mnachohitaji ni kuwasiliana kwa uwazi na kupeana/jifunza mambo mapya au kurudisha yale mliyokuwa mkiyafanya miaka 3 ya kwanza kabla watoto hawajaingilia "maisha" yenu.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Kuna ule wakati unafikiria namna gani unataka kufanywa au unakumbuka siku ile(miezi 6 iliyopita) jinsi alivyokushughulikia, unapata mhamko...unaamua kum-text mumeo/mkeo, yeye anakujibu "hebu acha utoto"😆. Improve kwa ku-practice na mwenza wako na siku moja moja show off ulichofuzu, acha uzee.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Bila kujali urefu wa ndoa yako (sijui kwa uoande wa wanaume) ila dada, Mumeo akikupitia/kumbatia kwa nyuma bado unatakiwa kusisimka/nyegeka/mtaka mumeo kimwili....anyways.</div><div><br /></div><div>Bbai.</div></div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-84760850982604320452023-08-10T17:15:00.002+03:002023-08-10T17:15:44.625+03:00Nini cha kufanya Mumeo akipoteza Kipato/Kazi?<p> </p><p class="MsoNormal">Enzi nafundwa, hakuwa kuhusu kufanya tendo la mikao/mitindo
yake tu bali pia ilikuwa kuhusu Maisha ya ndoa kwa ujumla (Uzazi,malezi ya Watoto,Vifo
na jinsi ya kukabiliana na maombolezo). Unaambiwa wazi kabisa kuna wakati Mumeo
atakosa pesa, mtafiwa na unatakiwa kufanya<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>nini <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wewe kama mke ikiwa hayo yatatokea.<o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p>
<p class="MsoNormal">Kulingana na urefu wa Ndoa yetu nimekabiliana nayo yote
hayo, hivyo nikalazimika kufanyia kazi kwa vitendo yale ambayo nilifunzwa awali,
kwasababu sikuolewa mara tu baada ya mafunzo, kuna makosa mengi nimefanya.
Baadhi ya mafunzo niliyokuwa nayakumbuka niliyaandika na kuyatunza ki-eletronic
(Unaikumbuka Dinahicious ya 2007/8?) hivyo ilikuwa rahisi kurudi <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kwenye files nakujikumbusha.<o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p>
<p class="MsoNormal">Turudi kwenye Topic ambayo ni Mwanaume na Pesa; Kwa kawaida Mwanamke
anaekupenda kiukweli huwa haonyeshi kujali wala kutaka pesa zako (kama unazo).
Mara zote anakuwa amekwishaona kuwa una potential ya kuwa na kipato cha uhakika
kwa sababu wewe ni ambitious (inategemea na unavyojibeba/jieleza). Anajua kabisa
bila kipato itakuwa ngumu kwake kuvutiwa nawe kwa muda mrefu(maisha ya ndoa), inakuwa kana vile
huna “UANAUME” kwamba hujakamilika kusimamia na kuilinda familia ikitokea
mmeamua kufunga Ndoa.<o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p><p class="MsoNormal"><o:p><br /></o:p></p><p class="MsoNormal"></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBNhhW3EQOHR9aryN9TvI_4tg_i3C51PJwa08jb_dvYpDmPM-KfhuoO41xLRLzmqQl8ZlwQp3Gyz9ovEZNvhXfCdgk_6cumjhAepZ0RRoYNLHQ969y-sEeIR7hcqAhaKlvCnnJLWculfcq12QrpzkM2suaytzhbNb6LlvUdipZG0PYZm7TqONCw1T56FTb/s1000/Mwanaume%20na%20Pesa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1000" data-original-width="1000" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBNhhW3EQOHR9aryN9TvI_4tg_i3C51PJwa08jb_dvYpDmPM-KfhuoO41xLRLzmqQl8ZlwQp3Gyz9ovEZNvhXfCdgk_6cumjhAepZ0RRoYNLHQ969y-sEeIR7hcqAhaKlvCnnJLWculfcq12QrpzkM2suaytzhbNb6LlvUdipZG0PYZm7TqONCw1T56FTb/s320/Mwanaume%20na%20Pesa.jpg" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p>
<p class="MsoNormal">Ukianza uhusiano na Mwanamke huyu atakusukuma ili kujiboresha
na hivyo kukua kiuchumi kwa kupendekeza mf uangalie uwezekano wa kubadilisha kazi,
kujiendeleza kielimu ili kuongeza uwezekano wa kufanikiwa na anapofanya hayo
anakua very loving, hakusukumi na harudii mara kwa mara…unaweza hata kusahau. Mtakapofunga
ndoa nakuanza kuishi pamoja kama Mke na Mume na sasa mna watoto. </p><p class="MsoNormal"><br /></p><p class="MsoNormal">Gharama
zimeongezeka lakini anaona unachelewa kufanya mabadiliko, anaweza kujiweka yeye
mbele na kukuambia kuwa anataka kurudi Shule ile kuboresha/ongeza kipato(anakukumbusha
kwa kinyume)….hapo kwa kawaida kama mwanaume utachukua uamuzi wa kufanya
hivyo kwasababu yeye ana majukumu mengine
na muhimu kwa Watoto wenu. Utajitahidi kumpunguzia Mzigo, vinginevyo si atakuwa
single mother with a husband? No...yes.<o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p>
<p class="MsoNormal">Kwa kawaida(asilia) mwanamke havutiwi kabisa na mwanaume
ambae hana pesa/kipato….huitaji kuwa Milionea isipokuwa uwe na uwezo wa
kurekebisha mambo na kusimama ikiwa yeye hana Kipato au Ikitokea kaamua kuwa
Mama wa nyumbani uweze kusimamia Majukumu yako kama Mume vema wakati yeye ana-focus kwenye malezi ya Watoto
wenu na kutunza nyumba yenu. Kiasilia Mkeo anahitaji uhakika na ulinzi wa
kipato kama vile wewe unavyohitaji “umiliki”, Tendo la ndoa kwa uhakika,
Heshima na Amani kutoka kwake.<o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><b> </b></p>
<p class="MsoNormal"><b> </b><b>Unatakiwa kufanya nini ikiwa Mumeo kapoteza Kazi?</b></p>
<p class="MsoNormal">Unatakiwa kumpoza na kumpa Moyo/matumaini na kumhakikishia
kuwa unaamini anaweza na kuongezea
mengine ya kiimani kulingana na mnachoamini kama familia. Kamwe
usimshushe kwa kumwambia “usijali nitaenda kuongea na Fulani atusaidie” au “usijali
naenda kutafuta kazi” na wala usi-panic
na usimpe presha ya kutafuta kipato. Jukumu lako ni kusimama nae, kumpa support
na kumpa muda(kaa kimya kuhusu issue hii nzima), kama mwanaume anajua nini cha kufanya.
Atajipa siku kadhaa au Wiki then atatoka humo ndani na akifanikisha atakujuza. <o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><o:p> </o:p></p>
<p class="MsoNormal">Hivi, mnapokwenda nje for dinner na mumeo ndiye alieandaa na kulipia, unahisi nyenyere za ajabu hata kama circle yako ipo ukavuni(baada ya kupevusha pale njia panda ya kuelekea siku Salama na Hedhini)mkifika home huwa mnakuwa
na a very hot tendo tofauti na wewe ukiandaa/lipia dinner date? Ukute ni mimi tu.</p>
<p class="MsoNormal">Haya bwana, takuona wiki ijayo.<o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal">Bai.</p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-55866193469491858812023-08-06T04:00:00.014+03:002023-08-06T04:00:00.142+03:00Sehemu ya Pili, rudisha furaha kwenye ndoa yako.<p> <span style="font-size: 12pt;">Yafuatayo yatakusaidia kurudisha furaha kwenye Ndoa yenu ikiwa mtashirikiana na kuyafanyia kazi. Yote haya mmeishawahi kuyaishi hivyo hakuna ugumu/jipya, sema tu mmezeoana so mnayachukulia kawaida, kwamba hayana "maana/umuhimu" kwa sasa.</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Wote; </span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">Acha yaliyopita huko huko yalikopita, kamwe usiayarudishe tena kwasabau tu unataka kushinda mabishano au unataka kumkumbusha mwenzio ni kiasi gani umemsamehe au namna gani alikuwa bwege hapo zamani za kale ili kumshusha na kumuumiza hisia zake(huo ni utoto).<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Wote;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> Unakumbuka enzi zile kabla hamjawa wazazi? Mlikuwa lovers, natambua hii inaweza kuwa ngumu hasa kwa sisi wanawake(wake)kwasababu katika haki halisi tumebadilika kiakili, kimwili na kiafya. Uzazi ni kujitolea mhanga, uzazi unakuja na trauma sio kimwili tu bali kiakili, Uzazi unabadilisha namna unamuona mumeo sio kwamba anapoteza umuhimu bali unahisi hakuhitaji tena kwasababu kuna kichanga.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">Waume zetu mpo vile vile kimwili kwasababu hamkubeba mimba na hamkuzaa, hivyo<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>inakuwa rahisi kwenu kama waume kusema “I want your old you” wakati yeye saa hii ni mama na “old her kwasababu hakuwahi kubeba mimba na hakuwa na Watoto”. <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Pia hiyo Old us huwa inazibwa zaidi na mapenzi yetu kwa watoto wetu na majukumu yake, by the time wamelala mama unakuwa hoi na unakosa Muda wa kutoa attention kwa baba ukidhani kuwa atakuelewa sababu umempa familia na kuilea 24/7, hyuuuu kumbe mume anadhani Watoto wake wamechukua nafasi yake.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_5_YmHM29CB3om6QT4AYIEQ27sH9Q2lTTUcytpXiXIBLRFNJJ_EOCZjrQaFi89Ltdvowgx6tWAGLaidM1OGV8y5JRpC3S0y0lEp3NPzttK1N20PWqJb6-2KGbKFyYPCH6YF9MO6WxcF1MkKDiKbcFdWGRqRbxm7V8ujrNiTEp3ig2wvFkkLFWIYt8-pU/s850/happy-married-life.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="577" data-original-width="850" height="217" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_5_YmHM29CB3om6QT4AYIEQ27sH9Q2lTTUcytpXiXIBLRFNJJ_EOCZjrQaFi89Ltdvowgx6tWAGLaidM1OGV8y5JRpC3S0y0lEp3NPzttK1N20PWqJb6-2KGbKFyYPCH6YF9MO6WxcF1MkKDiKbcFdWGRqRbxm7V8ujrNiTEp3ig2wvFkkLFWIYt8-pU/s320/happy-married-life.jpg" width="320" /></a></div><br /><o:p><br /></o:p><p></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"><br /></span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Mke;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> ikiwa Mumeo ni wale mpaka uombe kusaidiwa ndio unasaidiwa basi ni vema kukaongea nae nakuomba siku kadhaa ndani ya wiki (Mwisho wa Wiki au siku ambazo afanyi kazi) akusaidie na majukumu ya Watoto kwa kiasi Fulani hasa kama huna dada wa kazi, kama wewe una dada msaidizi huna sababu ya kushindwa kurudi kwenye “old you” na kuwa lover ndani ya miezi 3 tangu ujifungue. Wengine akina sisi tunaoishi mbali na familia tuliozaliwamo na hatuna dada wa kazi kutusaidia ni muhimu kuacha u-superwoman sijui u-kwini…huyo ni mumeo, mwambie ukizidiwa na omba akusaidie kila unapohitaji kupumzisha akili na mwili.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Mume;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> msome mkeo, unaweza kupata “old her” lakini inawezekana kabisa kuna vitu siku hizi havifanyi kazi kwake kwasababu kabadilishwa na uzazi wa Watoto wako wapendwa hivyo kuna ulazima wa kumsoma tena na kubadilisha mbinu. Mf: Unakumbuka enzi ulikuwa ukishika kiuno tu kitu na box lakini sikuhizi kiuno kinashikwa na Watoto so mkeo hawezi kupata nyege tena kwenye eneo hilo, au kinyonya titi kama alivyokuwa akinyonya mtoto pia inam-put off so badilisha unyonyaji(muulize how).<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">Badala ya kuanza kulalamika kuwa mkeo havutiwi na wewe tana kimapenzi, kumbuka kuwa mwili wake sio ule uliomkuta nao ukiwa Bikira(hakuwahi kushika mimba wala kuzaa), baada ya uzazi kwa uzoefu wangu mambo mengi yanabadilika na kuwa better kuliko awali, lakini namna ya kufika huko inakuwa tofauti na iliyokuwa awali. Msome upya mkeo(explore mwili wake) na muulize wapi panamuamsha na namna gani anataka aamshwe.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Wote;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> Acha kulalamika, kulaumu, kunug’unika na kuwa busy(marafiki, social media,Tv) unaweza usilalamike na kulaumu au kunung’unika kwasababu upo busy na social media, marafiki, kazi, Masomo n.k. Kuwa available kwa Mkeo/Mumeo wakati wote na hakikisha una-focus kwenye Ndoa yenu na sio watu wa nje ambao sio muhimu.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Mke;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> Acha kumnyima mumeo tendo la ndoa bila sababu ya msingi(kuugua), kama umechoka sana mwache afanye amalize….ilakumbuka yeye kukufanya na kumaliza sio sababu kuu ya yeye kufanya tendo na wewe, tendo la ndoa linafanyika kwenye ndoa ili ku-connect naku-renew Ndoa yenu, na ili mume usinyimwe tendo hakikisha unapunguza maudhi(kumbuka triggers za mkeo na Mzunguuko wake wa Hedhi). Ikitokea amegoma usichukulie ki-personal mara zote kama alikuwa kachoka lazima katikati ya siku atakuja ili kufanya mapenzi na wewe kwasababu anajua ni muhimu kwenu nyote kama wanandoa.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Wote;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> Acha kuangalia/sikiliza/fuatilia taarifa au Habari za watu wengine na badala yake kuwa-informed kuhusu Mkeo/Mumeo na siku yake ilivyokua, news mtatazama/sikiliza pamoja. Jitahidi kujua siku na mwenza wako nak ama kuna jambolinamsumbua au kama ana hofu yeyote(wake huwa na hofu kibao hasa linapokuja suala la Watoto na future zao)….hii sio kila siku, inaweza kuwa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>mara mbili kwa mwaka, ni muhimu sana hii kwetu wanawake.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Wote;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> Tambua ni jinsi gani akili yako inafanya kazi na ujitahidi uiweke furaha, ifunze akili yako kutoku-react/overreact, kuwaza/fikiria sana kuhusu tukio unalohisi Mkeo/mumeo kalifanya/maanisha na epuka kujitetea, jitahidi kujieleza ili ueleweke badala ya kujitetea kila wakati na kuhusu kila jambo uulizwalo au ufanyalo. Kujishuku/stukia ndio kunasababisha tabia ya kuweka ngao kujilinda kitu ambayo inaweza kumfanya mwenza wako akuhisi vibaya.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">-Wote;</span></b><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> Fungua Moyo wako, achia mapenzi yako kwa mumeo/mkeo yatawale nakuzalisha furaha, amani na comfort. Mshike, msifie, mbusu bila kuishia kufanya mapenzi na fanya yote yale ambayo unadhani ungependa mkeo/mumeo akufanyie ili ufurahi(zawadi hazihusiki kwenye hili).<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">Kumbuka Ndoa ni ya wawili, na wote mnanguvu ya kurudisha furaha humo ndoani, weka utayari, nia na ari na nina kuhakikishia mtaifurahi ndoa yetu tena.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 12pt; line-height: 17.12px;">Kila la kheri. Bai</span></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-6782645249145972592023-08-02T14:32:00.006+03:002023-08-02T14:32:52.025+03:00Namna ya kurudisha furaha Ndoani...<p> </p><p><span style="font-size: 14pt;">Hello, Jambo?</span></p><p><span style="font-size: 14pt;"><br /></span></p><p><span style="font-size: 14pt;">Kumbuka sababu kuu ya ninyi kuwa pamoja ni mapenzi na sababu ya kufunga Ndoa ni kwavile mnapendana na mnataka kuishi pamoja kwa furaha. Ulipenda na ukataka kupendwa na kufurahia Muungano wenu. Sasa kama hiyo ndio sababu kuu, kuna umuhimu gani wa kuendelea kuishi Maisha ya ndoa wakati hakuna furaha? Utasema Mapenzi, kwasababu mapenzi hayaishi obviously, jinsi mnavyozidi kuishi pamoja ndivyo ambavyo unapata sababu nyingine nyingi kwanini unapenda Mume/Mkeo.</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">Kuna wakati unaweza usipendezwe na mumeo/mkeo kutokana na matendo yake au kutokana na jinsi alivyokujibu/ongea nawe au kafanya jambo Fulani hukubaliani nalo, hii hali hutoweka mara akiomba radhi au wewe ukiamua kudharau. Hali hiyo haiondoi mapenzi yako kwa mume/mkeo.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"> </span><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJ98Q35Mp5PBwHgc3AR2sSg8168zWo27ZIRI6AW7yM5DXrfLVfJS4vg55nyqRBO0Ur70HejKPkK2D1ISj3xnjm_SBhMpD6wpybXIC9jrxnQ9VAjQ7DtJvmnSor_1FCGLtmwezg9pa2teJkDbvh-qTo6ynMa4AOQpkRBoBC4yYI2nMfP6w6LklfJ19bKok/s500/happy%20marriage.jpg" style="font-size: 14pt; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="500" data-original-width="500" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJ98Q35Mp5PBwHgc3AR2sSg8168zWo27ZIRI6AW7yM5DXrfLVfJS4vg55nyqRBO0Ur70HejKPkK2D1ISj3xnjm_SBhMpD6wpybXIC9jrxnQ9VAjQ7DtJvmnSor_1FCGLtmwezg9pa2teJkDbvh-qTo6ynMa4AOQpkRBoBC4yYI2nMfP6w6LklfJ19bKok/s320/happy%20marriage.jpg" width="320" /></a></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"><span style="font-size: 14pt;">Ule msemo wa watu wa social media kuwa “my happiness comes first” au “I choose me” ni kwa wale ambao hawana Imani (hawamuogopi Mungu) ni single au wapo kwenye Ndoa mbaya za unyanyaswaji, vipigo, mateso na masimamngo. Sie wengine ambao wenza wetu wamebadilika sababu zilizo nje ya uwezo wetu Mf; wamezaa au kupoteza </span><span style="font-size: 14pt;"> </span><span style="font-size: 14pt;">kazi/mali n.k. "your family’s happiness comes first” au tuseme “furaha</span><span style="font-size: 14pt;"> </span><span style="font-size: 14pt;"> </span><span style="font-size: 14pt;">ya mkeo/mumeo comes first”, yeye akiwa na furaha, wewe pia utakuwa na furaha na hivyo watoto yenu kufaidika pia.</span></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"><br /></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">Sasa kabla sijakukumbusha namna ya kurudisha furaha kwenye ndoa yako(ambayo siijui), sio mbaya kama tukiangalia ni vitu gani hasa vinachangia kuondoa furaha kwenye Ndoa yenu?<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">1-Mmesahau au hamzingatii zile nguzo 5 <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>zisome <a href="https://kilakitumie.blogspot.com/2021/08/nguzo-5-za-mahusoanondoa-bora.html" target="_blank">hapa</a> , <a href="https://kilakitumie.blogspot.com/2021/11/nguzo-5-za-mahusianoheshima-kwa-mumeo.html" target="_blank">hapa</a> na <a href="https://kilakitumie.blogspot.com/2021/08/nguzo-5-za-mahusiano.html" target="_blank">hapa</a> </span><span style="font-size: 14pt;">kwasababu mmemzoea kupita kiasi na sasa upo tu hapo kutimiza wajibu, mmejisahau.</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">2-Unamtolea nje/unamkataa Mumeo kimwili na hii ikitokea mumeo anakosa furaha napengine kuanza kuwaza wapi unapata tendo ama hakuvutii tena au anakasoro(inategemea na kiwango cha kujiamini kwake). Kwa kifupi Mumeo ni sensitive sana kwenye kutolewa nje kimapenzi. Yanayoendelea akilini mwake hupelekea kujitenga kihisia(anakununia), akikununia wewe unanuna back au unaanza kulalamika na matokeo yake mnazozana na mwishowe kutamkiana maneno makali au kurudisha makosa ya zamani yaliyokwisha tatuliwa(malizwa).<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">3-Wakati wote upo tayari kujitetea au ku-react, ku-over-react ni kubaya sana mara zote unaachia akili yako kwenda mbali na kutengeneza “hadithi” ili kupata majibu kwanini mkeo/mumeo kauliza alichouliza, kasema alichosema n.k. Pia wakati mwingine unaweza kuwa unafanya kitu ambacho unajia wazi kabisa mkeo/mumeo akiona ataudhika na hivyo unaweka Ngao tayari kupambana(kujitetea).<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">4-Kupeana triggers kila kukicha, kila mmoja wetu anazo ni vema ukiziweka wazi ili mwenza wako azifahamu na hivyo kuziepuka ili usiwe triggered…kuanzia Ex, baadhi ya Marafiki zake, kutoka home bila kuaga, matumizi ya pesa, malezi ya watoto, kurudi nyumbani usiku wa manane n.k.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"><br /></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;">5-Umesahau kufanya yale ambayo ulikuwa unayafanya awali mlipokuwa wapenzi, wachumba na Ndoa ilipokuwa changa. Mf, wewe Mume ulikuwa unampigia simu Mkeo na mnaongea masaa yote unapokuwa break kazini, ukiwa safari hulali mpaka usikie sauti yake, ukitoka unambusu kwa mahaba na unamjulia hali kati kati ya siku na kabla ya kurudi nyumbani unamjulisha. </span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"><br /></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt;">Habari zako na zake ndio muhimu na sio Habari za Dunia au Siasa. Mlikuwa mnazungumzia Mipango yenu ya baadae, careers, safari n.k. Mlikuwa mnafanya mapenzi kila siku(siku hizi mnafanya ngono tu), mnaenda kulala pamoja na hata kama mmekosana hamlali bila kupeana busu nyevu la usiku mwema(na kuishia kufanya mapenzi kwa hasira?), unakumbuka?</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt; line-height: 19.9733px;"><br /></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt;">Njoo tena ili tuone hatua unatakiwa kuchukua ili kurudisha furaha kwenye Ndoa yenu.</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14pt;">Bai!</span></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-10974101529757529752023-06-30T16:42:00.001+03:002023-06-30T16:42:00.139+03:00Bikira, mbona Damu haikutoka?(re-post from 2014)Habari dada dinah natumaini wewe ni mzima wa afya.<p><br />Nimekua nkifuatilia blog yako kwa ukaribu sana umekua ukitufundisha mambo mengi sana ambayo hata mie sikua nikiyafahamu hapo kabla. Pole sana kwa majukumu. Mimi ninatatizo na nimeona wewe ni wapekee ambae unaweza kunisaidia tatizo langu, siku za karbuni nimeoa Mke ambae aliniambia kua yeye ni bikra nilikubali kwa hilo.</p><p></p><p><br /></p><p>Lakini siku ya siku nilifanya nae mapenzi ikiwa ni siku ya kwanza alilalamika sana anaumia ikabidi tuache, siku ya pili tukafanya tena kwa bahati nzuri uume wangu ulifanikiwa kuingia ndani vizuri na tukamaliza tendo kwa amani. Sasa wasiwasi wangu naona kama amenidanganya coz marafiki zangu waliniambia kuwa unapofanya mapenzi na bikra lazima atoke damu kuashiria bikra yake imetoka.</p><p></p><p><br /></p><p>Mpenzi wangu hajawahi kutoka damu sasa sielewi naona kama ananicheat, naomba unisaidie dada yangu kwani nilazima mwanamke bikra atokwe na damu katka tendo la ndoa ikiwa ndo mara yake ya kwanza? </p><p><br />**********</p><p>Dinah anasema: Namshukuru Mungu kwa uzima na afya njema. Ahsante kwa ushirikiano.</p><p><br />Umenikumbusha hadithi za magazetini enzi zile nipo shule....msimulizi anaandika "Nikamlaza, nikaanza mnyonya nini na nini kisha nikaingiza...Binti akalia sana kwa maumivu, nilipomaliza nikakuta shuka lote limelowa kwa damu"....</p><p></p><p><br /></p><p>Hiyo ni fantancy, Bikira hailoweshi shuka kwa damu unless katikati ya tendo Hedhi ikaanza, au wakati wa tendo Binti kavunja ungo (inawatokea mabinti wadogo wanaolazimishwa kuolewa/bakwa) au umefanya kwa fujo sana mpaka ukamjeruhi mtoto wa watu au umembaka.</p><p></p><p><br /></p><p>Enzi zile, Usiku wa Harusi/kutolewa Bikira Shangazi/Bibi/Kungwi anakuja na kijitambaa cheupe na kukipachika Ukeni ili kujua kama Bikira imetoka. Kwamba kukiwa na tone la Damu shangwe, kikiwa kisafi Kilio....Lakini kumbuka enzi zile Mabinti wengi waliolewa wakiwa wadogo na bila mapenzi so technically walikuwa wakibakwa na wengine kuvunjishwa Ungo kabla ya siku zao hivyo Damu ilikuwa ndio ushuhuda pekee!!</p><p></p><p><br /></p><p>Pale ukeni (unapoingia uume/inapotoka damu ya Hedhi) huwa na kijiutandu ambacho kinaweza kutoka kutokana na shughuli za kimaisha au mtindo wa maisha. Mf: Binti kufanya shughuli ngumu/za kutumia nguvu katika umri mdogo (kulima, kubeba maji, kupanda ngazi (watoto wa maghorofani mpo hehehehe). Pia michezo, mfano Mpira, kuruka kamba, kuendesha Baiskeli n.k kunaondoa kile kijiutandu ambacho wengi ndio huesabu kuwa ni Bikira.</p><p></p><p><br /></p><p>Ukweli ni kuwa, Bikira ni kutokufanya tendo la ngono (kutoingiliwa/goswa na mwanaume) na pengine kutokujua utamu wa ngono via uume/sanamu/kidole/ulimi. </p><p> <br />Nikijibu swali lako.... Hapana! Sio lazima damu imtoke mwanamke mara yake ya kwanza kufanya mapenzi.Siku inayofuata baada ya tendo anaweza kuona utoko uliochanganyikana na damu kwenye chupi ikiwa aliumia/ulimchubua....inategemea ulimuingilia kwa nguvu kiasi gani. Hali hiyo inaweza kuendela kwa siku mbili-tatu kisha akawa poa, again sio lazima kuwe na damu.</p><p><br /></p><p>Mapendo tele kwako...</p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-42426576048384520612023-06-27T16:17:00.000+03:002023-06-27T16:17:01.919+03:00Mpenzi mpya, hafiki haraka, help!(Repost from 2014)Helo dinah. Dinalicious.<br />
<br />Hongera kwa kazi nzuri na pole pia.<br />
Sasa nina shida moja na nahitaji ufumbuzi wa fasta. Nina mpenzi mpya na tumefanya mara chache ila anachelewa sana kukojoa.Yaani mnaweza kuduu 1 hour lakini wapi. Siku nyingine hata hamwagi. <br />
<br />
<br /><div>Yaani ni kusuguliwa mpaka kesho kutembea au kuweka nne inakua tabu then raha yageuka karaha. Then najiskia vibaya kuwa yeye hapati orgasm mida mingi. Juzi nikiwa Saluni niliskia kwa mbali wadada wanasema kuwa Machangudoa wanambinu ya kufanya ili mwanaume akojoe fasta ili yeye asichoke aweze kuduu na wateja wengi. <br />
Sikupata nafasi ya kuuliza ila nikasema dinalicious bingwa wa manjonjo atakua anajua tu. Naomba ujuzi wako na wadau pia maoni yenu.<br />
<br />
**********<br />
<br />
<br />
<br />
Dinah anasema: Ahsante na Shukurani kwa ushirikiano.<br />
Samahani sikujibu on the day kama ulivyotaka kutokana na mishughuliko yangu ya kikazi na kifamilia. Natumaini link niliyokupatia ndani ya Blog hii itakuwa imekusaidia kwa kuanzia (nilikwisha elezea hilo miaka ya nyuma). <br />
<br />
<br />
<br />Nilidhani Machangudoa wanafanya kutokana na pesa aliolipwa/Muda alioelewana na Mteja wake na sio per Cum/Kukojoa (Ejaculate....I hate this word....I like kukojoa/Cheka/Mwaga....anyways).Since mie sifanyi Ngono kama kazi/ajira/jukumu siwezi kukupa uzoefu wa kumkojolesha mwanaume "mpya" haraka.</div><div>
<br />
<br />Kwa uzoefu wangu wa kufurahia ni muhimu(unahitaji) kumjua mpenzi wako a little bit more kabla hujakurupuka na mbinu za kutaka kumpagawisha. Zijue kona zake, ujue mwili wake....kumbuka wanaume wanatofautiana kama ilivyo kwetu wanawake. Kinacho mkojolesha Yusuf kwa Jacob kinadunda.Inawezekana kabisa ufanyaji wako "haumuiti" na kumfanya aje(kukojoa) haraka. <br />
<br />
<br />
<br />Huenda pia ndivyo alivyoumbwa kwani wapo wanaume wa namna hiyo. Punguza kubadilisha Mikao (kubadili mikao kunachelewesha kufikia Mshindo) na jaribu kuwa in control yaani umfanye yeye na ukichoka kabla "hajaja" basi muachie akufanye. Kama huwa mnafanya baada ya yeye kunywa pombe basi anaweza kuenda mpaka asubuhi na asimwage....au pengine anapiga Konyagi Makusudi ili akufurahishe kwa kwenda mwenzo mrefu.<br />
<br /><br /> <a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEieqQNY0Os-S-ksionJiQ1c8Lf_TmBJIFW5mG9UDcaJDU80F4qIDV4wvWslLL2vCILhsD63pAFAYUi51x9djYfFNd7aPGbDKdqFuOYtO-BuF08oasM2zH7YdSIos8z_w9QQeKM55PQMY9Jd3bnKPH8bfQmANlUVDkEzK-L6aSW3df8pG5kuMTImseQuIl4V/s275/Mpenzi%20mpya%20haifiki.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="183" data-original-width="275" height="183" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEieqQNY0Os-S-ksionJiQ1c8Lf_TmBJIFW5mG9UDcaJDU80F4qIDV4wvWslLL2vCILhsD63pAFAYUi51x9djYfFNd7aPGbDKdqFuOYtO-BuF08oasM2zH7YdSIos8z_w9QQeKM55PQMY9Jd3bnKPH8bfQmANlUVDkEzK-L6aSW3df8pG5kuMTImseQuIl4V/s1600/Mpenzi%20mpya%20haifiki.jpg" width="275" /></a></div><br /><div>Kama kumwaga ni muhimu sana kwako basi hakikisha hanywi pombe kabla ya kufanya mapenzi. Kitu kingine muhimu unachotakiwa kukijua ni kuwa mwanaume kufika kileleni sio Kukojoa japokuwa vyote viwili vinaweza kuambatana lakini si wakati wote mwanaume anapokojoa anakuwa ka-orgasm.<br />
<br />
<br /><br /></div><div>Muhimu ni wewe ku-focus kwenye kupata raha na kufurahia mwendo wake mrefu, mfano unaweza ukajipigia bao zako nne hivi wakati yeye bado.........bao hizo zitakusaidia kuongeza unyevu ukeni na hivyo kukuepushia maumivu na michubuko baada ya tendo. Vilevile (tangu unajua anachelewa) wekeza kwenye kilainisho (Gel) ili uwe unaongeza kila unapoanza kuhisi ukavu, pengine ukavu wa Uke wako unachangia kwenye kuchelewa. Kwavile ni mpya kwako, inawezekana pia alikotoka hajamaliza hisia (bado anahisia na Ex) hivyo anapofanya tendo anashindwa ku-focus kwenye anachokifanya hali inayomfanya aende mwendo mrefu.<br /><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Kumkojolesha haraka: Anza na kazi ya Mikono ukifuatia na kutoa mdomo wa kutosha katika mitindo tofauti(itafute humu kwenye blog angalia topics za kati ya mwaka 2007-2009)....bila haraka kwa mapenzi na huba.<br />
<br />
<br /><br /></div><div>Msome, ukiona anaufuata mdomo kila unapokwenda juu huku akitoa miguno/sauti basi ujue "tunda" limeiva....(Timing mihimu hapa)...Taratibu jiweke juu yake na uushike Uume na kuanza kuingiza taratibu huku ukiendiketa(bana misuli ya uke na kuachia hatua kwa hatua) which itafanya mwanzo wa uke kuukamata uume na kuuachia, endelea kufanya hivyo huku unaingiza mpaka nusu. Nusu Uume ndani ya Uke nusu ipo nje, rudi juu na ubakize kichwa tu ndani kisha piga Endiketa mbili ndefu alafu rudi tena moja kwa moja hadi mwisho wa Uume.<br />
<br />
<br />
<br />Huku ukijimuvuzisha hapo Uumeni, jiinamishe kiasi kuelekea kifuani kwake (ni more comfortable kwa uume kuliko kukaa Wima) na fanyia kazi "nyonyo" zake kwa kutumia mdomo huku ukitumia eneo lako la chini (kiuno na makalio) kuzunguusha kiuno na kurusha matako kwa kupokezana....hakikisha hapati pumziko, kwamba nenda na mrindimo mmoja(usibadilishe) kwa dakika 3 mpaka 5(yep unahesabu kichwani moja mpaka 60 mara 3-5 inategemea na stamina yako).<br />
<br />
<br />Uume ukiwa ndani yako, jinyooshe na umlalie kabisa kisha kunja Mguu mmoja kama vile unataka kukimbia then mpe kiuno ukichoka piga Endiketa.....kumbuka timing na fuata reaction yake....akitulia basi ongeza bidii na utundu, kula shingo kiufundi, usisahau masikio na chuchu zake.<br />
<br />
<br />
<br />
Badilisha mtindo(sio mkao), ukiwa juu na Uume still ndani panua miguu kama unapiga msamba....toa takos za kutosha Mdundiko style ile nimeokota kidude thing...(Binua matako kiasi kisha yatikise) unayatikisa huku unapokezana na kubana misuli ya uke na kukata kiuno kwa chini....timing + angalia reaction yake....<br />
<br />
<br />Ukisikia miguno huku anakushika kiuno au matako au anakubusu, anakaza msuli ya mapaja/miguu, anataka kuinuka... (inategemea na mwanaume) huku uume unaongezeka ugumu (unabana Uke) basi ujue ama anafika kileleni au anataka kukojoa au vyote.....endelea bila kupumzika mpaka amalize.<br />
<br />
<br />Usipomkojolesha kwa kutumia hii na nyingine nilizoeleza kwenye Blog miaka iliyopita (nilikupa link) basi Jamaa yako atakuwa na issues nyingine. Au pengine ninyi sio compatible kingono....anahitaji mwanamke mwenye high sex drive, mwanamke mwenye uwezo wa kukojoa mara kibao katikati ya tendo.<br />
<br />
<br />Nawewe unahitaji mwanaume wa kawaida, mwenye uwezo wa kujizuia ili ufike kisha kujiachia baada ya wewe kufikia mshindo. Since ni mpya huwezi hata kuweka the issue mezani eti, lakini kama unaumia au unahisi anakuchosha basi ni vema kuwa muwazi na kumwambia in a nice way ili usiumize hisia zake.<br />
<br />
Kila la kheri.
<br />
<br />
Mapendo tele kwako...</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-82395959561559195492023-06-14T15:07:00.000+03:002023-06-14T15:07:20.601+03:00Anachepuka, je ni sahihi kutumia Condom?Habari dada Dinah.<br />Natumai umzima wa afya na unaendelea kuendesha gurudumu la taifa.<p></p><p>Nimekua mfatialiaji mzuri wa blog yako na nimejifunza mengi hivyo na mimi leo nikaona si haba nikiomba ushauri kutoka kwako na kwa wasomaji wengine. Mimi ni mke na mama wa watoto 2. Umri wangu ni miaka 31 na niko kwenye ndoa kwa miaka 3! Naomba kufahamu kama ni sahihi kumwambia mume atumie kinga endapo atahitaji au nitahitaji kufanya nae tendo la ndoa.</p><p></p><p><br />Na hii ni kwasababu unaona dalili za kuwa mume wangu ameanza kuchepuka. Sababu zilizopelekea kuhisi hivyo ni kuwa mume analala mzungu wa nne! Hataki kabisa niguse simu yake na hata nikibahatika akiwa kalala sikuti chochote kwenye inbox wala call history zaidi ya zinazonihusu mimi!</p><p></p><p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgeYxL1CeQN70jgOnbbm3hQrPyc8a2Ye7u7labOoniuRsOqC0YQ0xbmJJ5bkBAeWpNe2Ps2qog2AJvw10gWcnKo7ztHPHk0dE3CjJ0UYbne44Rf1pwq22cpS5UDGxyT8P2yb8Trght15vmpTj9eg4fyLOudiG5GyNn_R4FUMd6p-lr059hC4d-x2qzxA/s450/mume%20anatereza%20nje.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="292" data-original-width="450" height="208" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgeYxL1CeQN70jgOnbbm3hQrPyc8a2Ye7u7labOoniuRsOqC0YQ0xbmJJ5bkBAeWpNe2Ps2qog2AJvw10gWcnKo7ztHPHk0dE3CjJ0UYbne44Rf1pwq22cpS5UDGxyT8P2yb8Trght15vmpTj9eg4fyLOudiG5GyNn_R4FUMd6p-lr059hC4d-x2qzxA/s320/mume%20anatereza%20nje.jpg" width="320" /></a></div><p>Pia kuna siku amerudi na alama kwenye bega wazungu wanasema 'love bite' huwa anakawaida ya kukaa na vest akiwa home lakin hii wiki alikua anavaa tshirt had wakat wa kulala. Na akirudi anakua na uso wa mbuzi yaani ameshajihami. Nikimsubiri chumbani nimuulize anakua ana panic na kuishia kususa!</p><p></p><p><br /></p><p>Kwa kifupi mawasiliano yetu ni hafifu sana. Nimegundua ni mtu anayependa 'ndio bwana' kwa kila kitu hii inakua ni ngumu kwa upande wangu kwa sababu maisha ya kihalisia hayapo hivo.</p><p>Naomba ushauri tafadhali.</p><p><br />*************</p><p>Dinah anasema: Ni njema, Ahsante. Shukurani kwa ushirikiano.</p><p><br />Mwanamke! Umepata zaidi ya ushahidi kuwa Mumeo sio mwaminifu, huna haja ya kumuuliza bali ni kumuwahi kwa Talaka.....Kimbiaaaa (Well mimi ndio ningefanya hivyo). Haya mdada, ni kitu gani hasa kinakufanya uendelee kukaa na huyo mwanaume kama Mumeo ambae hana utu, hakuheshimu wewe na watoto wenu,kakudhalilisha? Usiniambie watoto....!!</p><p></p><p><br />Achana na mambo ya "nikitaka ngono" jipe mkono....yeye akitaka Ngono mtolee nje ikiwezekana ita Polisi. Halafu unawezaje ku-even fikiria kufanya mapenzi na mumeo wakati unajua kwa uhakika analala na mwanamke mwingine? Huoni kinyaa?!!</p><p></p><p><br /><br /></p><p>Ni sahihi kutumia Condom na mumeo (moja kwa moja ngono, hakuna kuwekeana vidole, kunyonyana n.k.) ikiwa unahisi anatereza nje ya ndoa yenu mpaka atakapopimwa na kupewa all clear!!hiyo ni kama unadhani kufanya mapenzi na mumeo asie thamini utu wako wala ndoa yenu ni muhimu sana kwako mpaka unataka kuendelea kulala na a cheater basi ni vema mtengane ili uwe huru ku-date mtu mwingine ambae ni muaminifu(na kutumia Condom) kuliko kuhatarisha maisha yako na huyo Mumeo asiejali afya wala hisia za mkewe na watoto wake.</p><p></p><p><br />Tuone wengine watashauri vipi, mimi nakushauri ukimbie....</p><p>Kila la kheri!
<br />Mapendo tele kwako...</p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-15343026539787511582023-06-12T15:17:00.000+03:002023-06-12T15:17:36.095+03:00Mpenzi anapenda ning'ae wakati wa tendo, je nitumie nini?<span style="font-size: 180%;">"</span>Kabla ya yote naomba kukushukuru Dinah na wadau wote wa Blog hii, Kwa hakika michango yenu imenifunza mengi sana sana. Hapa Dinahicious nimejifunza mengi na ninazidi kujifunza masuala mbali mbali ya Ngono na mahusiano jinsi siku zinavyozidi kwenda. Mbarikiwe wote.<br /><br />Nikija kwenye swali langu, hivi karibuni natarajia kufunga ndoa, mimi namchumba wangu tumekuwa tukishirikiana sana kwenye suala hili la ngono ili kila moja wetu afurahi nakuridhika na kwa kweli nafurahi kusema kuwa sote tunafurahia.<div><br /></div><div><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEij2Hv-h4xufUzmZY_qNUT1V6QZyhjcdfupZqk-zGDN9Y1xFV22DUoEpYNA6fCAjoOFY2CEW7L9AHkqsfo3QfEcLMewxs-RS8ydQn3ZZv3w7M3iy1rrCj9RFO9xeBD8jZj0S6T_Oj4XznPWxvKs5AlZXmurV9VPbCsaf_BzWf4PW048X66cj81sp7k9WA/s919/Ngozi%20ng'avu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="919" data-original-width="736" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEij2Hv-h4xufUzmZY_qNUT1V6QZyhjcdfupZqk-zGDN9Y1xFV22DUoEpYNA6fCAjoOFY2CEW7L9AHkqsfo3QfEcLMewxs-RS8ydQn3ZZv3w7M3iy1rrCj9RFO9xeBD8jZj0S6T_Oj4XznPWxvKs5AlZXmurV9VPbCsaf_BzWf4PW048X66cj81sp7k9WA/s320/Ngozi%20ng'avu.jpg" width="256" /></a></div><br /><div><br /><br />Nilikuwa natabia ya kutazama Picha za Ngono kabla sijakutana na mchumba wangu, nilikuwa nahusudukuona vile actress wa picha hizo wanavyo ng'aa wanapofanya ngono nadhani ni mafuta lakini sina uhakika. Sikuwahi kufanyia udadisi wala kujaraibu kutokana na sababu kadhaa.<br /><br />Sasa nimegundua kuwa mchumba wangu nae anapenda nipake ili mwili wangu ung'ae lakini mimi sijui kama ni mafuta au ni aina ya maji yanayong'aa. Kama kuna yeyote anajua naomba mnisaidie kwa kunieleza ni bidhaa gani ile, je ni mafuta na kama ni mafuta yanaitwaje?<br /><br />Asanteni sana.<span style="font-size: 180%;">"</span></div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com16tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-82105701705026428012023-06-12T14:37:00.003+03:002023-06-12T15:04:17.506+03:00Kufundwa, K kutoa/ingiza hewa na Kuruka hedhi(re-post from 2015)Habari yako dada Dinah, habari ya kazi. Napenda sana kusoma makala zako maana zinanielimisha na kunijiza mengi. Hongera sana dada yangu.<p></p><p>Mimi ni msichana nitatimiza miaka 20 hivi karibuni, ninaomba unisaidie yafuatayo:</p><p></p><p>1-Nina tatizo, naweza kukaa nikasikia kama hewa inaingia ukeni ama kutoka. Mwanzoni nilidhani ni Mikao ya kufanya ngono maana nimewahi kuuliza nikaambiwa hivo. </p><p></p><p>Je hili tatizo linasababishwa na nini? kama ni mikao ya ngono kwasasa nina kama miezi 9 bila kushiriki ngono ila shida hii aihishi kabisa. Mara nyingine huwa nafikiri inasababishwa na kutokuvaa chupi maana mimi sipendi kabisa kuvaa chupi mara nyingi.</p><p>*******</p><p><br /></p><p>Dinah anasema: Sidhani kama kutokuvaa chupi kunasababisha hewa kuingia kwani hata ukivaa chupi bado hewa itapenya kwenye chupi na kuufikia Uke. Ungekuwa umezaa ningesema labda ulegevu wa Misuli ya kike ambayo hujirudi kwa kufanya mazoezi ya Misuli hiyo muhimu. Pia mkao wa ngono uitwaji chumamboga au bong'oa au inama, au piga magoti kisha inama halafu Mkibaba anakuingilia Ukeni akiwa nyuma yako huingiza hewa....akiingia anaingia nayo na hivyo hewa kujaa ukeni.</p><p></p><p><br /></p><p>Au pengine ni ufanyaji wa ngono kabla ya umri wa miaka 21 umelegeza misuli ya Uke wako, maana kama unamiaka 20 sasa ni wazi kuwa ulianza Ngono ukiwa mdogo si eti?!!Nakwavile bado mdogo au ulikuwa mdogo hukujua umuhimu wa kufanya mazoezi ya kukaza Misuli ya uke.</p><p></p><p><br />Vilele kama ni mpenzi (wafanya mara kwa mara bila uangalifu) wa kufanya Ngono kinyume na Maumbile inaweza kusababisha muingiliano, si wajua maumbile yetu wanawake? Hizo sehemu mbili ni "majirani" wa karibu na hivyo kusababisha "jeraha" na hivyo ukawa unajamba kupitia Ukeni?</p><p></p><p>Niliwahi kusikia kuwa kuna uhusiano kati ya hewa Ukeni na ugonjwa wa Fistula, hivyo ni vema kama ukienda kumuona Daktari Bingwa wa Magonjwa ya wanawake kwa ushauri wa Kitaalam na pengine Tiba.</p><p></p><p>Kwasasa piga Endiketa(Mazoezi ya kukaza Misuli ya Uke) za kutosha.</p><p>***************</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiy1pMLnR4jYMk4oVj2Jg7xc7ODHVHpV4IdRNjKaV8vsVMSnbqveBhkEOeO4wt7f7BDwZwNvlxmJKvGyKDXnkNAarA4fb6iueM19VPhjhzvzXbBiKhPd9O5T666J2ixCNUAP78gG-nSxjbssEldgXK0cfGoaIxQOQN7CH3e5_xiOf7i6Yh4bY87zGTCLg/s275/good%20wife.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="183" data-original-width="275" height="183" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiy1pMLnR4jYMk4oVj2Jg7xc7ODHVHpV4IdRNjKaV8vsVMSnbqveBhkEOeO4wt7f7BDwZwNvlxmJKvGyKDXnkNAarA4fb6iueM19VPhjhzvzXbBiKhPd9O5T666J2ixCNUAP78gG-nSxjbssEldgXK0cfGoaIxQOQN7CH3e5_xiOf7i6Yh4bY87zGTCLg/s1600/good%20wife.jpg" width="275" /></a></div><br /><p><br /></p><p><br /></p><p><br />2-Je kwa uzoefu wako (ujuzi wako) kufundwa kuna umuhimu? kama kuna umuhimu nisaidie unambie faida zake.</p><p><br />******</p><p>Dinah anasema: Inategemea na mtu na Ufundwaji husika. Mie nimefundwa baada ya kuvunjwa Ungo na Elimu(ufundwaji) ukaendelea kutolewa karibu kila siku (a moment with Bibi) mpaka alipofariki.</p><p></p><p><br />Nimefundwa nikiwa simjui mwanaume na wala sikuwa tayari kuolewa actually nilikuwa Shuleni(Secondary)....tofauti kabisa na Ufundwaji wa sasa ambapo mtu anafundwa akiwa tayari kazaa na wengine wanafundwa na Wanaume (Mikorosho).</p><p></p><p><br />Kufundwa ni kupewa Elimu ya awali ya kukuandaa na Maisha ya baade kama Mke na Mama hivyo ni kuanzia Mwili wako,Mapenzi, Uhusiano, Ngono,Uzazi na baada ya Uzazi (natamani wangefunda na malezi ya watoto)</p><p></p><p>Faida za kufundwa nilivyofundwa mimi na wengine kama Mimi (kufuata Mila na Desturi) zipo nyingi sana nadhani itabidi iwe Topic maana maelezo ni marefu mno, ila kwa kifupi ni kuwa inakusaidia:</p><p>- kujua mwili wako.</p><p>-unajua jinsi ya kukabiliana na mambo ya kike bila kuhusisha watu baki.</p><p>-unaju anamna ya kujiheshimu na kujithamini kama mwanamke.</p><p>-unajua namna ya kujiamini.</p><p>-unajua kuishi na mume na kuwa mke mwema bila kuwa mjinga.</p><p>-unajua namna ya kumpenda na kumridhisha mumeo.</p><p>- unajua namna ya kutunza pesa.</p><p>- unajua namna ya kujitunza nakujipenda kabla,wakati na baada ya Mimba/Uzazi na mengine mengi.</p><p><br /></p><p>***********</p><p><br />3-Shida nyingine inanisumbua sana ni mzunguuko wa hedhi. Yaani naweza kukaa hata miezi 2-3 bila kuona hedhi yangu kwa kifupi zikitaka zinakuja kama hazitaki haziji. Je hili linaweza likasababisha mimi kushindwa kumimbika? </p><p></p><p><br />Nimeenda hata hospital Doctor kanambia eti siwezi kupewa dawa yoyote, ila eti siku nikitaka (nitakuwa tayari) kupata mtoto niende nipewe dawa. Nifafanulie hili maana nina ogopa.</p><p>Heri kwako dada na family yako.</p><p><br />********</p><p>Dinah anasema: Kwa umri wako mwili bado haujatulia (homono inbalance) baada ya kubalehe. Hilo moja. Pili, mawazo au hofu inaweza kusababisha Hedhi kuruka au kuchelewa.</p><p></p><p><br /></p><p>Ukikua labda kuanzia mwakani ukigonga miaka 21 au pengine mpaka 24 hivi homono zitatulia na Hedhi itakuwa inakuja kila mwezi. Daktari wako yupo sahihi, hakuna dawa ya kusababisha Hedhi isipokuwa kama kungekuwa na tatizo la afya na umri wako ni miaka 25+ linalosababisha ukosefu wa siku zako.</p><p></p><p><br /></p><p>Ukiwa tayari kupata mtoto nadhani alimaanisha ukikua(ukiwa mkubwa na tayari kuzaa) then kama bado hupati Hedhi kwa wakati basi utafanyiwa uchunguzi hasa kwenye Ovari ili kuona kama kuna tatizo linakosababisha Hedhi kuruka..</p><p><br />Natumai utaridhika na Majibu yangu au wachangiaji wengine.</p><p>Kila la kheri.
<br />Mapendo tele kwako...</p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p><p></p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-39024332107056028662023-05-24T15:22:00.012+03:002023-05-24T15:22:00.136+03:00Mume wangu ni Shoga?(repost from 2014)<p> Habari dada Dinah, hongera sana kwa kazi yako nzuri mno! nimekuwa nikisoma Blog yako siku zote na kuifurahia sana. Leo nami naomba ushauri dada yangu.Mimi ni mama wa watoto watatu, nimefunga ndoa ya Kikatoliki mwaka wa 11 sasa. Siku zote tumeishi vizuri na Mume wangu, makwaruzano ndani ya Ndoa hayakosekani ila siku hizi Mume wangu amebadilika sana kiasi cha kunifanya nipate mawazo mabaya juu yake.</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Hakuwa na kawaida ya kujipulizia perfume ila ghafla ameanza kijipulizia hadi sehemu za siri!!Inaniogopesha sana. Anatumia muda mwingi kwenye kioo! anavaa Macheni na Mapete makubwa makubwa! Nimejaribu kumuuliza sababu ya kufanya hivyo kawa mkali kama pilipili.</p><p></p><p><br />Dada yangu inawezekana akawa amejitumbukiza kwenye masuala ya Ushoga? Na mwanaume akiwa Shoga anaweza ngonoka na Mkewe kama kawaida? nifanyeje kukomesha tabia hii ambayo inaninyima raha katika Ndoa yangu?</p><p></p><p><br />Pole kwa maswali marefu naomba unisaidie dada-Asante(tafadhali hifadhi jina langu).</p><p></p><p>**********</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqN5zLrwmNW1DcuhNT4FSHLsa_W0ZCcGBWcBEFhmuyLqfznlMSYv94XGMVV8LOyZ6y3OBRs1UGw0b_hAGUVc-TOuHODC6QDNiNN7maGH6ASHsy7gwBrBb3Nnj88A_BbhYeVu2bZusjorKc-jRejkgUbFrYKGJDCkKyQAu9-Vq16cNN0VmbqGk1fpBDpg/s1440/is-my-husband-gay-.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="810" data-original-width="1440" height="180" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqN5zLrwmNW1DcuhNT4FSHLsa_W0ZCcGBWcBEFhmuyLqfznlMSYv94XGMVV8LOyZ6y3OBRs1UGw0b_hAGUVc-TOuHODC6QDNiNN7maGH6ASHsy7gwBrBb3Nnj88A_BbhYeVu2bZusjorKc-jRejkgUbFrYKGJDCkKyQAu9-Vq16cNN0VmbqGk1fpBDpg/s320/is-my-husband-gay-.jpg" width="320" /></a></div><br /><p></p><p><b><i>Dinah anasema</i></b>: Habari ni njema, ahsante sana kwa ushirikiano.</p><p></p><p><br />Ulivyo-panic umenifanya nicheke ghafla!....Miaka 11 ni mingi kiasi. Je mnampeana attention ya kutosha kama wapenzi au mnamchukuliana kama Wazazi tu? Mumeo ana umri gani kwani? Maana kuna baadhi ya wanaume wakifikia umri fulani 49+ huwa wanabadilika ghafla.</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Kuna Makala moja ya Uchunguzi nilisoma mwaka jana wakazungumzia hilo na hitimisho lao lilikuwa sio Ushoga bali Mwanaume kuelekea kwenye "kikomo cha Hedhi" usishituke, sina neno lingine la kiswahili la "Menopause". Mie nikabisha(as usual) kwa kusema kuwa mbona wanaume hawana Hedhi sasa "kikomo" kinaibukia wapi? Mpaka leo sijui na sikufuatilia tena.</p><p></p><p><br />Kuna umri fulani hufikia na watu kutamani au kutaka kujiamini tena kama walivyokuwa enzi zile kabla ya Ndoa na watoto, kwasababu walikuwa busy sana na majukumu ya "uzazi" sasa watoto wamekua na wao wanaamua kufurahia maisha yao.</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Sasa mume wako kaamua kubadili Mtindo wa mavazi.....wengine huamua kufunga ndoa na mabinti wadogo, wengine kupunguza mwili, kurudi shule, kukimbia familia na kununua magari/pikipiki n.k ili kujiongozea hali ya kujiamini. Mumeo ama hataki kuzeeka, kachoka kuonekana vilevile kwa miaka yote 11 au ame-miss attention aliyokuwa akiipata alipokuwa Kijana hivyo akivaa anavyovaa anazipata au alitegemea kupata....mf: wewe mwenyewe unampa attention japo sio nzuri (aliyotegemea ndio maana akawa mkali).</p><p></p><p><br />Nadhani ni vema kubadilisha uulizaji wako....badala ya kumkalipia, kumuita Shoga au kumkataza asivae anavyovaa kwavile anaonekana Fala. Pia ni vema kujipanga kwenye suala la Mavazi ambayo unadhani yatampa akitakacho lakini atapendeza na kutavutia kuliko sasa.</p><p></p><p><br /></p><p>...mwambie kwa upole na kujali, "Mume wangu najua unapenda kuvaa unavyovaa, lakini uvaaji huo wala hauendani na wewe,.....jaribu kuvaa hivi".....onyesha mavazi ambayo unadhani yatamfanya Mumeo aonekane kijana na kuvutia na sio "Pimp"....Mvishe Mumeo.</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Ushoga sio kitu/tabia za kujiingiza bali ni "ujinsia" ambao mtu anakuwa nao....kwamba anavutiwa na watu wa jinsia yake kingono/mapenzi. Inategemea na jamii inayomzunguuka au "utayari" wake kuishi kama Shoga....wengi huishia kuoa na kuzaa ili kuficha "Ujinsia"....nikijibu swali lako ni kuwa sio lazima Shoga ashindwe kufanya Ngono/Mapenzi na Mkewe, anaweza kukufanya vema tu na akatoka akaenda fanywa/mfanya na mwanaume mwenzio vizuri. </p><p></p><p><br />Mashoga huwa hawavai kama ulivyoelezea, Pimps ndio huvaa hivyo. Suala la kujipulizia Manukato sio tatizo, katika kujipenda na kujijali kunukia nayo imo!</p><p></p><p><br />Ila kujipulizia Manukato sirini mwambie aache kwani Manukato yana "alcohol" ambayo hukausha ngozi na hata kusabbaisha muwasho na maambukizi mengine ya Ngozi kutokana na joto la mahali huko(sirini), pia inabadilisha balance asilia ya ngonzi(PH) ambayo ikisumbuliwa inasababisha maambukizo kama nilivyogusia hapo awali.</p><p><br />Kila la kheri.<br />Mapendo tele kwako...</p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-30305344968693707632023-05-22T15:06:00.002+03:002023-05-22T15:06:24.640+03:00Mke hanitamani, kisa Social Media(Repost from 2014)<p> Habari dada, mimi ni kijana wa kiume na nina umri wa miaka 30 nina mke wa miaka 28 na mtoto wa miaka 3.</p><p></p><p>Kwenye ndoa yetu na Mke wangu kuna vitu vya hapa na pale ambavyo vinaniumiza kichwa kutoka kwa mwenzangu ambavyo ni; mara nyingi sana mimi ndiye naomba kufanya nae mapenzi sikumbuki mara ya mwisho ni lini yeye amenianza.</p><p></p><p></p><p>Mara nyingine tunakaa mpaka mwezi mzima kila nikimwomba anasema hajisikii, pia mara nyingi sana tukifanya mapenzi Uke unakuwa mkavu matayarisho tunayafanya ya kutosha tu.</p><p></p><p></p><p>Mke wangu anapenda sana kuchat kwenye mitandao ya kijamii kiasi kwamba nishawahi kufumania mpaka chat za kimapenzi akaniomba msamaha!!</p><p></p><p></p><p>Nina mpenda Mke wangu naomba msaada kutatua hayo mambo.</p><p><br />***********</p><p><br />Dinah anasema: Habari ni njema kabisa, ahsante! Shukurani kwa ushirikiano.</p><p></p><p><br />Hivi mpaka karne hii mtu na mkewe wanaombana kufanya mapenzi? Kumuomba mpenzi wako kufanya mapenzi huoni inaweza kukata "stimu" eti? (Labda ni mimi tu).</p><p></p><p></p><p>Si wanawake wote wanapenda kuombwa tendo, wengi hupenda iwe spontaneously....kwamba yupo jikoni, unamnyemelea kwa nyuma kisha unaaza kunshika maeneo apendayo ambayo yatamfanya ajisikie kupendwa na nyege at the same time...kwa mfano:</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Au mpo chumbani kisha unamnyanyua na kumuweka kitandani kisha unaufanyia mwili wake "shughuli" ili ajihisi kupendwa, kuvutia na wakati huohuo Nyege na mengineyo....sio "mama Kadala nipe haki yangu"....au "mke wangu naomba basi leo" au unaama usiku wa manane na kumgeuza tu kisha uingie kama yeye ni chombo cha kuondolea hamu zako n.k.</p><p></p><p></p><p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfyYi41hl38z9BcaXYtTQm7mt5uV1EgjXArWFKhvuDR33n_4R8LRBPcZMySr49Rgq7y34baY6e8HSB4rsiwg4fRUyv1AK85V_vMk9XVBvtAVCfC7Yip9QhoLgDvNQTh-FDRFUzACSbP3sSB8BC2rNptOZOOFrMsyupxIpzfFhSdwz2Bxk39klubRQc7Q/s1920/social-media.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1280" data-original-width="1920" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfyYi41hl38z9BcaXYtTQm7mt5uV1EgjXArWFKhvuDR33n_4R8LRBPcZMySr49Rgq7y34baY6e8HSB4rsiwg4fRUyv1AK85V_vMk9XVBvtAVCfC7Yip9QhoLgDvNQTh-FDRFUzACSbP3sSB8BC2rNptOZOOFrMsyupxIpzfFhSdwz2Bxk39klubRQc7Q/w409-h213/social-media.jpg" width="409" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Pia ni vema utambue kuwa sio wote wenye kupenda "kulianzisha", hii ni kutokana na kuaminishwa kuwa mwanamke kumuanza mwanaume kitandani ni Umalaya* lazma Mwanaume akuanze kisha mwanamke kutoa ushirikiano (inategemea na Mazingira aliyokulia). Pia wanawake hulianzisha mara kadhaa kwa mwezi pale anapotaka Tendo(anapevusha kushika Mimba), hawezi kulianzisha kila siku mpaka umnyegeshe kwanza. Zingatia mzunguuko wake wa Ngono.</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Ikiwa unapenda Mkeo "alianzishe" basi ni vema kuzungumza nae na kumwambia "najisikia kupendwa ikiwa mke wangu unaonyesha kunitaka kingono, unanipa dalili kuwa unanihitaji kimwili"....kwa mfano!</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Nadhani kuna uwezekano Mkeo alikuwa ana-cheat kihisia (hashiriki kimwili) na hao anaochat nao lakini kitendo cha kuchat maswala ya kimapenzi/ngono (flirtation) kunaweza kumfanya Mtu akose hamu na Mume/Mke wake kwani yule au wale anaochat nao wanaonyesha kujua kumridhisha mwanamke/mwanaume kuliko Mume/Mke wake.</p><p></p><p></p><p><br /></p><p>Hali hiyo hupelekea mhusika kutaka kufanyiwa yale anayoambiwa au chat about na watu hao lakini anashindwa kumuambia mwenza wake na hivyo anaishia kukukwepa. Jitahidi kuwa mbunifu kwenye ufanyaji mapenzi na muulize anataka kufanyiwa nini na kisha boresha...sio kurudia yake yale kila siku, Mkeo anakuwa-bored....hasa kama ni mama wa nyumbani.</p><p></p><p><br />Hali hiyo ikiendelea basi Mume/Mke hupoteza kabisa hamu/matamanio na mwenza wake na hivyo kutegemea kuridhika na chat za hao anao-flirt nao kwenye mitandao.</p><p></p><p></p><p>Baada ya kugundua kuwa ana-cheat (flirting online/via texts IS CHEATING) na yeye kuomba radhi, wewe kama Mumewe ulipaswa kuweka "rules" kwenye Uhusiano wenu au kumpiga marufuku kabisa kujihusisha na Mitandoa na aweke muda wake na attention yake kwenye maisha yake halisia ambayo ni familia yake(wewe na Mtoto).</p><p></p><p><br />Badilisha au boresha namna ya kumtaka mkeo kimapenzi, badala ya kuomba....tumia vitendo kama nilivyogusia hapo awali. Pia ni vema wewe na mkeo mkawa wazi kingono ili kila mmoja wenu aweze kumridhisha mwenzio bila kujali nani "kalianzisha".</p><p></p><p><br />Kufanya mapenzi sio Mashindano, sio Kazi, hivyo sio lazima yeye afanye jambo kwa vile wewe unafanya kila siku.....ukianza kulinganisha ni wazi utakuwa unachukulia suala zima la kufanya mapenzi kama Kazi au Mashindano.</p><p><br /></p><p>Kwenye Ndoa/Uhusiano wenu kuna ukosefu wa Uaminifu, Ushirikiano na Mawasiliano.....ili msipoteze Ndoa yenu ni Muhimu mkaboresha hayo mapema.</p><p></p><p>Kila la kheri.<br />Mapendo tele kwako...</p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-40878905477957497892023-05-12T10:00:00.006+03:002023-05-12T10:00:00.151+03:00Kujali...Nguzo tano za ndoa bora.<p> Huwezi kuwa Mke bora kama hufanyi mambo Milioni moja na nusu ikiwa ni pamoja na Kujali. Kujali kwenye Ndoa sio kitu kinachotakiwa kufanywa na Mke, bali Mume pia. Japokuwa kwenye jamii yetu Mke ndio hutegemewa kuonyesha kujali zaidi kuliko mwenza wake wa kiume.</p><div><br /></div><div>Mke atahakikisha Mume analala mahali safi na comfortable, nyumba safi na inapendeza, Nguo na hata Chakula kimeandaliwa vema na kwa wakati. Mke hatoishia hapo, atajiswafi na kujiremba/pendezesha/nukia vizuri kwa ajili ya Macho na Heshima kwa Mume(watu watakao kuona nje).</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Mke ataendelea kutoa ushari, kumtuliza, kumpa moyo/matumaini, kum-support, kuhakikisha ana Afya njema na kumkumbusha suala zima la kuilinda Afya yake. Ikiwa mnaishi mbali na Wazazi wa Mume, Mke atakumbusha kuwajulia hali na pengine kwenda kama Familia ili wasipoteze ukaribu kwako na Wajukuu zao.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Mwisho kabisa, Mke atahakikisha watoto wanakubuka siku Muhimu kwa Baba yao na kukupatia vijizawadi kwa niaba yao(Watoto).</div><div> </div><div><br /></div><div>Uliza Mumeo anakujali kwa </div><div>kufanya nini? Kwa 99% atasema “naenda Kazini kila siku ili kulinda na kulisha familia yangu”. Hutofurahia hilo jibu kwasababu huko sio kukujali bali kutimiza Wajibu wake kama Mume....maana na wewe(pengine Dada wa Kazi) unalinda, tunza, lea, fundisha watoto wenu.</div><div><br /></div><div><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNwb6x7lluGYs0s1VA86EeIjLT8jb3S4NDe7wwwi6T5AHWS1GggqTPWAs5zMr_Anj6BIlJZovlvmtg2eDJ479N0q9Oy8A-SfZoYdATat7SmkG9uXSUr30T0KALFa_wSJYENzwrhrrc5SR-rsB7Mad4Bzb4pAqgaVCfnMX4oxYqIwD68npAjQwf4As61g/s230/kujali%20nguzo%205.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="220" data-original-width="230" height="220" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNwb6x7lluGYs0s1VA86EeIjLT8jb3S4NDe7wwwi6T5AHWS1GggqTPWAs5zMr_Anj6BIlJZovlvmtg2eDJ479N0q9Oy8A-SfZoYdATat7SmkG9uXSUr30T0KALFa_wSJYENzwrhrrc5SR-rsB7Mad4Bzb4pAqgaVCfnMX4oxYqIwD68npAjQwf4As61g/s1600/kujali%20nguzo%205.jpg" width="230" /></a></div><br /><div><br /></div><div><b><i>Unajua kwanini Mumeo hajali kama unavyojali wewe?</i></b></div><div><br /></div><div>Ni kwasababu Mwanaume haandaliwi kuwa Mume bali Mhudumia familia iwe Wazazi wake ama wadogo zake, ndugu na jamaa(which sio sahihi, na usije hapa na "hii ni kacha yetu". Watoto hawatakiwi kubeba majukumu ya wazazi na watu wengine wakati wahusika wapo hai na wana afya). </div><div><br /></div><div><br /></div><div>Sasa ili mumeo aonyeshe kukujali inabidi uwe wazi na kumwambia ni nini hasa unataka akufanyie nini? Mf; kama kujuliwa hali mara kadhaa kwa siku, iweke hiyo wazi kwa mumeo. Kama ni kununuliwa zawadi kwenye siku maalumu au bila sababu hakikisha mumeo anajua kama ni kukumbatiwa au kusaidia shughuli za ndani mwambie n.k.</div><div><br /></div><div>Ahsante kwa kuichagua blog hii.</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-51480637179874453102023-05-08T10:00:00.002+03:002023-05-08T10:00:00.140+03:00Heshima kwa mkeo(Nguzo tano za health marriage).<p> Kwa kawaida huwezi kutana na Wanawake(Mkeo) akidai kuheshimiwa mpaka labda Mume utoke nje ya Ndoa ambapo uwezekano wa yeye kubaki Ndoani huwa ni 0.01%(that's me)....Hiyo haina maana kuwa Mkeo haitaji Heshima. Jaribu yafautayo kudhihilisha kuwa unaheshimu mkeo vile anavyo/utakavyo akueshimu wewe.</p><p><b><br /></b></p><p><b>Usimuudhi/Umize:</b> Msome Mkeo ili ujue nini anapenda/hapendi Uwanjani na nje ya Uwanja na ujitahidi kutekeleza/kuacha vitu hivyo.</p><p><br /></p><p><b><br /></b></p><p><b>Usimfokee/Karipia:</b> Mkeo sio Mwanao/Mdogo wako bali ni mtu mzima mwenzio hata kama umemzidi miaka kadhaa, ongea nae kwa adabu kama Mwenza wako na sio mtu alie chini yako.</p><p><br /></p><p><b>Msikilize: </b>Pamoja na kua wewe ni Kichwa na Kiongozi wa Familia haina maana kuwa Mkeo hana Sauti humo ndani. </p><p><br /></p><p>Mkeo ni Mwanadamu na m-treat kama mwanadamu mwenzio ila sio kwa Usawa (kama Mwanaume mwenzio) na sio kwa kiwango cha chini kama vile hana thamani ya Utu.<br /></p><p><br /></p><p><b></b></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><b><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFKQkVhCivh2Y2LXlLmdGmAIPWsK6sSmLBaToUK6GSrnTcE5J0iN2LqrVVf4S7OOQS7RxhNoBGDaBo4oarOoZJa1vJcQN1-Ng3JnjLjJCss9nrrY3fWCfVdqysfhO2_pZbOileoJiHrM0/s1600/1645785376861563-0.png" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFKQkVhCivh2Y2LXlLmdGmAIPWsK6sSmLBaToUK6GSrnTcE5J0iN2LqrVVf4S7OOQS7RxhNoBGDaBo4oarOoZJa1vJcQN1-Ng3JnjLjJCss9nrrY3fWCfVdqysfhO2_pZbOileoJiHrM0/s1600/1645785376861563-0.png" width="400" /></a></b></div><b><br /><br /></b><p></p><p><b>Usilazimishe Itikadi(mf Ushirikina, Imani, Siasa n.k): </b> Usijione kuwa wewe ndio mwenye kutoa Neno la mwisho bila kukubaliana Mkeo. Ndoa ni ya wawili hivyo ni Muhimu kuweka Mada mezani ijadiliwe na kukubaliana/kutokubaliana.<br /></p><p><br /></p><p><b>Uwazi bin Ukweli:</b> Ndoa haina siri...siri za familia yako baki nazo, ila wewe na Mkeo hampaswi kuwa na Siri miongoni mwenu. Achana na "mambo ya kiume hutakiwi kujua", Mkeo anatakiwa kujua Kila kitu kuhusu wewe na uyafanyayo.</p><p><br /></p><p><b>Usimzungumzie vibaya; </b>kwa watu baki (online)hata kama ni rafiki ndugu au jamaa. Haijalishi amekuudhi kiasi gani na unahasira vipi! Usitumie jina baya kumuwakilisha Mkeo. Jitahidi kutumia "Mke wangu" zaidi kuliko Mama watoto hasa kama ulizaa(ga) kabla yake(Mama mtoto/watoto linaondoa Heshima ya Ndoa kwa Mkeo).</p><p><br /></p><p><b>Usitoke nje ya uhusiano wenu Kiakili Kihisia au Kimwili: </b> "Social media" imefanya watu kudhani kumsaliti Mwenza ni pale tu unapofanya Tendo Kimwili(busy, shika, jigijika n.k)</p><p><br /></p><p>Ukaribu unaokua nao na watu/mtu online with pic bin video na sauti ni sawa na kuwa nae/o Kimwili ila inaenda ndani zaidi Kisaikolojia na kubaki na wewe kwa muda mrefu kuliko tendo la dk 45. Kwenye <a href="https://kilakitumie.blogspot.com/2016/06/how-tojinsi-ya-kumheshimu-mumeo.html?spref=tw&m=1"><b>Jinsi ya kumheshimu</b></a> Mume ongezea hili.</p><p><br /></p><p><b>Epuka taarifa baada ya maamuzi:</b> Zungumza nae kuhusu jambo ambalo unataka kwenda kufanya kabla ya maamuzi(isipokuwa kama ni "sapuraizi").</p><p><b><br /></b></p><p><b>Usimshushe mbele ya Watoto/Adharani: </b>Kama amekosea na kuna hitaji la kumkosoa/rekebisha, ni vema kusubiri muda ambao mtakua peke yenu na kuwakilisha Hoja yako. </p><p><br /></p><p>Ahsante kwa ushirikiano.</p>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-67223270999047368982023-05-05T10:00:00.006+03:002023-05-05T10:00:00.149+03:00Masikilizano/Maelewano(Nguzo tano za Ndoa Bora).<p> Masikilizano/elewano huja wakati/baada ya mawasiliano japo ni Nguzo inayoweza kusimama peke yake kutegemea na tukio....mf:- wakati wa manunuzi makubwa(gari, nyumba), familia yenu iwe na watu wangapi?, Shule/Malezi ya watoto na pengine “career”.</p><div><br /></div><div><br /></div><div>Unapowakilisha jambo/kero kwa mwenza wako ni vema kuwa katika hali ya utulivu(sio mara zote hufanya kazi hasa kama mwenzio sio msikilizaji mzuri). Utulivu wako husaidia kutoongea kwa sauti ya kushambulia na hivyo kuepeuka yeye kujitetea(bila shambulio hakuna pa kurudisha shambulio).</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Unapoibua suala ili lizungumzwe/jadiliwe nia ni kufikisha Ujumbe/kero na kupata muafaka(maelewano) na sio kung'aka na kuanza kugombana....hii hupoteza muda(kusumbua watoto kihisia/akili) na tatizo kuzimishwa badala ya kumalizwa.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Kuzima/acha tatizo bila muafaka/maelwano kwa muda mrefu hupelekea mwanzilishi wa “mazungumzo" kuhisi kuwa hasikilizwi na hisia zake hazithaminiwi na mwenza wake. Hisia hizo hupelekea hasira(jitahidi kujizuia ili usifanye jambo mbaya) na pengine kupunguza Heshima kwa mwenza wake. Kutoelewana/sikilizana pia hupelekea “issues" kurundikana kitu ambacho sio afya kwenye Uhusiano wenu.</div><div><br /></div><div><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikXsie3wt-XWF7kuY5wRk3ClIbKTZZtjQFAfKhJktaKn7JcCm6iZby-81n_i_5DHycxy0DYDeyzjh6puRDeFroOfvJVGxgJmCKe-ycyQ08YCoVjEKEnuOI146C8n0i7AJG3DJeYim28EmgAis3EjTo1OyDz-bJOPQ9KJBFFq8gwB_K3E15Z9_683xjRA/s1322/maelewano%20nguzo%205.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1322" data-original-width="1079" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikXsie3wt-XWF7kuY5wRk3ClIbKTZZtjQFAfKhJktaKn7JcCm6iZby-81n_i_5DHycxy0DYDeyzjh6puRDeFroOfvJVGxgJmCKe-ycyQ08YCoVjEKEnuOI146C8n0i7AJG3DJeYim28EmgAis3EjTo1OyDz-bJOPQ9KJBFFq8gwB_K3E15Z9_683xjRA/s320/maelewano%20nguzo%205.jpg" width="261" /></a></div><br /><div><br /></div><div>Suala muhimu hapo ni Msikilizaji ambae hakusikiliza na badala yake kuanza kujitetea kwa kung'aka(na kutimia maneno makali ya kuudhi) au kupuuzia na kuzima(kaa kimya) kuomba radhi.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Siku nyingine, jaribu kuomba mzungumze na kumwambia mwenza wako kuwa “naomba tuongee kuhusu bla-bla-bla, usikilize kwanza mpaka mwisho bila kufoka, kujibu wala kunikatisha. Heshima ikikosekana kwa pande zote mbili, Uhusiano unaweza kuyumba na pengine kufa. Heshima ni Moja ya Nguzo muhimu sana pande zote mbili. </div><div><br /></div><div><br /></div><div>Njoo tena ukipata muda, tuiangalie Heshima kwa “engo” tofauti na ile ya 2015.....Muda wako unathani kubwa kwangu, ahsante.</div><div>Bai.Ma</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-11402028745612333272023-05-01T10:00:00.011+03:002023-05-01T10:00:00.144+03:00Heshima kwa mumeo(Nguzo tano za Ndoa bora)<p> Natumai upo salama,..mie mzima kabisa ahsante kwa kujali.</p><div><br /></div><div>Bila shaka unewahi kuona/soma/sikia watu wakisema "Mwanaume haitaji kupendwa bali kuheshiniwa", kwamba Heshima kwake ndio kupendwa...lies the Internet tells. Mwanaume anahitaji vyote, Heshima na kupendwa....ila ukifikiria kiundani(inategemea na situation iliyokufanya ushushe heshima kwake ) kumpenda Mume wako bila kumheshimu ni ngumu. Acha kufikiria kiundani.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Pengine Mumeo amewahi kukuambia kuwa anahisi kuwa huna heshima kwake...halafu ukang'aka na kudai sio kweli, kwamba mbona unamheshimu sana tu! Heshima kwa Mwanaume(Mumeo) ni tofauti na vile unamuacha anajiachia kwenye Internet/Bar na wadada wengine, kutopinga maamuzi yake hata kama ni mabaya/hatarishi, kutokuvaa mavazi fulani n.k.</div><div><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOs8knsnw7ocMOh0yJT4iHKCa5sQm38BdkKvZMBYsEIgMwwYcXeJkXtMaKhW2iGb30YD7K84be8rvZw4F9FB8S5ZSZdhPPJ54rrY-zJKklhItQuDe5kuG-_eFFioQ1uVnpBnnD5qABCTVUJuyDNWaIW5NfRrmPjHgT12V5hhqVF2JI42aebnVXIyGp6w/s1000/mawasiliano%20nguzo%205.webp" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="531" data-original-width="1000" height="170" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOs8knsnw7ocMOh0yJT4iHKCa5sQm38BdkKvZMBYsEIgMwwYcXeJkXtMaKhW2iGb30YD7K84be8rvZw4F9FB8S5ZSZdhPPJ54rrY-zJKklhItQuDe5kuG-_eFFioQ1uVnpBnnD5qABCTVUJuyDNWaIW5NfRrmPjHgT12V5hhqVF2JI42aebnVXIyGp6w/s320/mawasiliano%20nguzo%205.webp" width="320" /></a></div><br /><div><br /></div><div><b><i>Hivi ndio unavyopaswa kumheshimu Mumeo </i></b>ukiachilia mbali kumsikiliza pia usizungumzie mapungufu yake kwa watu wengine hata kama ni Mama yako.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><b><i>Thamini Ndoa yenu</i></b> (sio kuishi kwa mazoea) na ikitoke mmepishana na kugongana/zozana chunga Ulimi wako na usitumie Lugha/maneno ya kudhalilisha.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Ikitokea amekushirikisha kwenye jambo la familia na akakupa nafasi ya kufanya uamuzi....<b><i>onyesha kumuamini yeye kufanya uamuzi huo kisha subiri majibu</i></b>, sio kurudi na kuanza kumbugudhi na maswali.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Badala ya kwenda kwenye Social media/kwa Rafikizo/Wazazi kuomba Ushauri, <b><i>omba ushauri kwa Mumeo</i></b>. Pengine Mumeo sio mshauri mzuri kwenye baadhi ya mambo(inategemea na Upeo/Elimu/Uzoefu) bado mmpe hiyo heshima.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Akiamua kusaidia kwenye suala fulani hapo nyumbani <b><i>muamini na muache afanye mpaka mwisho</i></b>....unless otherwise atakuomba msaada, usiingilie au kukosoa akifanyacho. Ni kawaida kwa Mumeo kukataa adharani kuwa ahitaji kusifiwa, kupewa attention au kuhakikishiwa Penzi ulilo nalo kwao. Ukweli ni kwamba hawa viumbe wanahitaji kusifiwa kama vile sisi tunavyopenda tofauti wqo hawahitaji mara nyingi kama sisi.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div><b><i>Sifia mumeo</i></b> akitokelezea(pendeza), akikamilisha jambo(kubwa au dogo), mhakikishie kuwa unampenda na hakuna mtu atachukua nafasi yake(kwa vitendo pia). Je unajiheshimu na unamheshimu Mkeo ili akuheshimu au nikukumbushe pia?</div><div><br /></div><div>Muda wako hapa ni thamani kubwa kwangu, ahsante.</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-46779426632815442722023-04-24T14:10:00.001+03:002023-04-24T14:10:00.246+03:00Nguzo tano za Better/health Marriage<p> Nguzo 5 za Mahusiano bora ya Kimapenzi ilikuwa topic maarufu sana 2007 kwenye blog hii, ilitembea kwenye kila blog ya kibongo na page za facebook na bila kusahau jamii forum. Unakumbuka?</p><div>Nilizielezea kwa kirefu kama utambulisho, wakati ule wengi walikuwa hawafahamu na baadhi hawakuwa wameziishi. Sasa tangu umeziishi nineona sio mbaya kama nikizirudia tena kwa pembe tofauti kidogi na ile ya 2007.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Kabla sijaenda huko hebu nikukumbushe Nguzo hizo ambazo ni...</div><div><br /></div><div><b>1) Mawasiliano.</b></div><div><b>2) Maelewano/sikilizano</b></div><div><b>3) Ushirikiano</b></div><div><b>4) Heshima</b></div><div><b>5) Kujali</b></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Ni rahisi kudhani kuwa wewe na Mwenza wako mnafanya yote hayo na kuamini kuwa Uhusiano na ndoa yenu ipo Imara lakini ukute haina afya na sio bora kama vile mtakavyo lakini kwa sababu mmezoeana, mnaishi kwa mazoea.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><b><i>Utajuaje kuwa Mawasiliano ni mabovu?</i></b></div><div><br /></div><div>Mara ya mwisho kukaa chini na kuzungumza masuala yenu binafsi na yale ya kimaendeleo?</div><div><br /></div><div>Je, mwenzako anapokuja na hoja, huwa unasikiliza, jadili inapobidi na kufikia maelewano? </div><div><br /></div><div>Ikiwa Mara zote mnaishia kubishana badala ya kujadili sababu mmoja wenu kapandisha sauti(foka) basi ujue uhusiano wenu hauna mawasiliano. Ni muhimu kutafuta namna ya kurekebisha na kuboresha kona hiyo.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Njoo tena tuseme kuhusu Masikilizano kwa pembe tofauti na ile ya miaka 14 iliyopita. </div><div><br /></div><div>Nathamini Muda wako, ahsante. </div><div><br /></div><div>Bai.</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-51767103476734161752023-04-22T14:06:00.001+03:002023-04-22T14:06:00.245+03:00Kama mke umejitosheleza?<p> Kila Mwanamke ni Imara hiyo inajilikana na wala huitaji kujitanganza(kuwa chini ya Kundi fulani kuthibitisha hilo), pamoja nakusema hivyo wewe kama Mke bado ni Dhaifu/laini(Kimwili) na hakuna kosa mkimama kuwa mlaini(jivunie udhaifu wako).</p><div><br /></div><div>Kazi yako kubwa Duniani ni kuwa msaidizi wa Mumeo, kuleta uhai(kubeba Mimba na Kuzaa), kulea, kufundisha na kutunza Familia.<br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div>Ili uweze kufanya hayo(niliyoyatajabhapo juu) unatakiwa kuwa umejitolesha kwenye nyanja nyingine ili kurahisisha Maisha yako kama Wewe, Mama na Mke. Unapaswa kuwa na uwezo wa kufanya baadhi ya vitu haraka na kwa ukamilifu bila uwepo wa mtu wa pili iwe Mumeo au Muuza Huduma.</div><div><br /></div><div><b><i><br /></i></b></div><div><b><i><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipx9Q7FEG8IaEgEDWAUwSJ9eT1ESj-UIqWqawrvZ56do1M2OKfX7q9ua7lWK4UEL5_ANM3HaAV-EnVXasVBbd4hzLiAO0zXapU67df7M53hugCErwMdZvcPJhPJgnxruO3gYXoK_ojjSQ/s1600/1650280033866274-0.png" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipx9Q7FEG8IaEgEDWAUwSJ9eT1ESj-UIqWqawrvZ56do1M2OKfX7q9ua7lWK4UEL5_ANM3HaAV-EnVXasVBbd4hzLiAO0zXapU67df7M53hugCErwMdZvcPJhPJgnxruO3gYXoK_ojjSQ/s1600/1650280033866274-0.png" width="400" /></a></div><br /></i></b></div><div><b><i><br /></i></b></div><div><b><i>Je ni nyanja gani hizo?</i></b></div><div><br /></div><div><b>Dharura;</b> Unaweza kujituliza, kutafakari kwa haraka na kufanya uamuzi kwa faida yako na familia badala ya kusubiri mpaka Mumeo apokee Simu/arudi.<br /></div><div><br /></div><div><br /></div><div><b>Uchumi;</b> kuwa na Akiba ya Senti kwa mahitaji madogo madogo(ya ghafla) nje ya Bajeti ya Familia(kutoka kwenye zile anazokupa Mumeo), sio kila akikupa Pesa unatumia zote kwa wakati mmoja. </div><div><br /></div><div><br /></div><div><b>Elimu; </b>Uwezo wa kuwafunza watoto wako na kuwasaidia wanapokwama Kimasomo, ili kukuza uelewa wao wa Somo husika wanapokwenda Shule.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><b>Nyumba;</b> Usafi wa Mazingira...kuibadili Nyumba na kuwa Nyumbani kwa kila mtu sio familia yako tu. Uwezo/juzi wa kurekebisha mf; bulb imeungua au "fuse" imekata sio mpaka uite Fundi Umeme/usubiri Mumeo akuje.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><b>Tendo;</b> Unahamu, badala ya kulianzisha, unasubiri mpaka Mumeo akusogelee? Acha hizo.</div><div><br /></div><div><br /></div><div>Labda leo mwendo ni mrefu, badala ya kulalamika, kuonyesha haupo "interested" na kubaki umelala kama gogo...kuwa na mbinu (sio kukata kiuno)za kumfanya awahi "kucheka" na wakati huo huo wewe kufurahia safari.</div><div><br /></div><div><br /></div><div><b>Kujijali/Jipamba</b>; Jifunze kutengeneza Nywele, Kucha, kujiremba n.k ikitokea Salon zimefungwa *cough* Covid19 Lockdown *cough*. Na mwisho kabisa, Jifunze aina tofauti za Mapishi, aina 3 za kushona/repair nguo(hasa kama una watoto). </div><div><br /></div><div>Je, wewe ni Mke uliejitosheleza? Ongeza zako basi na mie niongezee kwangu.</div><div><br /></div><div>Muda wako unathamani kubwa kwangu, ahsante. </div><div>Bai.</div>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-61371056227023907612023-04-20T13:33:00.005+03:002023-04-20T13:33:58.932+03:00Kwanini kila mtu anazungumzia Mahusiano, Mapenzi na Tendo la ndoa?<p><span style="font-size: 14pt;">Jibu rahisi
ni kwasababu kila mwanadamu anahitaji mapenzi, mahusiano na Ngono, ukiachilia
mbali kuwa hitaji hilo ni sehemu ya haki yako kama mwanadamu pia ni sehemu ya
afya ikiwa yote hayo matatu yatafanyika kwa kufuata utaratibu mzuri ili
kujilinda na maradhi na unyanyasaji. Kwa vile tu ni haki ya kila mwanadamu
kupendwa/penda, kuwa kwenye mahusiano na kufanya tendo la ndoa haina maana
ujilazimishe kwenye mambo hayo wakati uhitajiki, unateswa na Maisha yako yapo
hatarini aukuhatarisha Maisha yaw engine.</span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Watu wengi
wanaamini kuwa wanawake ndio tunaongoza kuzungumzia masuala hayo mitandani,
kwamba hatuna la maana la kuongelea ambalo linajenga Zaidi ya hayo mambo 3 ambayo yakifanyiwa
kazi kwa Pamoja (na ukapatia kuchagua) unapata matokeo mazuri na hivyo kuongeza
furaha na Maisha yako. Wiki iliyopita niliandika kuhusu <a href="https://kilakitumie.blogspot.com/2023/04/kutoa-ushauri-wa-mapenzi-ngono-na.html" target="_blank">wanaume kuandika masuala hayo kwenye magazeti</a> na ndio ikawa sababu ya mimi kuanzisha Blog hii.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Mimi na wewe
tupo hapa kutokana na mambo hayo matatu, inawezekana labda hukuzaliwa katika mazingira
ya mahusiano na mapenzi bali ngono(kubakwa au ulevi au mazizi wako mmoja
alikosea…pole) au una uzoefu mbaya na watu wa jinsia ambayo sio yako na hivyo
imetokea tu unachukia/unaogopa au huoni umuhimu wake.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Sio kila
mwanamke anataka kuwa kiongozi au boss lady na sio kila mwanamke anataka kuwa
Feminist wave 3(hawa awa sasa ambao wengi wao ni millenials), baadhi yetu sisi
ambao tulizaliwa mwisho mwa mwaka 1970-1989 tume-relax na kufurahia “options”
tulizonazo ambazo zilipigwaniwa na Mama zetu (wa Ulaya) kuanzia miaka ya 1950s,
kwamba kama wanawake tunaenda shule nakupata Elimu ya juu badala ya kubalehe na
kuolewa. <o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Tunatumia Elimu
kupata kazi na kuingiza kipato ili kujitegemea wakati tunasubiri kukutana na Mr
right. Baada ya hapo bado una options
kibao nje ya nyumbani kama Mke kwa mumeo….mkijaaliwa/kubaliana kuanzisha
familia options bado zipo kwako wewe kama mwanamke….je ubaki uwe mama wa
nyumbani na nakuitumia kuwafundisha Watoto wenu au urudi kazini nakuacha mtoto
alelewe na mtu/watu baki au uwalee kwa muda Fulani(miaka 5 ya kwanza) halafu
urudie/badilishe career yako au uendelee kuwepo nyumbani nusu na kuwepo kazini
nusu?<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Kwa nchi za
Magharibu(hasa Ulaya) wanawake wana haki nyingi kuliko wanaume, mimi kama mama
wa Watoto wawili wa kiume na mmoja wa kike, naliona hilo kwa ukaribu Zaidi na
imefikia mahali nahisi kuwa sio sawa. Naona kabisa baadhi ya sheria za kumlinda
mwanamke ni unyanyasaji kwa wanaume. Kabla ya kuwa mama kwa wavulana wangu,
sikujali.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Nikijibu
swali kuzungumzia masuala ya mapenzi, mahusino na tendo ni rahisi na huitaji kutumia
akili kwa kiasi kikubwa isipokuwa pale
unapotaka kujiswali la mtu kulingana na “situation” yake bila kujua upande wa
pili. Sasa kama wewe ni mfanya kazi, mwanasiasa, mtumishi wa Serikali, mke/Mume
au mwanafunzi….shughuli unazozifanya kutimiza majukumu yako zinachosha akili.
Huwezi kutoka Job akili imechoka halafu uanze ku-blog kuhusu Kazi zako. Ukiweza
basi blog yako haitofika mbali kwasababu utaishiwa topics, hutokuwa na muda
siku ambazo umechoka kiakili na vilevile utakosa msukumo wa kuendelea kwasababu
ya kukosa wasomaji.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Maelezo kuhusu
mapenzi, mahusino na tendo la ndoa mengi ni yale yale(ndio maana slogan yangu
ni “tukumbusha” sio “nikufunde”, hakuna jipya lakini kumbuka kuwa sisi kama
binadamu tupo tofauti sana sio tu kimazingira bali pia kielimu,
kiupeo(siolazima uwe na elimu), kiuzoefu, kisaikolojia kimalezi/tabia.
Unapoingia kwenye mahusiano mara zote unakuwa hujui “how to” kwenye mambo mengi.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> Ukiingia kwenye ndoa pia utakuwa hujuo “how to”
kwenye masuala kibao, mkijaaliwa Watoto napo kuna ma-how to kibao kama wazazi
wapya, mume na mke halafu mama na baba. Hivyo Pamoja na kuwa mambo ni yale yale
bado ni tofauti na unahitaji kujipa nafasi ya kujifunza mawili matatu kutoka kwa
watu wengine ambao wana uzoefu Zaidi au uziefu tofauti na wako lakini walipitia
issue inayokutatiza sasa hivi. <o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;">Hitimisho: Siasa,
Upiganaji, Uongozi au Utumishi wa Umma sio kwa kila mtu kama ilivyo kuwa Mama/mke
wa nyumbani au mjasilia mali, lakini kila mtu anahitaji Mapenzi, Uhusiano na Tendo
la ndoa at some stage of their lives.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 107%;"> </span></p>
<span style="font-family: "Calibri",sans-serif; font-size: 14.0pt; line-height: 107%; mso-ansi-language: EN-GB; mso-ascii-theme-font: minor-latin; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-bidi-language: AR-SA; mso-bidi-theme-font: minor-bidi; mso-fareast-font-family: Calibri; mso-fareast-language: EN-US; mso-fareast-theme-font: minor-latin; mso-hansi-theme-font: minor-latin;">Niakuache kwa sasa, yep ni mimi yule yule Dada Di wa enzi, nimerudi. Ahsnte kwa ushirikiano.</span>KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-77258868467208860032015-03-12T13:09:00.001+03:002023-04-20T13:37:41.946+03:00Kanisaliti na kuzaa x2 na vibaba 2 tofauti....ataka tufunge Ndoa<p dir="ltr"><br> Habari za siku nyingi Dada mpendwa. Natumaini Mungu bado anakulinda. Na afya yako inazidi imarika kwa neema ya Mungu.<br></p> <p dir="ltr">Dada mpendwa mimi niko katika hali ya sintofahamu, naamini kwako ntapata uvumbuzi.</p> <p dir="ltr">Miaka ya nyuma nilikuwa naishi Bujumbura, nikaanza kupendana na Binti flani. Kwa vile nilikuwa na soma ilinibidi nitoke kidogo ili kujianda kwa ajili ya Mtihani mkuu. Nilipo rudi nikakuta yule Binti ana Mimba ya mwanaume mwingine! <br><br></p> <p dir="ltr">Tangu apo mawasiliano yakakoma. Alipo jifunguwa baadaye akaniomba msamaha nakuhitaji turudiliane tena, nikamsamehe nakurudiliana naye kimapenzi!<br><br></p> <p dir="ltr">Baada ya muda Binti uyo akaitwa na kakaye huko Afrika ya kusini(South Africa) ili aende kusoma na kuniacha Bujumbura! <br></p> <p dir="ltr">Alivyofika huko mawasiliano yetu yakaendelea lakini baada ya muda yakazimika kwamba simu yake ikawa haipatikani!<br><br><br></p> <p dir="ltr">Jinsi muda ulivyokuwa unakwenda na mimi nikajaaliwa kwenda Africa ya Kusini(South Africa). Siku moja nilipokea simu ya yule mwana dada niliyekuwa napendana naye bila kujuwa amepata wapi namba yangu ya Simu!<br><br><br></p> <p dir="ltr">Huku akiniomba turudiane tena wakati alishazaa mtoto mwingine na mwanaume mwingine Afrika ya Kusini(South Africa)!<br> Na amewahi ishi na huyo Baba mtoto kama mumewe. Ila kwa bahati mbaya hawakuweza elewana wakaachana.<br><br></p> <p dir="ltr">Mimi binafsi sikuwa namfikiria tena na nilikuwa tayari nilisha pendana na Binti mwinhine ambaye nilikuwa na tarajia kuowa tangu nilipofika Afrika ya Kusini(South Africa). Ila bahati mbaya huyo Binti nilie tarajia kuowa naye kaniotea meno ya juu na mapenzi ya mimi naye yakaisha!<br><br></p> <p dir="ltr">Kwavile nilikuwa katika mahitaji ya kuowa ukizingatia nilie tarajia kuoana naye kaniotea meno ya juu, basi nilikuwa sina jinsi, nilikubali kumsamehe nakurudiliana na yule mpenzi wangu wa zamani ambaye kwa sasa ana watoto wa wili.<br><br></p> <p dir="ltr">Mwana dada huyo ameniomba tuwe mke na mume (tuowane) tusameheane na kusahau yalio pita. <br></p> <p dir="ltr">Kwa kweli na mimi najihisi kumpenda, licha ya disappointments. Pia amekubali kunisaidia katika mpango wangu wakusoma kwavile yeye anafanya byashara na anauwezo kunizidi.<br><br></p> <p dir="ltr">Sasa mimi nina wasiwasi kwa sababu amesha nisaliti mara mbili na kuzaa watoto wawili na wanaume tofauti! Huwa nahisi huenda akajakunisaliti tena baada ya kumpa moyo wangu na kumchukua kama mke wangu.<br></p> <p dir="ltr">Kwa kweli Dada mpendwa nahisi kumpenda nakuwa tayari kumuowa huyo mwana dada licha ya disappointments zilizo tokea na watoto wawili anao sasa! <br><br></p> <p dir="ltr">Ila nazungumuza na nafsi yangu ya kwamba nisisubutu kumkabidhi moyo wangu hadi pale ntakapo ona mapenzi ya dhati kwake.<br></p> <p dir="ltr">Mimi sina mtoto wala sijawahi kucheat. Dada mpendwa je ni busara kwangu kuowa huyo mwana dada? </p> <p dir="ltr">Nini hasa kinaweza nipata kwa siku za usoni? Tafadhali Dada yangu mpendwa naitaji ushauri kwa hali na mali ili nisije kujutia baadaye. Asante kwa msaada wako Mungu akujali.</p> <p dir="ltr">*********<br></p> <p dir="ltr">Dinah anasema: Ni njema kabisa kaka Mpendwa, ahsante kwa ushirikiano.<br><br></p> <p dir="ltr">Huyo mkimama ni mapepe. Sio mwanamke wa kuishi nae kwa kumuamini kama mkeo sio tu kwa vile anawatoto wawili bali jinsi alivyowapata hao watoto wake.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Mara zote anakuterekeza halafu anaenda na mkibaba mwingine na kuzaa.....logically unadhani anafaa kuwa mkeo? <br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Mke/Mume ni mshiriki wako wa kudumu anaepaswa kukuoenda, kukuheshimu na kukuthamini, kuku-support na kukushauri sio kukimbi kwa wanaume/ wanawake wengine kila unapokuwa mbali au kila likapotokea tatizo.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Anatumia "mali" ili akupate kirahisi.....anajua unahitaji la kusimama huko SA pia anajua unahitaji la kuoa baada ya kutolea nje last minute na Moyo wako bado haujapona vema hivyo Kisaikolojia na Kihisia haupo sawa.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Hali hiyo inaweza kukufanya uingie kwenye ndoa au uhusiano ili kujirudishia ile hali ya kujiamini tena baada ya kuachwa. Hali ya kuhisi kuwa unapendwa baada ya uliempenda kuingia mtini.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Ukiachilia mbali hali yako Kihisia na Kisaikolojia.....je ni kweli kabisaaaaa upo tayari kuishi ukiwa unasikia kuhusu Exes na kuona (watoto) wao waliozaliwa baada ya huyo mkimama kukusaliti?<br><br><br></p> <p dir="ltr">Ingeleta unafuu kwa mbali kama aliwazaa hao watoto kabla hamjakutana japo sio rahisi kuishi na mtu ambae ex zake wanahusika kwenye mahusiano na maamuzi yenu kwenye maisha yenu yote yaliyobaki.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Mf: Ex kamuudhi mkeo kutokana na mtoto wao.....mkeo anakununia au kukufokea wewe na mengine mengi.....trust me ni mzigo.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Fact of life(usinihukumu Maisha magumu bana): Sasa kama upo Single Kaka yangu na unahitaji msaada alioku-offer chukua lakini hakikisha humpi Mimba na wala hakutegeshei kushika Mimba na usionyeshe kuwa unataka sana mtoto(jifanye 2 alionao wanatosha) na kubwa lao USIFUNGE NAE NDOA.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Jiwekee mipango inayokwenda na muda kwamba ndani ya miaka miwili nitakuwa nimemaliza Masomo au nimesimama Kibiashara (hakikisha haimuhisishi yeye) Ukikamilisha mipango yako achana nae.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Ni vema kumwambia ukweli kuwa 2 kids ni hell of Mzingo na huwezi kuwa wanakupa kumbukumbu mbaya kila ukifikiria walivyopatikana.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Atakulaumu umemtumia nakadhalika.....ungekuwa kwenye Uhusiano ningekushauri vinginevyo.<br></p> <p dir="ltr">Kila la kheri.</p> KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-74161306847613727902015-03-09T12:18:00.001+03:002023-04-20T14:04:33.945+03:00Utajuaje kama unadanganywa?<p dir="ltr"><br /> Kiufupi nilikuwa ktk mahusiano na mdada mwanzoni tulipendana sana nilijitolea kwa mengi katika umoja wetu. Sasa alianza kubadilika kitabia kiujumla akawa hanijali, msili, hana muda na mimi, ahitaji ushirikiano na mimi.</p><p dir="ltr"><br />Ikafika kipindi nikaanza kuhisi nasalitiwa lakiji nilimvumilia. Sasa nahitaji kujua je huyu Dada ni mkweli kwangu na ananipenda au? maana kuwa karibu na mimi imekuwa shida au tunakuwa tunagombna sana. Nikiwa nahitaji kujua kitu kuhusu yeye lazima tuishie kugombana. Sasa hivi imefika mwaka tupo kwenye mahusiano lakini simuelewi.</p> <p dir="ltr"> </p> <p dir="ltr">Sijawahi kufanya nae mapenzi nae nahisi hiyo ndio sababu ya kufanya haya yote na aliniambia yeye ni Bikra. Pia napenda kujua sifa za Bikra au utatambuaje msichana ulienae ni Bikra au la! na utajuaje kuwa unadanganywa au la!</p> <p dir="ltr">***********<br /></p> <p dir="ltr"><br /></p><p dir="ltr"><b>Dinah anasema:</b> Hello there. Ahante kwa ushirikiano.<br /></p> <p dir="ltr">Umri wa uhusiano wenu ni mdogo sana kujua kama mtu kabadilika. Nadhani hajabadilika isipokuwa hana hisia alizokuwa nazo kwako mlipoamua kuwa pamoja. Nimeondoa sehemu ya maelezo yako ili kukuachia a bit of privacy. Umri wa binti huyo ni mdogo kwa yeye kujua atakacho kutokankwenye uhusiano. Bado yupo kwenye kipindi cha mpito cha kujifunza ujinsia wake.</p><p dir="ltr"><br /></p> <p dir="ltr">Anapata hisia za kutaka kuwa karibu na mwanaume na kuna kuwa na wengi wanavutiwa nae na hivyo anashindwa kujua wapjnpa kwenda na ku commite......hii haina maana kuwa analala nao la hasha....bali wanakuwa kichwani na hivyo kumhuia vigumu kufanya uamuzi.<br /><br /></p> <p dir="ltr">Wanaume wengi kumtaka inampa hali ya kujiamini na haoni tatizo kuachana na wewe kwani kuna foleni. Sasa unapokuwa too demanding na kuanza ku act as if umemuoa au kama Baba au Kaka yake ndio matatizo yanapoibuka.</p><p dir="ltr"><br /></p><p dir="ltr">Anahitaji kuwa huru anapokuwa nje ya nyumbani ambako kuna wafuatiliaji (Baba na Kaka)......sasa kama hapati uhuru kutoka kwako ni wazi atatafuta namna ya kuachana na wewe. Kama bado unataka kuwa na uhusiano huu basi unahitaji kubadilika......badilisha tabia yako ya kuwa too demanding na ku act kama mume kwake wakati sio mume na pengine hutokuwa mume wake.</p><p dir="ltr"><br /><br /></p> <p dir="ltr">Sidhani kama kuyofanya nae mapenzi ndio sababu ya yeye kuwa hivyo alivyo. Nadhani tabia zako kwake ndio zinamsogeza mbali nawe. Kuwa mpenzi na sio Baba au kaka.....punguza maswali na upunguze kumfuatilia. Kujua kama mtu anakudanganya ni rahisi ikiwa unajua kuitumia sixth sense yako. Pia kama umeishi na mtu huyo kwa muda ambao ni zaidi ya miaka 2. Hii ni kwasababu mtu unaeishi nae hawezi kuigiza kwa miaka 3.....lazima atachoka na kuvua Wasifu.</p><p dir="ltr"><br /><br /></p> <p dir="ltr">Baadhi ya watu huingiza kwa muda mrefu ili kupata watakacho au zaidi mpaka wakaipate. Utamjuaje kama ni Bikira? Well hakuna njia zaidi ya kumuamijk kuwa hajawahi kushiriki tendo. Siku ya siku ikifika rudi kwangu uniamjie ilivyokuwa then nitakuambia kama ni mara ya kwanza kwake au siku ya kwanza na wewe.</p><p dir="ltr"><br />Nia na madhumuni ya Uhusiano wa kimapenzi ni kukubalibali kuwa na mtu umpendae na kufurahia umoja wenu. Ikiwa kwenye umoja huo hakuna furaha na unadhani hakuna namna ya kuipata furaha baada ya mazunhumzo na mabadilikonkadhaa basi ni vema kutoka na kuanza upya.</p> <p dir="ltr">Kila la kheri.</p> KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-34441597765158201742015-03-03T17:58:00.001+03:002015-03-03T17:58:45.630+03:00Kazaa na kuolewa kisa Umbali.....nipo radhi kurudiana.<p dir="ltr">Nimatumaini yangu humzima dada dinah pole na kazi unayoifanya ya kutuelimisha.<br> Mm nikijana ninae ishi Mbeya.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda kidogo. Nilikuwa ninampenzi wangu ambaye nimekuwa nae zaidi ya miaka 2 huyu mpenzi wangu alikuwaga rafiki yangu toka utotoni na ukweli tulikuwa tunapendana sana. <br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Na tulikuwa tunamipango mizuri kama wapenzi na nilikuwa kwenye mipango ya kumtambulisha nyumbani kwetu kwa wazazi wangu japo nyumbani wazazi walikuwa wakimfahamu.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Sasa huyu mwenzangu alihitaji kujiendeleza kimasomo na kweli alipata Chuo, kwenda kusoma kwa mwaka mmoja kwahiyo Morogoro ambapo alikuwa anaishi na nduguzake.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Mahusiano yetu yaliendelea vizuri huku tukiwa tunawasiliana na tulikaa mwaka mzima bila yakuonana. Tulijitahidi kuonana lakini fedha ilikuwa kikwazo kwasababu ya umbali hivyo tukakubaliana amalize masomo yake atakapo rudi tutaonana.<br><br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Kama unavyojua mkisha kuwa mbali na hasa wapenzi kukorofishana kupo. Kuna kipindi tulipishana na hatukuwasiliana ndani ya mwezi mmoja ila tulikuja kupatana tukaendelea kama kawaida.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Kumbe ktk kipindi ambacho tulipishana na mwenzangu yeye alipata mwanaume mwingine ambaye alimpa Mimba na kipindi tunasameehana alikuwa tayari ana Mimba na ukweli alinieleza <br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Sasa huyo jamaa aliye mpa Mimba alikuja akamuoa huyo binti na mpaka sasa amejifungua mtoto. Lakini tatizo lililopo kwangu huyu mwanamke muda wote amekuwa akiwasiliana na mimi na amekuwa akiniambia bado ananipenda na hata mimi moyo wangu bado unamuhitaji.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr"> Alikubali kuolewa kwasababu ya ile Mimba maana kuna kipindi alitaka kuitoa ili aendelee kuwa na mimi ila mimi nilimsihi asifanye hivyo.<br><br></p> <p dir="ltr">Naomba ushauri wako dada dinah mimi bado na mpenda huyu mwanamke hata yeye ananipenda na yupo tayari kumuacha huyo mumewe.<br></p> <p dir="ltr">************<br></p> <p dir="ltr">Dinah anasema: Mungu anabariki na ahsante kwa ushirikiano.<br><br></p> <p dir="ltr">Kwanza napenda ufahamu kuwa mwanamke hapewi Mimba bali anashiriki kwa hiari yake tendo ambalo matokeo yake ni mimba. <br><br><br></p> <p dir="ltr">Sio kama mwanamke alimfuata na Mimba kisha akambebesha bali mbegu za jamaa na yai lake ndio Mimba so hakupewa Mimba na bali kashika Mimba. Hilo moja.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Pili....kuna uwezekano mkubwa kuwa aliahidiwa kwenda huko ili akasomeshwe na huyo mkibaba.....kumbuka umesema hukuwa na pesa hata za kufanya mawasiliano.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Kutokana na mahesabu yangu ya ghafla hapa sio rahisi kwa mtu kwenda mahali kusoma na ndani ya mwaka mmoja kushika mimba na kuolewa....ni wazi kulikuwa na kauhusiano kasiko rasmi lakini serious na huyo mjamaa hata kama ulikuwa ule wa Internet sijui whasaap bin facebook na walipokutana ikawa kama wamejuana kwa miaka kadhaa.....uaicheze na Power of mawasiliano ya Kimtandao.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Huyo mwanamke hakuolewa kwa sababu ya Mimba.....alishika mimba kwa vile hakutumia Kinga na ameolewa kwasababu alitaka hiyo Ndoa. <br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Maana kama kweli Mimba ilimfanya aolewe ni wazi hakutaka kulea mtoto bila baba yake.....sasa jiulize kwanini leo akuambie kuwa yupo tayari kuiacha ndoa ili aje kuwa na wewe halafu na wewe uamini?<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Najua unampenda au unahisi kuwa unampenda kwasababu katika umri wako niliouficha ni wazi kuwa unahitaji kusafisha macho a bit more kabla haujajua kama ulipenda huyo Binti au unadhani kuwa ulimpenda.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Umekwisha sema pesa ilikuwa kikwazo sasa je ukirudiana na huyo mwanamke na mzigo wake ambao ni mtoto utakuwa tayari kumsaidia kumlea mtoto huyo in terms of pesa? Au utakuwa fine mwanaume mwenzio kukusaidia kumtunza mpenzio.....Maana watoto ni gharama.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Je? Unampango gani na huyo mwanamke.....unataka tu uhusiano wa nakupenda tangu enzi au unamalengo mengine huko mbele Ndoa ikiwa moja wapo.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Usijekubali aache ndoa aje kwako kisha siku yakimshinda kwako au usipomtimizia mahitaji ya mwanae akulaumu kwa kumharibia maisha yake na mwanae.<br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Nadhani ni vema kukubali tu kuwa hakuna future kati yako na huyo mkimama. <br><br></p> <p dir="ltr">Poteza mawasiliano yale na wewe go out a bit more ukapate penzi la kweli kutoka kwa mtu mwenye kukuthamini jila kujali umbali au kipato.<br><br><br><br><br></p> <p dir="ltr">Akiendelea kukufuatafuata mwambie ungependa kuanza fresh bila kuhofia mtoto wa mwanaume mwingine ulietereza nae nje ya uhusiano wetu.<br><br><br></p> <p dir="ltr">Ka cheat.....kashika Mimba na kaolewa na huyo alieCheat nae bado unataka kurudiana nae? <br></p> <p dir="ltr">Wacha kujishusha chini zaidi ya tumbo la Nyoka......jirudishie heshima na kujiamino kwa KUSONGA MBELE BILA YEYE.<br></p> <p dir="ltr">Kila la kheri.</p> KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.com4