Nini cha kuzingatia siku ya kwanza?

"Habari za asubuhi dada Dinah, pole na kazi. Nilikuwa naomba mnisaidie mawazo yenu. Mimi ni mwanamke ambae nasoma Chuo kwa sasa na nina maswali yafuatayo:-




1-Sijawahi kufanya tendo hata sikumoja na nina hamu kweli ila tatizo naogopa, naomba masaada.




2- Je! nitakapoamua kufanya ni mambo gani ya kuzingatia kwenye ile siku ya kwanza maana sijui kitu.




3-mambo ya kitandani sijui kabisa, naomba mnipe mastaili ya ukweli mpaka mwenyewe achanganyikiwe.




4-la mwisho da Dinah kama unaweza kunisaidia picha za watu wanafanya majambozi hapo utakuwa umenisaidia.




Kazi njema"

Comments