tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post8536881692027620765..comments2023-06-04T11:15:25.464+03:00Comments on Dinahicious-Relationships, Love & Marriage: Ananipenda but ni Jobless....KKMiehttp://www.blogger.com/profile/03913977764860036912noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-3242810584517347839.post-7655376787310948692014-04-01T17:32:16.684+03:002014-04-01T17:32:16.684+03:00Hey, dada!
Hakuna uhusiano kati ya mapenzi na pes...Hey, dada!<br /><br />Hakuna uhusiano kati ya mapenzi na pesa. Unahitaji kumpenda jinsi alivyo bila kuangalia uwezo wake wa kiuchumi. Itakuwaje ukimkuta mvulana ama mme mwenye kuwa na kazi na pesa, ila asikupe mapenzi ? Vivyo hivyo kuna wavulana wanaopenda wasichana wenye kutoka familia zenye kuwa na pesa, huko wakifikiri kwamba watarithi pesa za wakwe wao. Huo ni udanganyifu mkubwa sana.<br /><br />Kwa kweli pesa ni muhimu kwani tunazihitaji kwa kufaulu mahitaji ya kimaisha. Ila wewe na mpenzi wako munaweza kukaa na kuongozana hata mupate njia ya kuzitafuta hizo pesa pamoja. Na mimi kwa upande wangu naona kwamba zile pesa watu wanazo sipata wakiwa pamoja ninafaa sana kuliko zile ulizozikuta. Lakini hayo ni mawazo yangu tu.<br /><br />Ila neno la mhimu tu ninalopenda kulisema ni : umpende yeye njisi alivyo.<br /><br />Ni mimi Lambert.<br />Anonymousnoreply@blogger.com