Nifanye nini ili nami nipate raha na Utamu wa Kungonoka?

"Hey Dinah pole sana ka shughuli na asante kwa kutufundisha wenzangu na mie ambao tumeanza malavidavi kabla ya kufundishwa Unyagoni, maana wengine hatuna Mila za kuingizwa unyagoni basi tuna tabu.

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 na nimeanza kujihusisha na masuala ya kimapenzi na ngono na mwanaume wa kwanza nikiwa na miaka 26, tulikuwa tunakutana mara mbili kwa mwezi na hivyo hatukuwa na muda wa kungonoana vizuri. Mwanaume huyu alikuwa anajipendelea yeye kwani hakuwa na communication na mimi alikuwa anataka anavyotaka yeye.

Sasa hivi nimepata mwanaume mwingine na muda wa kuwa nae na kufanya mapenzi ni mwingi zaidi kuliko awali ila tatizo langu kubwa ni kuwa sijawahi hata siku moja kusikia raha ya kufanya tendo kama ninavyosikiwa kutoka kwa wenzangu au kwako Dinah hasa pale mahali ulipoandika kuwa "mnaweza kukojoa pamoja".

Kukojoa kwangu ni mpaka anichezee K kwa muda mrefu wakati mwingine huwa namuonea huruma kwani nahisi kama vile namchisha na hivyo naishia kumwambia "tayari nimefika" kumbe bado. Nashukuru Mkaka huyu najali na huwa hapendi kuacha mpaka ahakikishe nimekojoa ilandio hivyo tena.

Naomba ushauri kutoka kwenu kwenye haya mawili: (1)-Nifanye nini ili na mimi angalau nifurahie ngono kama wenzangu?

(2)-Niifanye nini ili niweze kumaliza na mwenzangu kwa wakati mmoja?

Asanteni.

Comments

Anonymous said…
Pole kwa kukosa uhondo huo mwenzangu.kwa kweli usikie bomani tu tatizo kama hilo lisimpate mtu.Mimi kama mwanamke mwenzako nakuonea huruma sana. Jamani mboo ni tamu mno kama utianaye naye mmependana na mnajuliana vilivyo du! kuna raha mno mboo inapoikamata kuma na huyo wako akijua kuumudu mchezo na kuwa na viutundu. Jamani nina wangu yaani huwa sitaki hata siku mbili zipite hajanikamatisha maana haisimuliki jinsi ninavyofurahia kuma yangu ikimilikiwa na mboo ya jamaa yangu na kunifikisha kwa manjonjo hasa.

Ushauri wangu mwenzangu, jaribu sana kuwa na muda mrefu sana wa romance kabla hamjaanza kutiana.Yaani mboo inapoingia huko iwe inaenda tu kumalizia sokomoko na si kulianza.Mwambie huyo mlimbwende wako aanze na manjonjo hayo anayoyafanya baada ya kushindwa kuumudu mchezo.

Pia nakushauri mwanamke mwenzangu kuwa na ushirikiano wa kutosha sana mnapofanyiana romance.Kuna tabia mbaya ya sisi wanawake kujiachia hivi na kumwachia mwanaume akupe vitu bila sisi kujituma na kujishughulisha katika kuunogesha mchezo,na matokeo yake ndiyo hayo malalamiko.Unahitaji kuwa mbunifu pia na kujituma vilivyo katika kusakama hiyo raha ili na wewe umpe raha huyo mwanaume wako na si kutegemea mwanaume akupe raha wewe tu.

Kwa jinsi ulivyosimulia kisa chako unaonekana huwa hujishughulishi ili kujiletea raha na kumletea raha mpenzio na matokeo yake anakojoa mapema kabla wewe hujakojoa.Na pia ndiyo maana wewe inakuchukua muda mrefu sana kufika kileleni kwa sababu hujitune katika mchezo huo.

Kuna wakati mimi nikianza kumfanyia viutundu mpenzi wangu huwa anakojoa hata hajanitia, na anapoanza round ya pili jamani nampa utamu na yeye ananipa utamu wa ajabu sana hadi natamani alale usingizi hapohapo bila kuchomoa licha ya kwamba nimefika kileleni.

Kuwa mtundu mwanamke!!!
Joha said…
mmh jamani pole kw kutoenjoy shost, me nadhani wakati mnajiandaa kufanya majambozi jitahidi kuweka mawazo yako yote eneo la tukio, pia fanyeni maandalizi ya kutosha (romance) Hope utaenjoy shost
Anonymous said…
...Unafeel huyo mwanaume?...kiakili kwanza uwe tayari na mawazo yako yawe kwenye tendo..pia je yeye anaridhika...mimi kama mwanaume hata wanawake wapo ambao hawaturidhisha kwani mwanaume kuridhika sio kupiga bao tu kama ingekuwa ni bao hata punyeto si tosha bwana..mapenzi ni mambo meengi ikianza na romance na kiss nzurii na tamu ...ila pia inawezekana mwanaume wako hakuandai vizuri ama wote waoga...
pia inatakiwa uwe muwazi kwa jamaa kumwambia sehemu ambazo ukiguswa unasikia utamu maana jamaa inawezekana hajazisoma...
Mimi cha kwanza kwa mwanaumke na kuwashauri wanaume wenzangu ni kujua wapi ni weak link kwa mwanamke wako yaani ambapo ukimgusa anakuwa hajiwezi tena na hapo ukimgusa kama mboo ipo kumani lazima akojoa au afike kilele na kwa tahadhari hapo sio pa kupagusagusa saaana hapo ni kidogo na muda fulani tu otherwise asema hapo hapo mpenzi...wapo wanawake utasikia hapo hapo..hao mi ndo nataka..muwazi!

sasa dada angezeni mautundu na sio kukimbilia kuingiza mboo kwenye K yako tu..fanyeni pia na styles tofauti sana na badilisheni hata sehemu yaani kitandani kwenye kapeti kwenye kochi na mikao yote..utashangaa kuna moja hiyo inakugugusa panako

Ninavyojua mimi hakuna mwanamke asieweza kufika ila kila mmoja anaweza kuwa na style na sehemu yake ya raha pia maumbile ni muhimu sana kuyajua ..yaani mwanamke bonge au mnene kwa mwaume kama sio mjanja kwenye ngoni unaweza usimfikishe sana na hilo ndio tatizo la kitaifa kwani wanaume wengi hawajajifunzi jinsi ya kutiana na wanawake wanene hasa ukizingatia TZ leo wanawake wanene ni wengi na ndio wanaolalamika hawafikishwi...

gluv hapa

gluv100@yahoo.com
Anonymous said…
JITUME GIRL!! Huo mchezo hauna formula,kwani fomula ni wewe mwenyewe kwanza hata kabla hujamfikiria mpenzio.Jianzie mwenyewe kujiwekea mazingira ya kufaidi na kumfaidisha huyo jamaa wako.

Wakati fulani ukijua kuwa leo kuna kutiana anaza mapema kujiweka mkao wa kula kiasi cha kukufanya uuweke mwili wako katika hali ya mazingira ya kumegana kwa raha zote na mitindo yote itakayokufanya uridhike sana.Ukijenga hisia hizo mapema basi mwili wako utakuwa na uhiari wa kunyegeka na kukufanya ukojoe mapema.

Pia jaribu kubaini ni mkao upi unaweza kukufanya upate utamu murua na ukakojoa mapema.Ipo mikao mingine haifaidishi vizuri,lakini mikao mingine inaleta chachu haraka kiasi cha kukuwezesha kukojoa haraka.Hebu ukiwa na mpenzio jaribi kutumia mikao yote uliyowahi kuisikia halafu ona ni upi unakufanya uione paradiso.

Mimi ni mwanamke mwenzako nilikuwaga na shida ya kukosa uhondo huo lakini mpenzi wangu alipojaribu kutumia mikao nami kubuni mikao mbalimbali niliikuta mmoja ambao unanipeleka mbio kweli kweli hadi nasema nilichelewa wapi kuujua mapema huo??Jamani kutombana na mtu anayekujali na anayekuthamini, na anayekujulia na anayekupenda na kuipenda Kuma yako du!! mtu asikuambie raha iliyopo hapo uongo utupwe pembeni kabisaaa!!Siku mpenzi wangu akisafiri wiki nikimfikiria tu naona hadi Kuma inatetemeka jinsi ninavyo-mfeel kwa kumic gemu.Jitahidi kuwa naye pamoja katika maromance ukitafuta kila aina ya ufundi wako wa kukupa raha.
Anonymous said…
Angalia kwenye screen yako mkono wa kulia chini kuna mahali Dina ameandika MAKALA MAALUM hapo ametoa somo la kina kwa akina mama jinsi ya kufaidi hilo tendo. Kama hukutosheka na hayo maelezo rudia kuuliza.
Anonymous said…
Wakati wa kutiana kata sana kiuno hadi ujione umevunjika kumbe ndo unakojoa.

Pia jaribu kujitafiti ni sehemu gani hasa ya mwili wako au kiungo chako fulani kikishikwa au kupapaswa kinakupa raha mstarehe.

Pia jaribu kuangalia mikao mbalimbali mnapofanya mapenzi.Kwa mfano kuna mkao wa pundamilia, mbuzi kagoma, kifo cha mende, jogoo kawika,kupanda mlima,nipe benuo,tandika chini,mkao wa kitini,Mchomeko,kata kona angalia kifuani nk.Mkao fulani unaweza kuwa unakupa furaha na mnyegeko wa haraka kiasi cha kukufanya ukojoe kwa utamu unaoweza kuupata ukiutumia wakati wa kutiana. Natamani ungekuwa girl friend wangu na una tatizo kama hilo ningekushughulikia vizuri hadi mwenyewe ukubali kuwa kuna wanaume bomba.Mkojoo wa kwanza ungelia ile sauti ambayo hujawahi kuisikia katika maisha yako mwenyewe. Nadhani umekosa uhondo.Hebu muulize mpenzi wangu "Ratma" atakuambia paradiso anayoipata tuwapo mahali pa kutumia viungo vyetu (Mb,maz,mid,Kis,Ulivid,Kuny,kunyonywa,vid,kising, busu za kila eneo na Kuma yenyewe inavyopangiwa vimbwembwe du usianiambie hapo haondoki mtu)
Anonymous said…
jamani yani hata mie nina tatizo hilo sijajua kukojoa wote kwa pamoja me huwa nakojoa wakati ule anaponichezea kabla hajaanza kunitomba ndo huwa nakojoa baada ya hpo sijui kama kuna kukojoa tena labda nakojoa sijui.Plz mtakao changia nijuzeni na mimi
Sakina-Tabata
Anonymous said…
Mmhhhhhhh mdada pole sana. Mimi nakushauri uwe unapanua sana miguu wakati wa kutiana ili mboo iweze kumezwa hadi kisto ikamatike.Pia jitahidi kushikashika kwa bidiii sehemu ile inyokukuna sana unapokuwa kwenye gemu la kutiana.Pia weke fikra zako kwenye kutombana unapokuwa kwenye mchezo kuliko kujaza wasiwasi wa kutokojoa haraka au vipi.

Kabla ya kuanza kutiana hakikisha unaishika na kuichezea sana mboo ya jamaa wako huyo hadi ujisikie kama inajikita kumani wakati hata haijaingizwa.Na Mkianza kutiana ichukue hiyo mboo mwenyewe na kuiingiza kumani baada ya kuitumia kujitekenye nayo kwenye sehemu zote za kuma yako.Hahahahahaaaaaa hapo patamu mwaya utaniambia maana hata mimi ni mwanamke mwenzako nimeyafanyia kazi hayo usipime.

Naamini ukifuata hayo utaonja utamu wa bolo likimiliki kuma utakojoa upesi sana na kufurahia mtombo.
Anonymous said…
Kwanza pole dada na hilo tatizo maana nimateso kwanza kama raha ya kungonoka huisikii.Kwa uzoefu wangu ili uweze kufikia kilele pamoja na mwenzio ua hata kabla ya mwenzio,mawazo yako na akili lazima viwe pale ktk hilo tendo na kuvuta hisia zako za ndani sana ukiwa ktk tendo,pia jaribu kuisikilizia M inapokuwa inakusugua ktk K yako,na kujishugulisha viungo vyako vyote kwa mwenzio hasa kiuno ukikate vizuri si kama unacheza ngoma,ni kiuno cha kufanya mapenzi, si kwa haraka ,polepole na kwa ustadi ili uweze kusisimka na kumsisimuwa mwenzio ili M yake iweze kutanuka kiasi cha kukufikisha.Tena hakikisha unajuwa sehemu ambazo ktk mwili wako mwenzio akizishika unachanganyikiwa mweleze ili mkiwa ktk tendo azitumie kukushika ili zikusaidie kufika kileleni.Pia hii itategemea na size ya maumbile yenu,kama M yake fupi nawe kina cha K yako kirefu hilo ni tatizo linahitaji ufundi zaidi ili aweze kukufikisha.Pia mpate mda mrefu wa kufanya romance.
Anonymous said…
Kwa maelezo yake huyu, inaonesha hana tatizo bali anakosa uzoefu. Mwanamke kufika kileleni ni jambo rahisi mno, japo linachukua mda. Kikubwa hapo ni concentration ya utamu - yaelekea huyu anakumbwa na wasiwasi - kwamba nitakojoa kweli leo?, nitakojoa saa ngapi - jamani mbona yeye kashakojoa mimi bado - oohh jamani namchosha..nk. mawazo kama hayo wakati jamaa akihangaika hayatakaa yakusaidie kufika. Ni kama vile ukilala usiku ukichelewa kupata usingizi - ukishaanza kuwaza mbona usingizi hauji - akili inabaki hapo hapo na hutapata usingizi.
Jifunze ku-relax, kumtamani mumeo, kusikilizia mboo ikikuna mashine yako, ukiwaza jinsi ilivyo tamu, ukimhimiza mwenzio kuingiza zaidi, ama kuchombeza kunako kona, ukibembeleza akupe zaidi, nk, nk. Dina alishawahi kuielezea hii mada - itafute "kuita utamu"
Anonymous said…
sikiliza kama key yako ni safi mwambie jamaa akunyonye k, i'm sure akikunyonya dakik tano tu na kuingiza mboo lazima ukojoe. kingine jaribu fisting hii ni noma na unaweza kuwa adicted maana sizani kamawengi huwa wanatumia
Anonymous said…
pole shosti raha ya kutiwa kukojoa nakushauri mwombe mpenzi wako mfanye sex plays za kuosha kabla hajaingia, hakikisha unakuwa wet kabisa halafu aliingia unabana misuli ya kuma kiasi cha kwamba unakuwa unaisikia mboo pande zote hapo utaguswa sehemu inaitwa "G-spot" bac ng'ang'ania hapo usibadili style mpaka ukojoe.. mawazo yako yawe kwenye utamu na si kusikilizia unakojoa saa ngapi. jaribu hii dia wenda ikakusaidia.
Anonymous said…
Mhh mtoa maoni wa kwanza umenifurahisha, unaandika kama nakuona unaongea vile. Thanx kwa ku-make my day!
Anonymous said…
ndugu wa kona hii nimefurahi kwakumpa huyo mwenzetu ushauri mrua nathan akizingatia atafaidi uhondo
Anonymous said…
Mi nahisi nyie bado hamjajua kutombana. Kwani hata mimi nilivyokuwa nikitombana na boyfriend wangu wa kwanza miaka hiyooooooooooo si sawa na ninavyotombana leo au mapenzi tunayofanya leo na BF wangu mwingine. Na hata siku nilipokutana na BF wangu wa zamani tukakumbushiana naye pia amebadilika mavituz anayoyafanya siyo ya wakati ule. Sasa hivi ni kuitafuna kuma kwa kwenda mbele. Hivyo basi nawe utakuja kuupata utamu wa kungonoka ukishazoea! na kujua style zote!!!!!!!!!!
jeromy E said…
mtoa mada fuatilia kwa makini maoni yote yaliyotolewa then utafaidi kutiana.

jifunze ku-relax sana mnapokua faragha hata kama una matatizo ya kazini au nyumbani kwa mda huo yaache mlangoni kwanza.

mpende mwenza wako mtamani pia

jishughulishe sio umwachie yeye tu ahangaike

jifunze staili ambazo unaenjoy na kuifili mboo vyema kumani

kama uapenda kuzungumza dirty wakati wakutiana ni vizuri inakuongezea nyege na hatimaye unafika mwisho

jaribu kutumia pumzi kubana na kuachia kwa haraka haraka wakati jamaa yupo kumani akikutia wakati huo jisaidie mwenyewe kama kujishika matiti na kuchezea kisimi chako.

jifunze muitikio wa mwili wako katika sehem zote muhimu na unazo furahia kuguswa kwa mikono, ulimi nk then usisite kumwabia jamaa yako ili aongeze ujuzi kwenye sehem hizo.

nakutakia mafanikio zaidi katika kutiana ila pia take care....
Anonymous said…
Pole sana dada yangu kwa kukosa haki hiyo muhimu ambaya kila kiumbe hai haswa sisi wanyama kama nikijitenganisha na mimea ingawa hata yenyewe inafanya uchavushaji. Kikubwa na rahisi ninachotaka kukwambia ni vitu vichache vinaweza kukukwaza ktk jambo hilo muhmu kwa kla mmoja we2. Inawezekana mwenzako huwa anapapara sana kwa kutaka kuzamisha mboo yake amalze haja yake bla kujua utofauti wa maumbile kati ya mwanaume na mwanamke. Endapo bwana wako atajua km ww safari yako ni ndefu zaid yake, angeanza kukupa sapoti (kukuchezea) sehem zote znazoknyegesha na ajiepushe kuweka sehem yote ya inayozunguka mboo yake haigus mwili wako sababu atasisimka na kutaka kumaliza wkt ww bado. Pia km hlo si tatizo kwake basi kama anashindwa kunyonya kuma yako basi anatakiwa aitumie mboo yake kucheza na kisimi chako na ahakikishe asidumu sana eneo hlo coz anaweza kupoteza hamu kabisa ya kufanya tendo. So atatakiwa akimaliza hapo azamishe kdole chake kumani na kuanza kuperuzi maeneo mbalimbali haswa eneo la ukuta wa juu ndani ya kuma. Hapo yy atatakiwa kukuangalia na kugundua umepagawa vp na kugundua km mda wa kuzama umefka au bado. Pia kwa upande wako usiwe na uwoga wa aina yyte juu yake coz ukifanya hvyo unaweza kuijenga hofu hyo hata kwake na kuathiri ufanisi wake. Labda ungefuatilia machache hayo kwa utaratibu mkashrikiana bla kuoneana haya nadhani mtafurahia kupita maelezo. Mimi sina mengi sana mpaka hapo inatosha kiasi flan.
jcaustical@yahoo.com
Anonymous said…
jamani kutombana rahaaaaaaaaaa,milio ya kitandani uhimu sio mnatiana kibubububu tu
Anonymous said…
jitahidi kumpa mwenzio maneno ya romantik na kuwaza ngono tu uwapo kitandani,mi mwenyewe mlokole ila nkiwa kwa bed nampa maneno mume wang ya huba hasa,mfano nitie mpenziiiii.mboo tamu jamaaaaaaaan,ingiza ndani tomba tomba ni yako mine mboro tamuuuuuuu jamani,na yakufanana na hayo dia sio malaya ila ukiwa bed act ova changudoa sifia mshedede wa mmeo na yeye asifie kuma hi,,,kutombana raha asikuambie mtu
Anonymous said…
yaani mi nkitiwa smtm natamani hadi kende ziingie ila ndo haiwezekani kwa raha nnayoipata jamani my p ananikuna vilivyooooooo,jitahidi kumsoma mwenzio ukimjua utainjoy na USIONE HAYA KUMWAMBIA KAMA UINJOY ABADILISHE MANJONJO
Anonymous said…
yaani jamani kuna mchangiaji mmoja amenifurahisha haswa huyo anayeelezea kuchezea m kwenye k yako kiukweli ukiichezea ipasavyo utaupata utamu yaani utakojoa tu kuna utamu wa aina yake kwenye kuchezesha mboo kwenye kuma jaribu naamini utafurahia huo utamu
Anonymous said…
nimefurahi hata mimi kusikia hizo point zote zilizotolewa na wachangiaji. Lakini hilo tatizo hata mimi binafsi ninalo ninakojoa wakati nafanya romance tu, badala ya hapo hakuna kukojoa tena zaidi ya mwenzngu kufikia yeye, na pia ninatatizo lingine la mbegu kumwagika nje akimaliza kukojoa pindi nikitaka kuinuka hata kama baada ya dakika kadhaa kupita, bado mbegu zinatoka nje, je hili ni tatizo au ndo wanawake wote tulivyo mbegu haziendi ndani zinatoka nje au inabidi niwahi chooni na kuzitoa. Naomba nisaidiewe nami hili ni tatizo la uke wangu au
Anonymous said…
nimefurahi hata mimi kusikia hizo point zote zilizotolewa na wachangiaji. Lakini hilo tatizo hata mimi binafsi ninalo ninakojoa wakati nafanya romance tu, badala ya hapo hakuna kukojoa tena zaidi ya mwenzngu kufikia yeye, na pia ninatatizo lingine la mbegu kumwagika nje akimaliza kukojoa pindi nikitaka kuinuka hata kama baada ya dakika kadhaa kupita, bado mbegu zinatoka nje, je hili ni tatizo au ndo wanawake wote tulivyo mbegu haziendi ndani zinatoka nje au inabidi niwahi chooni na kuzitoa. Naomba nisaidiewe nami hili ni tatizo la uke wangu au
Anonymous said…
Zingatia ushauri tu,Utaupata utamu wa kutombana mwenzangu utapenda kila saa mboo iwe ndani ya kuma yako.Kushikashika mboo ya mpenzi wako kwa muda mrefu kabla ya mechi kutakuongezea nyege,papasa papasa mapumbu yake mpaka mboo isimame na we mwenyewe utaanza kujisikia unahitaji mboo iingie,wakati huo yeye akiendelea kukunyonya ulimi na chuchu za maziwa kwa mahaba,ukiona hamu yako sasa imekolea chukua mboo yake iingize kwenye kuma yako taratiibu kama hutaki vile kisha mkumbatie huku mnanyonyana ulimi huku mboo ikiwa ndani jamaa anaingiza na kutoa na wakati huo akili yako inasikilizia miguso ya utamu,kiuno chako unajaribu kukisogeza taratibu kwenye kona unazohisi mboo inakukuna zaidi na pana utamu,hapo usisahau kutoa maneno yanayomhamasisha mpenzi wako....shhh ahaaaa tamuu..ingizaa,ingizaa mpnz,nipe yote mpnz,mboo yako taamu,aah tamu,nitombe aah nasikia rahaaa ingizaa aaaah uuuh nakupenda,Hapo utampagawisha atazidisha manjonjo na hatahakikisha mpaka unakojoa na umepata ile rahaa unayotakiwa kuipata kama mwanamke. nakumbia shoga yangu unaweza kutamani aingize na mapumbu ilivyo tamu,ukilala utapenda ibaki ndani asichomoe.Ushauri wa wnzangu changanya na haka kamchezo Utaipata ya kutombana shost.
Anonymous said…
He mm sikujua kama wanawake mnafahamu namna yakusikia utamu wakufanya mavituuz!! pengine tatizo wanawake wengi wanawaonea haya waume zao kwa kudhani kwamba ww ni malaya au mhuni acheni hizo, nimefurahi sana kuona wachangiaji wengi ni mahiri na stadi wakubwa wa sitaili kadha wa kadha.MM mke wangu ana matatizo kweli hashiki kabisaaa M yangu pia hajishughulishi yy kulala tu,sitaili kwake dhambi, hata nikimchezea kiasi gani ni mhehe kweli,hana moyo huo, labda nikipata mwanamke anayejua haya nami nitafaidi.
mpesifayesu@yahoo.com
Anonymous said…
jaman wanautamu wa dada dinah,nisaidieni natafuta mwanamke wa kunipa raha cjabahatika kuwa na wa moyo nifarijike tutafutane kwenye,0654500731
Anonymous said…
jamani kutombana rahaaa, yaani ww jitahidi kumnyonya mboo sana mumeo , akiwa tayari kutia mpanulie kuma ili uifaidi mboo yote. Mhh utahisi utamu wa mboo na utakojoa tuu.
Anonymous said…
hata mm mwanzoni nilikuwa cjui hata mwanamke anakojoa vp, lkn cku hizi mhhh raha hadi utosini, jaribu kumnyonya sana mpenzi wako ,mpagawishe hasa, akiwa tayari kutomba mpanulie ili mboo iingie vizuri, mhh jamani kutombana raha.
Anonymous said…
Jaman kwel mboo tamuuuuu mno askuambie mtu
Anonymous said…
Mungu akubariki sana dada Dinah na wadau wote kwa mafunzo mazuri,kweli nimejifunza mengiiii.
Anonymous said…
Jamani me ni bikra nifanyaje nisipate maumivu makali?
Anonymous said…
asante sana dada kwanza nakupongeza kwa uvmilivu mi nakshauri usmwache mpnz wako ilo swala n dogo sana...