Romance kuisha

Dada dinna hongera kwa ushauri wako mzuri,mimi naomba kuuliza mnaposema romance hufa kutokana na mwanamke kupoteza mvuto baada ya kujifungua au kuwa na watoto mbona unakuta mwanaume anatoka nje ya ndoa na anakuwa na uhusiano na mke wa mtu ambaye tayari naye ameshazaa na ana watoto je hiyo imekaaje?
Kwenye topic "Kwanini Romance hufa baada ya kipindi fulani kwenye ndoa"
Umesema b

Comments