Nifanye nini ili mimi na mpenzi tukojoe pamoja?-Ushauri

"Hey Dinah pole sana kwa shughuli za mchana kutwa, pili asante sana kwa kutufundisha wenzangu na mimi ambao tumeanza malavidavi kabla ya kufundishwa Unyagoni. Wengine hatuna Mila za kuingizwa Unyangoni basi tuna taabu.

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeanza kungonoka nikiwa na miaka 26 na mwanaume wa kwanza ambaye ndio alinitoa Usichana wangu. Tulikuwa tunakutana kwa mwezi mara 2 hivyo tulikuwa hatuna muda wa kungoana vizuri.

Mwanaume huyu alikuwa anajipendelea yeye hana Commucation na mimi, alikuwa anataka anavyotaka yeye, baada ya muda fulani tukaachana. Sasa hivi niko na mwanaume mwingine ambae kwa bahati nina muda mwingi tu wa kungonoka naye ila tatizo langu kubwa mimi sijawahi hata siku moja kupata raha ya kungonoka.

Nasemea ile raha kama ninavyosikia kwa wenzangu au kwako unavyoandika ushauri kuwa unaweza mkakojoa kwa pamoja sijawahi hata siku moja! Mimi kukojoa kwangu mpaka mpenzi wangu anichezee K tena kwa muda mwingi sana mpaka namuonea huruma.

Basi kwa vile nadhania kuwa namchosha inabidi nimwambie tayari nimefika kumbe bado. Nashukuru sana mwanaume wa watu hapendi niondoke bila mimi kukojoa.Naomba ushauri nifanye nini na mimi niwe napata raha kama wenzangu?

Pili, nifanye nini ili na mimi niweze kumaliza pamoja na mwenzangu?"

Comments

Anonymous said…
pole shost raha ya kutiwa kukojoa, kwa ushauri wangu kwanza search ur self jeh unampenda huyo mwanaume kwa dhati maana kama mtu humpendi huwezi kuckia raha ya mapenzi.. pili pindi mngonoanapo weka mawazo yako yote kwenye tendo husika, jitahidini muwe na maandalizi ya kutosha(romance) tatu kuwa muwazi mwambie mpenzi wako unafurahia akikushika wapi, unataka akufanyie nn, i think ukijaribu mambo haya yatahelp kidogo....ikishindikana find sexiologist
Anonymous said…
Pole dada yangu, mimi ni kijana wa kiume, kutokana na ufahamu na experience niliyonayo katika masuala haya tatizo la wanawake kutofika kileleni ni kubwa, karibu asilimia sabini na tano ya wanawake unaowaona hawajawahi ku-experience orgasm (mshindo/kukojoa) na wengine ni mara chache sana wamewahi kufika hitimisho. Na hii imesababisha wanawake wengi kujiona labda wana kasoro au wako baridi (frigid)lakini si kweli. Unaweza ukajaribu yafuatayo: (1)Tibu Ubongo wako; ninachomaanisha hapa ni kwamba, brain/akili/fikra ndio kitu cha kwanza kudili nacho, kama uliyenaye ni mtu unayempenda na kum-feel basi muwapo ktk shughuli hakikisha akili na mawazo yako yote yako pale na usifikirie negative things kama "Mmh! Sijui leo nitafika, sijui huyu ataniridhisha, sijui mwili wangu una matatizo au niko tofauti na wenzangu", mawazo kama haya ni destructive. Unaweza ukafikiria ni jinsi gani jamaa anavyokupenda na kukujali, jinsi unavyompenda, vuta picha ya tabasamu lake, concentrate kumsikiliza na kumuangalia jinsi anavyosikia raha, na vitu vya jinsi hiyo.
(2) Zungumza/kuwa huru; wakati wa shughuli yenyewe ziruhusu hisia zako zitembee ktk mwili wako wote ujisikilize kila kona ya mwili wako na mwambie jamaa unajisikia akufanyie nini ktk sehemu gani ya mwili wako, au wakati jamaa anatembea ktk sehemu mbalimbali za mwili wako basi hisia zako zitembee pamoja naye na kama akigusa sehemu utakayojisikia raha zaidi mwambie afanye ziada eneo hilo, kama ni kukupapasa/kukubusu/kukunyonya/hata kama ni kuhema ili ulisikie joto la ile hewa inayoteka mdomoni/puani kwake, mueleze. Wanaume tunafanya mambo mengi sana lakini wanawake lazima mtambue kuwa sisi sio malaika kwamba tutajua kila unachohitaji na jinsi/namna unavyohitaji kukupata. Halafu sio wanawake wote wana hisia za kufanana kwa asilimia mia, mwingine raha/hisia zake kali ziko ktk matiti, mwengine shingoni, mwengine masikioni, kiunoni, mabegani, nyayo na kadharika (with exceptional ya eneo zima la K ambako almost wote wana-feel).
(3)Fundishaneni/elekezaneni utundu mbalimbali; hapa la kwanza kabisa hakikisheni mnapotaka kufanya mambo msikurupuke wala kuwa na pupa, hakikisha jamaa anachukua muda wa kutosha kucheza na mwili wako hadi unatepeta completely kabla Abdala kichwa wazi hajaingia machimbo, unatakiwa uisikie haswa raha kwa kuchezewa tu kwanza hadi inafikia hatua hujisikii tena kuchezewa bali sasa unataka Dulla aingie mzigoni tu na si kinginecho.
Kuna mambo mengi, anaweza akakunyonya kisimi (clitoris) hadi K, ulimi ni silaha moja hatari sana kwa kazi hiyo kutokana na sifa tatu; laini, unatereza na una joto.
Na jambo la mwisho kabisa ni kumsifia mpenzi wako jinsi anavyokufurahisha na kukuridhisha, mpe hamasa ili naye azidi kuwa mbunifu na mwenye bidii, mwambie "mpenzi unanipa raha hadi basi, naomba uendelee kunipa zaidi yaani niwe chizi kabisa kwa mapenzi yako, sidhani kama kuna mwanaume anayekufikia", binadamu wote tumeumbwa tukipenda kusifiwam mfanye atamani kwenda level zaidi ya anazoenda. Na kama siku hakukufikisha usianze kulaumu na kutoa maneno yatakayomfanya akate tamaa na kujiona kama sio mwanaume kamili, usithubutu kumfanya apoteze taste ya kungonoka na wewe. Mfanye ajione yeye ndio yeye kwako aji-feel secure, trust me ataweka bidii katika mengi, sio kitandani tu peke yake.
Homework njema.
Anonymous said…
Pole sana dada yangu kwa hali yako ya kukosa utamu! Mimi pia ni mwanamke nilikuwa na tatizo kama lako lakini baada ya kuelewa ukweli nimeukubali na sasa mamba yanakwenda......... Nakushauri angalie link hii hapa(www.sexasnatureintended.com) majibu yote utayapata!!!!!
Bujashi said…
Hi Dinah? asante sana kwa kutoa elim hii, maana mi binafc nmefaham mengi kuhusiana na namna mbali' kupata utam wkt wa kutombana. OMBI; Jaribu kutoa ufafanuz juu ya style km vile; mkao wa pundamilia, nipe benuo, jogoo kawika, mkao wa kitin, tandika chin, na nyingine nyingi wkt wa kutiana, ili wasomaji 2weze kufurahia zaidi.
Anonymous said…
Suala la kukojoa pamoja kama wote huwa mnafika kilele yaani mwanamke kukojoa/kupiga bao kirahisi basi ni rahisi kwa mwanaume kumanage hiyo..kwani ni suala la mwanaume kuwa smart kuzuia goli lake na kukugonja wewe...

sijajua kwanini unataka mkojoe kwa pamoja na kwanini wewe sio kukojoa kwani mwanaume yeye ni rahisi na ataweza ...

na kama u r looking on how kukojozwa..basi hiyo topic imeisha ongelewa sana just check old post za hapa kwenye blog...

Gluv... gluv100@yahoo.com
Anonymous said…
dina mambo? jamani naangaliaga picha za x naona wanaume wakitemea mate ndani ya kumaa,naamanisha wagie kwenye kuma nalengeshea mate yaingie ndani ya kuma jee mate yanaleta rahaa ?mary
Anonymous said…
Dawa ndogo. Akutayarishe vizuri. Akupige vissi, akunyonye kwapa, kitovu, k*** na t**o (uwe msafi 100%), ndipo akuingie. Pia mwombe akupige finger side B wakati wa zction. Good luck.
Anonymous said…
Pole sana aunt.

kutombwa bila kukojoa is nothing.