Wifi na Shemeji walinishawishi nimuache mdogo wao, sasa najuta!-Ushauri

"Pole dada Dinah kwa kazi ngumu, mimi ni mwanablog wako wa muda mrefu. Nimesoma kisa cha dada Rhoda wa Mwanza aliye sex na shemeji yake na mimi imenitia moyo kusema ya kwangu ambayo na dhani ya kwake ni trailer sinema kamili iko kwangu.

Naomba nisitaje jina langu ila mimi ni mwanamke wa Kichaga nilikuwa na boyfriend wangu miaka ya nyuma ambaye wakati nakutana naye alikuwa anasoma Chuo kimoja hapa Dsm na mimi nilikuwa nasoma Chuo cha mambo ya Hoteli.

Tulikuwa tunapendana sana na kwa kweli yeye ndio alinitoa usichana wangu na kuniingiza katika ulimwengu wa mapenzi. Jamaa alikuwa ni mtu wa mazoezi so alikuwa fit everywhere kitandani. Mammbo yalienda vizuri mpaka kufikia maamuzi yakufungandoa atakapo maliza chuo na kupata kazi.

Kimsingi jamaa alikuwa ananitomba vizuri na alikuwa fit na mpaka niandikapo mail hii sijawahi kutombwa hivyo. Wakati jamaa anasoma alikuwa akiishi kwa kaka (baba zao ni mtu na mdogo wake)yake ambaye alikuwa ameoa na ni mfanyakazi Serikalini.

Lakini kwa bahati mbaya mke wa kaka yake alifariki wakati ambao mchumba wangu alikuwa amemaliza Chuo anatafuta kazi. Namwita mchumba kwa sababu process zote za kutambulishana tulikuwa tumekwisha zifanya.

Baada ya kaka mtu kufiwa na mke wake Wifi ambaye ni tumbo moja na kaka yake mchumba wangu akaanza kunishawishi nimwache mchumba wangu ambaye ni kama mdogo wake ili niolewe na kaka yake ambaye amefiwa na mke.

Kakamtu na dada yake (wifi na shemeji yangu) wakawa wanafanya kampeni kubwa ili mimi nimwache mchumba wangu ambaye ni mdogo wao kwa baba mdogo ili niolewe na kaka yake. Ikafikia mpaka kunidanganya kwamba mama yake mchumba wangu ambaye ni mama yao mdogo ni mchawi.

Nikaanza visa kwa mchumba wangu na baadae nikiamwacha ingawa alikuwa aninipenda sana na yeye alifikiria nimemwacha kwa sababu hana kazi kwani wakati huo alikuwa bado hajapata ajira. Nikaanza mapenzi ya siri na kaka yake bila yeye kujua na mchumba wangu huyo baada ya kunishawishi kwa muda mrefu turudiane akakata tamaa na kutafuta mchumba mwingine na alipopata kazi wakaoana.

Kwa bahati nzuri alihamishiwa Arusha kikazi ndipo mimi na kaka yake tukapata wasaa mzuri wa kuwa huru hapa Dsm na kuatangaza uchumba wetu. Kaka mtu alitumia nguvu nyingi sana kuhalalisha uchumba wetu ingawaje alipata vikwazo vingi sana kutoka kwa ndugu na jamaa waliokuwa wanafahamu kwamba mimi nilikuwa mchumba wa mdogo wake.

Kwa sababu ni mtu mzima (amenizidi miaka 12 kiumri) na ni mtu mwenye uwezo nyumba na magari hakupata vipingamizi vyovyote tukafanya bidii tukafunga ndoa.

Tatizo.
1.
Baada ya ndoa nimekuja kugundua mume wangu huyu hana nguvu za kiume na hii inatokana na uzito mwingi na kunywa pombe kupita kiasi. Mwanzoni wakati tunaoana nilidhania ni tatizo dogo kwa sababu tulikuwa hatuishi wote ila baada ya kunioa mwanume anakaa hata mwezi mboo haisimami.

Nimejaribu kuvumilia nimechoka, nimetamani kwenda nje ya ndoa lakini naogopa kwani mwanaume huyu anawivu na ananichunga sana. Nikikumbuka mchumba wangu wa mwanzo ambaye ni mdogo wake alivyokuwa aninitomba naatamani nimwache nimrudie ila jamaa hataki hata kuniona.

Nimejaribu kumtega hategeki na anaiambia hawezi kuingia kwenye shimo(kaburi) ambalo alishaingia akaokoka au ananiambia hawezi kuingia kwenye shimo moja na kaka yake. Mume wangu ananipa kila kitu nyumbani, chakula, magari, biashara ila mwanamke sitombwi nakaa hata miezi mitatu mume hajui kama nina kuma au sina.

Naombeni ushauri nifanyeje jamani kuachana tunashindwa kwa sababu ya nguvu tuliyo tumiaa kuahalalisha uchumba wetu na ndoa baada ya mimi kumwacha mchumba wangu ambaye alikuwa mdogo mtu.

Dinah anasema: Sahau Ex wako ambae ni mdogo Mume kwani umechelewa hivi sasa na yeye tayari anamke wake hivyo muache aishi kwa amani na hakikisha unadumisha heshima na thamani ya ndoa kw akutoingilia ndoa hiyo ili uwe mfano bora kwa vijana wengi ambao hawajafunga ndoa.

Huyu ni mume wako sasa, iwe uwezo wake wa kungonoka na mdogo au haupo kabisa haibadili ukweli kuwa ni mume wako ambae ulikula kiapo Mbele ya Mungu kuwa utakuwa muaminifu kwake, utaishi nae kwa uzima na maradhi.

Kutokana na maelezo yako ni wazi kuwa Pombe ni sababu kuu ya yeye kushindwa kukuridhisha kimapenzi, kwani pombe inapunguza nguvu za kiume kwa kasi ya ajabu hasa kwa wanaume wenye umri zaidi ya miaka 35.

Sasa wewe kama mke wake ni jukumu lako kuhakikisha jamaa aishi maisha yenye afya ili kuepuka matatizo mengine ya kiafya sio ngono pekee. Zungumza nae kuhusiana na tatizo lake la ulevi, nakuhakikishia akipunguza kunywa pombe uwezo wake wa kungonoka utakuwa mzuri tu.

Vilevile wewe unatakiwa kutuliza mawazo na akili yako juu ya huyo Mumeo na kuwa mbunifu zaidi na kumfundisha mbinu nyingine za kukuridhisha kingono na hivyo kuwa na uhusiano bora wa kingono ambao utawasogeza karibu zaidi na hivyo kuibua hisia za kimapenzi keati yenu...kumbuka ni Mumeo huyo.

2.Watoto aliozaa na mke wake wa kwanza ambaye ni marehemu wameisha kuwa wakubwa na hawanipendi na huwa wananiita Malaya kwa kuchanganya baba yao na baba yao mdogo hivyo ni ugomvi kila siku kwani walipokuwa wadogo walikuwa wanajua mimi ni mchumba wa uncle wao. Nikimwambia baba yao watoto hawaniheshimu anashindwa kuwakemea kwa sababu anawapenda sana.

Dinah anasema: Sio watoto tu wanaokuvunjia heshima nina hakika sehemu kubwa ya familia ya huyo Mumeo wanahisia mbaya sana juu ya uamuzi uliochukua. Huna haja ya kushitaki watoto kwa baba yao kwani wewe mwenyewe ulishindwa kujiheshimu siku ile ulipokubali kuwa mpenzi wa Shemeji yako.

Watoto hao sio tu anawapenda pia kuna huruma ndani yake, watoto kuendesha maisha bila mama yao hapa duniani ni ngumu tayari, sasa kwanini makosa yako mwenyewe yawaongozee ugumu wa maisha?

Jitahidi kuwa mvumilivu na siku ukiweza, jaribu kuweka wazi ni nini hasa kilitokea, waambie watoto hao ukweli kuwa wewe hukutaka kuolewa na baba yao bali baba yao na shangazi yao ndio waliokushawishi uachane na Baba yao mdogo kwa sababu ambazo mwenyewe na mumeo mnazijua. Hii itasaidia watoto hao kuelewa ukweli wa mambo na kupunguza attacks kwako, lakini haitorudisha heshima kwako.

3.Wifi yangu ambaye ndio alinishawishi niachane na mdogo wake niolewe na kaka yake amekuwa adui yangu mkubwa baada ya kuona maslahi aliyokuwa anayapata wakati anafanya kampeni niolewe na kaka yake hayapati tena baada ya mimi kuolewa ananiita mimi opportunist imefata mali za ndugu yake.

Dinah anasema: Mawifi wengi Duniani hivyo ndivyo walivyo, iwe wameshiriki kuharibu au kufanikisha siku zote mke wa kaka yao utakuwa adui tu. Achana nae na focus zaidi kwenye maisha yako na mumeo.

4.Shemeji yangu ambaye alikuwa mchumba wangu amezidi kuwa Handsome na mwili wake wa mazoezi namtamani mpaka namwota usiku anaitomba najaribu kumshawishi angalau anifanye chochote anachotaka mradi anitombe hata mara moja tu amegoma, amejaaliwa uume mkubwa, mgumu na mweusiiii ambapo mume wangu hata ikisimama hamfikii nusu kwani uume wake ni flabby and lazy.

Dinah anasema: Mamaa P hiyo ngono ya mara moja itabadilisha nini? Sana sana hizo dk 20 mpaka ufike kileleni zitamharibia jamaa ndoa yake ambayo sidhani kama angependa iharibike na ndio maana hashawishiki, kwa kifupi baada ya kutendwa na wewe sidhani kama atakuwa na nguvu za kumtenda mkewe na mtu aliemtenda....sijui unanielewa! Hivyo achakupoteza muda wako kumfirikia shemeji yako.

Of cause Ex wako utaendelea kumuona anavutia na anapendeza zaidi, ulimpenda na ulimuacha ukiwa bado unampenda. Mwenyewe umedai jamaa alikuwa fit sasa kama mkewe anamuangalia vizuri na kuhakikisha jamaa anaendelea kupendeza na kuvutia.....utalaumu kweli? Hilo ndio jukumu letu kuu kwenye ndoa....kuwatunza waume zetu kama wao wanavyotutuza sisi...hivyo na wewe fanya the same kwa mumeo. Kama ulikubali

Msinitukane jamani naombeni ushauri.

Ni mimi

P
Dsm. "

Dinah anasema: Asante sana kwa ushirikiano Dada P, nadhani wachangiaji wengi wamegusia points muhimu na hakika umezifanyia na somehow kusaidi kuanza kufanya uamuzi wa busara.

Hapo kuna mawili, Moja baki kwenye ndoa yako na jitahidi kumsaidia mumeo kuacha pombe ili uwezo wake wa kungonoka urudi na vilevile mfundishe/elekeze mbinu nyingine ili ajue namna ya kukurishidha kingono kwa kutumia njia nyingine ili kuongeza ukaribu wenu na kuibua hisia za kimapenzi.

Au, Mtaliki mumeo na kuendelea namaisha yako kama wewe, Mungu akijaali utakutana na mwanaume mwingine na ku-share maisha yenu. Lakini kamwe na ni marufuku kujipendekeza kwa Mume wa mtu, ulipewa nafasi ya kuwa nae lakini ukaichezea na kuipoteza, mwingine kaipata nafasi hiyo hivyo haiwezi kurudi tena kwako......waswahili walisema "Bahati haiji mara mbili".

Bibi yangu alisema " Jenga heshima kwa Ndugu na rafiki wa mumeo ili na wao wakuheshimu, kamwe usirafikiane nao kwa vile tu umeolewa na Ndugu yao"

......sentesi hii inamaanisha kuwa kinachoepusha hisia za kimapenzi kati yako na wanaume/wanawake wengine kwenye familia mbili tofauti ni HESHIMA.

Kila la kheri!

Comments

Anonymous said…
i cant believe it, nadhani naota!
Paul Akwilini said…
TATIZO LENU HAMRIDHIKI NA MMOJA. NA INAVYONEKANA HUYO WA KWANZA ULIKUWA UMESHAMCHOKA UNATAKA MPYA. KAMA MCHUMBA UNAMPENDA KWA DHATI WENGINE HUWA RADHI WAPOTEZE MAISHA YAO KULIKO KUACHANA NA KIPENZI CHA ROHO. SA WEWE ULIFANYA NINI? PIA HUJAWAHI KUONA NA HATA KUSIKIA KWAMBA,MTU AMEJIUA BAADA YA KUACHWA NA AMPENDAE? MAJI YAKIMWAGIKA HAYAZOLEKI ENDELEA KUVUMILIA. KWANI HAO WATOTO WA MKE WA KWANZA ALIWAZAAJE? MI NINAVYOJUA ILI MBORO ISIMAME MPAKA MWANAMKE UNAYEMTOMBA, UNAMPENDA KUTOKA MOYONI. HUYO ALIFIWA NA MKE ANAYEMPENDA. BADO MAWAZO YAKE YAKO KWA MAREHEMU. SA MBORO ITASIMAMAJE KWAKO? NA SI ANAWATOTO? NA HAWO WATOTO ALIWAPATA BADA YA KUMTOMBA MKE WAKE. NA ALIZAAJE KAMA HAIKUWA INASIMAMA? AU NI KWA VILE NI NDOGO NA UMEZOEA KUBWA YAKE INAPWAYA WE UNAHISI LADBDA HAISIMAMI.
Anonymous said…
ahahahahah unalo hilo na ukome na tabia yako ya kutokuwa na msimamo na kuendekeza tamaa. Hata mimi sitamani hata kukusikia achilia mbali kukuona. Hufai hata kwa kulumaingia, kwendaaaaaaaaaa endelea kukaa na hicho kibamia chako manake hata joka la kibisa lina nafuu...sikupendiiiiiiii na nawachukia wanawake wote wenye tabia mbaya na inayonuka kama ya kwako..natamani kweli kukutukana sema nalinda tu maadili ya blog na heshima ya dada DINA mwanamke wa shoka.
Anonymous said…
Jamani,Duniani kuna mambooooo!!!
Anonymous said…
Kwanza pole sana na yaliyokupata. Hata tukikulaumu au kukutukana haitakusaidia zaidi ya kukuongezea machungu.

Kwanza kabisa kubali kumpokea Yesu kuwa mwokozi wako na tububu dhambi zako zote ikiwemo kumuomba msamaha mchumba wako wa zamani. Baada ya kumpokea Yesu, amini kwamba anaweza kumponya mume wako na hilo tatizo alilo nalo. Kwa Yesu yote yanawezekana. Umeshaingia kwenye ndoa, vumilia yote huku ukizidi kumwamini Yesu. Nenda kwenye maombezi. Hapo Dar kuna makanisa yenye watumishi wazuri tu ambao watakuombea na mume atapona. Nenda kwa Mzee wa Upako (Antony Lusekero), kwa Gamanywa au kwa Kakobe. Kutoka nje ya ndoa sio suluhisho la hilo tatizo. Bible inatuambia ndio ni for life, mpaka kifo kitutenganishe. Nakuhakikishia kuwa utakapokabidhi maisha yako kwa Bwana Yesu, kila kitu kitabadirika. Roho Mtakatifu akiingia ndani yako, utakuwa na amani, furaha na upendo kwa mumeo. Na huyo mchumba wa zamani utamsahau kabisa.
Your Sister in Christ from Nairobi.
Anonymous said…
'what goes around comes back' guys we need to be careful. Usimwumize mtu bila sababu zako binafsi,ulimwambia unampenda then u leav him or her behind just for ua selfishnes, kweli!! Hujali ataumia kias gani? Realy inapofikia sehemu ya malipo kama hii its a better place for people like u. Chakufanya tumikia adhabu omba msamaha ila endelea kukaa hapohapo mana one next step unaweza kutana na mengne kama ukimwi n.k. Let it be a lesson to all.
Anonymous said…
Ama hakika wewe umeshika bendera.ila ilishawahi kumtokea marehemu dada yangu alikuwa anatembea na bosi wake na baadaye bosiakaanza kutembea mtoto wa baba yetu mkubwa kweli ilileta uhasama sana ukizingatia dada yangu ndoalie muunganishia kazi na kumtambulisha huyu ni shemeji yako walikuwa wanafanya kazi pamoja.kweli unamtihani ndugu yangu
Anonymous said…
We dada P kwanza kabisa ngoja nikutukane kidogo, ulikuwa na tamaa sana na ulikuwa humpendi kidhati huyo ndugu wa mumeo, na inaonekana ulifata huyo mume kwa ajili ya pesa zake, we adabu yako nunua boro la plastik ujitombe mwenyewe uloyataka ushayapata na mungu pia kakulani kwa tamaa yako, sasa muache jamaa wa watu afaidi maisha yake na mkewe si ulimkataa mwenyewe sasa nyege za nini? Tamaa ya fisi sasa loh!!!!!!!!! Utajiju.
Anonymous said…
Pole sana dada P

Ila ungekaa na kufukiri kabla ya kuamua maamuzi uliyoyafanya na kumbuka umejiabisha kiasi gani hata watoto wako wa kambo hawakueshimu na huyo wifi yako.

Ila jaribu kumshauri mume wako muende hospital ili ijulikane kama ana tatizo lolote ili alau atumie dawa na apate ushauri pia kutoka kwa doctor,coz maisha ya ndoa bila sex ngumu kwa kweli coz ulishayazoea mapenzi ya mdogo wake km unavyoisifia jinsi ilivyokuwa inakufikisha mahala pake.

Na kilichokupeleka huko ww ni tamaa za hizo mali ss kama miezi mitatu hakuna sex je huyo mtt unategemea utakuja zaa lini?coz kumbuka kesho na keshokutwa mumeo bahati mbaya mungu kamchukua watakufukuza ww na bag lako tu kwa maisha hayo mnayoishi hapo so atleast ungekuwa na mtt mmoja alau wangesema kwamba hata ww umezaa nae.

Pole ndio dunia na laiti ungemwambia mchumba wako wa mwanzo haya yote yasingekupata ila tamaa ndio iliyokuponza na usijaib wala kuendelea kumsumbua huyo mchumba wako wa mwanzo coz uliyataka ww mwenyewe iweje shimo umechimba mwenyewe ushindwe toka huko ndani.

Frm Mama chuu
Anonymous said…
ivi watu wengine wanakuwa wanaomba ushauri wa nini?. Mtu ana mke wake unataka aje akutombe wewe ili iweje?. Tuheshimu ndoa za watu jamani na ukimwi upo. Nimempenda sana huyo kaka, mungu aendelee kumpa msimamo huohuo.
Anonymous said…
HAPO HAKUNA CHA KUKUSHAURI, IMEKULA KWAKO.TAMAA YAHELA NDO IMEKUPONZA,HATA KAMA HAUJASEMA, MAANA HUYO ALIYEKUWA MCHUMBA WAKO KWA WAKATI HUO ALIKUWA HANA KAZI, JAMAA ALIYEKUOA ALIKUWA MAMABO SAFI, UKASAHAU HELA ZINATAFUTWA LAKINI MAPENZI YA KWELI HAYANUNULIKI KWA PESA. SASA MTU ATAKUSHAURI NINI HAPO?NA UMESHAOLEWA?UNGEKUWA HAUJAOLEWA NINGEKUAMBIA MUACHE, SASA UKO KWENYE NDOA HALAFU ULIVYO MCHAFU UNAMTONGOZA TENA MDOGO MTU AMBAYE ULIMUUMIZA KUPITA MAELEZO, UNATAKA KUMUHARIBIA NDOA YAKE NA MKEWE WA SASA, USIJARIBU KUFANYA HIVYO. USHAURI WA MSINGI, OKOKA RUDI KWA YESU ,MPE MAISHA YAKO YESU, NAYE ATAKUSAFISHA DHAMBI ZAKO ZOTE NA UMUOMBEE MUMEO NAYE AOKOKE AACHE POMBE, AFANYE MAZOEZI YA MWILI, AACHE POMBE, UJITAHIDI UMPENDE HUYO ULIYE NAYE SASA, MAANA UNALO HILO LIMEKUGANDAA, NA UACHE MAWAZO MACHAFU YA UZINZI, TULIA NA MUMEO.
Anonymous said…
jamani dunia inamambo hii... kweli mkataa pema pabaya panamwita!

ukweli ni kwamba wewe ulikimbilia mali tuu hapo hakuna kingine, kwa maana ulikuwa humpendi wala humfahamu vizuri huyo mumeo wa sasa.
kiherehere na uchu wa mali ndo vimekuponza, wala haukujali mke wake kafa na nini we uliona mali tuu..

na huyo kaka aliyekuacha ulikuwa nae cause alikuwa anakudoo vizuri and nothing else, thats why ulikuwa na confidence ya kumuacha na kuolewa na kaka yake.angekuja mtu mwingine mwenye hela kabla ya huyo kaka yake ungemuacha vile vile cause ur after money.

haya sasa deal na hicho kibamia kisicho simama, mwache mtoto wa watu aenjoy ndoa yake, km unataka kutiwa tafuta mwanaume mwingine huko dar na sio lzm utiwe na mdogo mtu,ur so selfsh we huoni unaendelea kuharibu uhusiano btwn those 2 brothers,just because they never fight doesn't mean they love each other hapo lzm kuna chuki za chini chini, sio rahisi kusahau mtu aliye kuchukulia mchumba wako kwa ubavu wa pesa. ur an idiot!! cjakupenda kabisaa watu km wewe ndo mnafanya wanaume wachukie wanawake wanatuona km sote ni malaya, au vitu visivyokuwa na thamani, hatuna akili za peke yetu.ur such a mess stay way from huyo mkaka wa Arusha.
mdau Ars.
Anonymous said…
Dada P, pole sana na yaliyokukuta ingawa kwa kiasi kikubwa umejitakia ila nakupa pole kwa mateso unayoyapata.

Nakushauri usimtie majaribu mpenzio wa zamani ambaye ni shemejio sasa hivi , kwani watu ndio watazidi kukudharau kwa kuona kwamba bado unawachanganya hao makaka wawili.

jaribu kumsaidia mumeo kwa wataalam wa afya ya uzazi kama atapata nafuu, la kama itashindikana itabidi utafute mbinu mbadala. waweza kujiridhisha mwenyewe kwa toys za kisasa kwa kuwa uha pesa za kuafford na kama hii itakushinda jaribu mutafuta mchizi wa nje aawe anakupa vitu underground. Kwa vile hutaki kuvunja ndoa yako utakua mwangalifu zaidi kwa sababu unachihitaji huko nje hutotaka kukipoteza kwa mumeo kujua au vinginevyo.

Ila jamani kuna wanaume wanajua kutoa mambo hadi unachanganyikiwa na huwezi kumsahau. Mi kuna jamaa nipo nae forabout 8 yeras now toka tupo shule ananipa vitu vya uhakika hadi nachanganyikiwa tatizo nimegundua hana mpango wa kunioa koz sababu hazipo, shule tushamaliza kazi nzuri tunazo ila basi tu. nilikaa muda mrefu naumia na hilo kumuacha nashindwa kwani bado nampenda kupitiliza na nikikumbuka mabo yake naishiwa nguvu . Ila nimeweka nia ya kutafuta mtu mwingine atakaye nipenda kiasi cha kutaka kuishi na mimi kama mkewe , sijui nitaweza ila najaribu tu. Ninachotaka kumaanisha hapa ni kwamba kama kuna mtu alikua nakupa good time kitandani ni ngumu sana kumsahau na unaweza kuwa mtumwa hasa ukiwa huna altenative yake.

Nakutakia kila la kweri katika kutafuta raha duniani, ila kuwa mwangalifu usije ukapoteza kote kote.

Mdada
claire said…
MMMMMMHH DADA ?
SASA NA WEWE MI MPAKA NASHINDWA CHA KUKWAMBIA MANAKE DUUUUUUUUUUUUU !MMH!

SASA WEWE ULIMPENDEA NINI HUYO KAKA MTU ? HIZO PESA ZAKEEEEE AU KITU GANI ?

MAAANA HATA MIMI UNANICHANGANYA HAPA ETI ?

ETI WEWE UNASEMA SHEMEJI NA WIFI NDO WALIKUSHAWISHI , KWANI WEWE HUTUMII AKILI NA HISIA ZAKO HATA KAMA WALIKWAMBIA UOLEWE NAE ? WE C ULIJUA ULIMPENDA NANI ?

SASA MIMI KITU NACHOKWAMBIA UKWELI NI KWAMBA WEWE UMESHACHELEWA SAWA, TUKO PAMOJA MAMA ? KWANI HUYO HANDSOME UNAYEMSEMA AMESHAOA YANI BORA ANGEKUWA HAJAOA , THEN KITU MBAYA ZAIDI HAPO USHATENGENEZA SUMU KWANI ALIYEKUOA NI NDUGU YAKY KABISA ! YANI HAPO ANGELUWA MTU BAKI INGEKUWA AFADHALI BUT NI NDUGU YAKE KABISAAAAA , YANI NI UMEHARIBUUUUUUUUU ! SO HAPO ANA MACHUNGU JUU YAKO NA VILEVILE UMEWAHARIBIA UNDUGU WAO NA MPAKA HAO WATOTO WANAOKWAMBIA KUWA WEWE NI MALAYA COZ WALIJUA WEWE NI AUNT YAO TOKA WAKIWA WADOGO , NDIO MANA HATA HUYO MZEE WAKO ANASHINDWA KUWAADHIBU WATOTO COZ WANAYOYASEMA NI YA UKWELI YANI WEWE NA HUYO MUMEO MMEFANYA MAKOSA.

HUYO HANDSOME WEWE NAKUOMBA UMWACHE TU NA LIFE YAKE NA MKEWE COZ THERE'S NO WAY CHA KUSOLVE HAPO.

KAMA UNAMPENDA HUYO MTU MZIMA WAKO BASI HUNA BUDI KUMPELEKA KWA DAKTARI ILI TATIZO LITATULIWE INGAWA HUJASEMA KUWA TATIZO HILO LIMESABABISHA NA NINI HASA .

ILA MPELEKE TU KWA DOCTA ILI HIZO NGUVU ZIRUDI , OTHERWISE HUNA LINGINE LA KUFANYA !

NB: WE MWACHE TU HANDSOME AISHI KWA RAHA MUSTAREHE NA MKEWE COZ UKISEMA UFANYE JUU CHINI MRUDIANE NDO UTASHANGAZA JAMII ZAIDI COZ KITENDO TU CHA KUOLEWA NA KAKA MTU ULISHAWASHANGAZA TAYARI !

CHUKUA HIYO !
Anonymous said…
Nasikitika saaaana, sijui nikupe pole, sijui nikutukane, lakini maji yakishamwagika hayazoleki. Mimi nionavyo wewe ni kweli ulikuwa opportunist, na kweli hukuwa na msimamo na inaonekana hukuwa unampenda yule mdogo mtu kwa dhati, ndio maana ikawa rahisi wewe kurubuniwa na huyo shemeji yako na huyo wifi yako, umeniudhi, mijiwanawake ya kichagga mnapenda hela msizojua zimepatikana wapi, ona sasa unavyohangaika, hakuna kitu ndani ya nyumba. hivi ulikumbuka kupima ukimwi kweli au ulikuwa ukiwahi hela, manake isije ikawa unalalamikia uwezo wa mmeo bila hata kujua afya ya mumeo.
Nakuuliza uloishawahi kumuuliza mumeo au kuongea naye kuhusu hiyo hali, manake wewe ndio unaumia, na kweli kama anakunywa pombe kupita kiasi itakuwa ngumu, wewe usiumize roho yako kwa kumtafuta yule uliyemuacha utakuwa unadhihirisha kweli wewe ni malaya kama unavyoitwa, kama kweli uliweza kuwachanganya kabla hujawa na msimamo, leo hii umeshafunga ndoa na bado unamkumbuka kijana wako wa zamani huoni kama itakuwa soo mbaya, hilo tatizo mimi naona ni kwa sababu huna mawasilianao mazuri na hilo libwana lako, ongea nalo na kama atakiri kuwa hawezi basi mpelekane kwa wataalamu, manake inaonekana wewe hupendezwi na ahiyo hali.

Tafadhali usimuingilie tena ex boyfriend wako, utamharibia ustaarabu wa ndoa yake na jina lako litazidi kuchafuka na inawezekana pia ukapoteza vyote, manake huyo mumeo akijua itakula kwako moja kwa moja. Tulia bibie, nenda polepole utafute ufumbuzi wa tatizo lako, umevuna ulichopanda! fedha fedheha!!!!
Anonymous said…
dah.life is full of suprises.yani hii itabidi dada dina uitowe filamu yake haki itauza.jamaa changieni.dah.hii kali.mustayoo@yahoo.com
Anonymous said…
Pole na hayo ndo malipo ya tamaa yako, nasema tamaa kwasababu sidhani kama ungekubali kumsaliti yule aliekuwa mchumba wako kama huyo kaka mtu angekuwa maskini lakini kwa kuwa uliona kuna pesa ukaendekeza tamaa ukaacha utu na mapenzi ya kweli.

Na ndo sababu ndoa za sikuhizi nyingi zina matatizo kwasababu wasichana wengi wanaingia kwenye ndoa kisa jamaa ana pesa au kutaka show kwamba na yeye ameolewa.

Ndoa si Fashion Show wala si pesa, bali mapenzi ya dhati na ridhiko la moyo hata kama mnakula mlo mmoja. Nimshashuhudia wanawake wengi wa aina yako walioolewa na wanaume kisa pesa Wanatoka nje za ndoa zao.

Wewe hapo huna ujanja, ushalikoroga linywe tu, hayo matusi unayotukanwa na hao watoto ni sawa yako kwani ni KWELI ulichokifanya ni uchafu mtupu, wewe na huyo mumeo mlidhani mnawafundisha nini hao watoto wakati mnapanga na kufanya huo uchafu wen? nahisi hata baba yao wangekuwa wana uwezo wangemtukana ila wanamstahi kwa kuwa ni baba yao, sasa wewe ndo wa kubeba Matusi yote na ya baba yao kwa kuwa kwao wewe si chochote si lolote.

Nnachoweza kukushauri usiendeleze huo uchafu wako eti unataka utembee tena na huyo ndugu yake uliomuacha kweli shetani kaotesha Mizizi kwenye nafsi yako, Mrudie Mungu wako, Tubu kwa ulilokwisha litenda Na Uombe Rehema zake na Neema zikusaidie kwenye hiyo ndoa yako.
Anonymous said…
Pole...

ulifanya kosa kukubali ushauri na kungonoka na ndugu na mpka kuolewa. mwache mchumba wa zamani aendelee na maisha yake. Umelikoronga dada ss utalinywa!
bombaabrown said…
polee sanaa p...tatizo lako ulikuwa na tamaa tena ya mali, kamaa ulikuwa unatiwa vizuri nini kilikupeleka huko kamaa si pesa, ki ukweli boylover wako wakwanza lazimaa kimuume na anahaki ya kutotaka hata kukuona, ushauri wangu kwako...jaribu kumsahau kabisa kwenye maisha yako, jaribu kukaa na mme wako umueleweshe kuhusu jege zako...ukishindwaa nenda njee ya ndoa ilaa utumie mpira kwani hurithiki. nihayoo 2
Anonymous said…
we dada kitendo ulichofanya cha kinyama na ni tamaa tuu iliyokuponza kwa nini hukusililiza sauti ya Mungu wako? ukasikiliza mafiwi na mashemeji umuchemsha saaaana ninachokushauri mtafutie dawa mumeo za kuongeza nguvu za kiume ili akusugue vizuri.
Anonymous said…
wewe ulijikoroga mwenyewe ila usikate tamaa kama vp tafuta atakaye kusaidia sababu siku moja utakuja baka.
Anonymous said…
tama imekupoza mama, kweli nyie watu wa kazikazini mnatuabisha ndio maana tunaonekana sisi wachaga tunatamani sana pesa. wasomaji hii ni fundisho kwa wanawake na wanaume wote wanafiki wa mapenzi eti unampenda kwasababu ya vitu vya kuisha. sasa ushauri tafuta mwanaume wa kazi umlipe hela akutombe vizuri. sio kwamba natania kama vipi we nipe dili hilo lakini siwezi kukuoa. ukiona vipi bwaga manyanga utapata mtu wa ukweli kila kitu ni pesa utanunua hata mwanaume umtakaye mbona bongo njaa sana lakini sio penzi la kweli pezi la kweli ulishapoteza tena achana na yule msela wa kwanza maana najua ulimumiza sana.
Anonymous said…
Mhhhhhhhhhh kweli makubwa bibie!!!

Majuto ni mjukuu!!

Naamini wewe mwenyewe ulichangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya wakuingie kukushawishi uachane na huyo mchumba wako.nasema hivyo kwa sababu nimegundua kuwa baada ya mke wake kufariki, inaelekea wewe ulijitosa sana kuwa karibu na familia hiyo na labda hata kujituma kufanya vishughuli hapo kiasi kwamba kunaswa kulikuwa ni rahisi na hasa ukizingatia kwamba jamaa anazo kama ulivyosimulia ana magari nyumba nk.

Haingii akilini mwangu kwamba ungeshawishika kirahisi hivyo kama ungekuwa umejitenga mbali wangekupata wapi wakati huo ungekuwa na huyo mchumbao?Bila shaka uliingia kusaidia mno hapo home na kiasi hicho hata hao watoto wakakujua vilivyo na ndiyo maana wanakudharau hivyo na kukusema vibaya.

Kina dada zangu hivi kwa nini wengi wenu mnakuwa na mawazo ya kutojiamini sana???

Wewe dada unataka jamaa yako wa zamani akurudie kukutomba? huoni kwamba unataka kuhatarisha ndoa yake wakati wewe ulimtema kipumbavu?Ulitamani mwenye mali na sasa unaota joto la jiwe?

Huyo kijana namsifu sana kwa msimamo wake kwani ana busara sana.Kumbuka msemo wa wahenga kuwa" Mruka tope hukanyaga mavi"

Cha kukushauri kwa upande wangu ni kuwa usithubutu kutoka kwa huyo jamaa la sivyo utapoteza maisha yako.La maana hapo ni kujitafutia njia mbadala ya kujiridhisha mwenyewe au mshawishi mume wako mumuone daktari kwani shida yake inaweza kutibika kirahisi sana.Pia wewe unahitaji kuwa mbunifu sana namna unavyoweza kumfanya jamaa achangamke na atamani kukutomba.Usimtegemee yeye tu machale yawe yako namna ya kumwezesha.Ukienda nje utafia huko na haitakuwa tiba hata kidogo.

Je umewahi kumwambia juu ya shida hiyo?Na je yeye anajua kuwa ana shida kama hiyo?Muoneni dakitari na akikataa basi nenda mwenyewe ili akupe ushauri wa namna ya kumfanya ili umsaidie na ujisaidie mwenyewe kwa utundu wako unaweza kumsimamisha mboo kabisa na ukapata haki yako.

Wifi kakugeuka licha ya kuwa mtongozaji mkuu na mshawishi.Kweli ulionyesha udhaifu mwenye ndiyo maana walipatia nafasi ya kukuwini kirahisi.Ungekuwa mbali na mazingira yao wasingekupata, na mali umekuponza.

Kwa hiyo hata mtoto hujapata dada?? uliyataka mweineywe.

Kina dada kweli nawahurumia sana maana hamnaga uamuzi wa busara mlio wengi kwani nimeona malalamiko mengi humu kwani hata mlio tu kwenye mahusiano ya kimapenzi mnateswa na wanaume pasipo na sababu badala ya kukimbia mnabaki kubembeleza na huku mnaharibiwa.
Anonymous said…
Duu Dada Pole mwenzangu, yaani hawa watu wanatuweka kwenye wakati mgumu wenzao kama nini.
Rhoda,
Mwz.
fatma said…
shosti polee, daah, mimi nachokushauri, kwanza ujue ulimtenda kijana wa watu kwahiyo sa hv initwa payback tym,and plzzz muache kijana wa watu aenjoy ndoa yake. muonee huruma mwanamke mwenzio, yaani unataka mume wa mtu bila hata haya???
kaa chini na mumeo muongelee hilo tatizo lake,tafakari njia za kuweza kutatua tatizo lenu kama ni hospitali au ni nini, tafuta ushauri wa kuweza kumaidia mume wako sio kutaka mume wamwenzako ambae we ulimtenda. ni hayo tu!!
Anonymous said…
Dada ndiyo umevuna ulichopanda!!!
umekumbuka shuka wakati kumeshakucha. At least it is a good lesson to others
Anonymous said…
Kwa vile mshikaji alikuwa majalala kipindi cha mapenzi yenu ukashindwa kuvumilia ukafuata pesa kwa huyo dingi wala sio kushawishiwa wala nini pesa tu ulifuata na magari ndio hayo unapata, usitamani tena vya wengine vumilia.
Halafu kitu cha kupendeza mshikaji wako wa zamani ana msimamo super kabisa,kama alivyosema "Twenty percenty" kwenye wimbo wake, na mnukuu: "ya nini malumbano ya nini maneno najiweka pembeni naepuka msongamano bora nitulie ningoje changu na mie (mshikaji akatulia kusubiri kinachofanana na yeye) akaendelea mchizi wangu....mola nijalie haya yasijirudie.
(Nakuuliza swali we mdada unataka akurudie ili yajirudie???? maana unaweza kushawishiwa tena ukamuacha kwenye taa.
Mchizi kapata kinachofanana na yeye katulia na wewe ulitaka kinachofanana na wewe umepata tulia, wacha tena kugeuza geuza shingo.
Anonymous said…
Hapo dada huna ujanja,inabidi uwe mpole tu.Na inaonekana ulimkubali hasa huyo jamaa kwa sababu ya pesa na mali alizokuwa nazo,ukaona huyo boyfriend wako ambae hajapata kazi hawezi kukupa kitu.Sasa matokkeo yake ni hayo umeingia katika ambalo huji kina chake kimeishia wapi.Ushauri wangu labda umshauri jamaa mpate tiba asilia ili kusolve hilo tatizo mana sasa itakuwa si ndoa tena.Kingine achana na kuwasiliana na mchumba wako wa zamani mana inazidi kukutia machungu,mpotezee kabisa mawazoni mwako kwani yeye ni lazima atakujibu majibu ya karaha akikumbuka ulivyombwaga.
aminamsemo said…
mtaka yote kwa pupa hukosa yote ! mwache mwenzako afurahie ndoa yake na mke wake kwa raha zake!
Anonymous said…
Kimsingi dadangu unavuta ulichopanda kwani hiyo yote ni matokeo ya tamaa ulitamani mali gari na si mapenzi na tayari gari umepata lakini penzi wala heshima hutopata tena. La msingi mvumilie mume wako na umkubali kama alivyo lakini pia chunguza asijekuwa anliwa tigo, kwani pombe tu haiwezi sababisha mboo isisimame mwezi mzima.
Lakini ktk mail yako umetaja mambo tatu makubwa ambayo unaisi kuwa ndo chanzo, ambayo ni uzito, uume mdoo, na kupungua nguvu za kiume. Nionavyo mimi wewe utakuwa umezalisha tatizo kwani hukumpenda mmeo kwa dhati toka moyoni na matokeo yake ukaanza kugrade mara mboo kibamia, mara one minute man, mara jogoo hapandi mtungi yote haya ni mapungufu ulionyesha. Hivo nakusihii mukubali mmeo kama alivyo na usiache kumwambia unavyojiskia. Nakusema umeshotombwa sana eti hujatombwa kama alivyofanya huo mbeba vyuma wako hii ni kuwa umeathirika kisaikorojia. JIPANGE UPYA utakosa kila kwanza huna mtoto na huyo mueshimiwa hivo unachako usipokuwa makini.
Anonymous said…
CHANZO CHA HII DRAMA YOTE NI PESA. SASA TUMIA PESA ULIZOZIFUATA ZIKUPE UNACHOKIKOSA.
Anonymous said…
We dada bado tena unafanya ushawishi ili ugonoke na mpenzi wako wa zamani ambaye ameoa, tena shemeji yako huona kama unatakakufanya kitendo cha mauwaji pindi kaka yake akijia jambo hilo. yakupasa kukaa nayembali kabisa huyo mdogo mtu, usimlete matatizo we endelea tu kuvuna matunda ya tamaa zako...
Anonymous said…
Dada P.

Nimerudi tena kutoa ushauri wangu.
Nakuomba sana usikatishwe tamaa na matusi uliyotukanwa hapa. Ni kweli ulifanya kitendo kibaya, cha aibu na ni dhambi mbele ya Mungu ku-betray your former mchumba. Ila kwa MUNGU hilo ni jambo dogo sana. Na ni dhambi sawa na nyingine yoyote kama kunywa pombe, uongo, sigara, uzinzi etc. Kwa hiyo usikate tamaa kabisa.
Nakuhakikishia kuwa suluhisho ya shida yako ni BWANA YESU PEKEE. Mpokee YESU atakuokoa na hayo matatizo. Ukishaokoka, Yesu atakupa ROHO MTAKATIFU. Huyo R/M atakupa amani, furaha na upendo kwa mumeo, kwa watoto wa mumeo, kwa wifio na ndugu wa mumeo wote. Bible inasema ktk 2Wakorintho 5:17 "Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya YESU amekuwa kiumbe kipya, yakale yamepita tazama! Yamekuwa mapya" Kwa hiyo, ukimpokea Yesu, yote uliyofanya zamani yatapita na utayasahau. Utaanza maisha mapya na Mumeo ndani ya Yesu. Na kwa NEEMA yake, atamponya mumeo na mtafurahia maisha yenu mapya ya ndoa ndani ya YESU. Mie nina experience na huyo YESU. Mambo anayonifanyia ni makubwa mno. Nina shuhuda kibao!!
Natamani kupata contact zako ili nikupe ushauri wa KIMUNGU zaidi.

Yours, sister from NBI.
Anonymous said…
Hello dada p mimi nakushauri woote achana nao.najua machungu yake lkn huna haja yakuumiza kichwa kila siku mpaka watoto wanafikia kukuita jina hilo.kubali umefanya makosa nayote hayo ni sehemu ya maisha najua ni aibu lkn huna jinsi.kwakuwa huyo baba hujazaa naye bahati mbaya akakutoka utanyanyasika sana bora wangekuwa hawajuani.yaani kwa kifupi umeivurunga familia hakuna amani kati ya mumeo na mdogo mtu ucisikie kuibiwa mume mke inauma sanaa yaani usiombe kwanza jipange ndouachana na huyo mumeo halafu utubu sana kwani mungu ni mwema ataifungua milango ya riziki.mimi binafsi iliisha tokea rafiki ya bf wangu alikuwa ananitaka kwabahati mbaya bf wangu akagundua aliniacha miaka 10 sina mawasiliano naye nasijawahi kukutana naye alihama kwasasa yuko dar-niwa
Anonymous said…
MMMMMMMM SINA HATA LA KUSEMA, SIJUI NITOE POLE AU NISEME NINI, NINA MASWALI MENGI YASIYO NA MAJIBU ANY WAY LABDA NISEME TU VUMILIA NDO DUNIA.
Anonymous said…
WANANCHI NA NYIE MPUNGUZE UKALI JAMANI MTU KATAKA USHAURI KISA CHA KMPA VIPANDE NDO MAANA WENGINE WANAOGOPA KUTUMA VISA VYAO.... NI VIZURI TUKAWA WAPOLE NA WASTAARABU KATIKA KUSHAURI NA MTU KAMA HUNA CHA KUSHAURI SHANGAA KISHA POTEZEYAAA
Anonymous said…
POLE SANA DADA YANGU.NINA MASWALI MENGI YASIYO NA MAJIBU ANY WAY LABDA NISEME TU VUMILIA NDO DUNIA.au niandikie for canceling eutrol@yahoo.com
Anonymous said…
ulivyoona mapesa ya shemeji yako na jumba kubwa ukajua maisha ndio hayo, hukuwazia kua mitombani nayo ina nafasi yake, pole dada, tamaa ya fisi imekutokea puani. ulimuumiza kaka wa watu na wewe onja joto ya jiwe. kutukanwa na watoto wa kambo ndicho unachostahili. ulipewa kijana ukakimbilia baba zima lenye watoto. sasa vumilia, acha kutamani mume wa mwenzio maana ulimkimbia mwenyewe kwa tamaa yako ya mali. kama wewe sio machame line nitashangaa. kula pesa na nyumba ndicho ulichotaka.
magii said…
Tobaa!Nakuonea huruma lakini sio kihivyo sababu umeyataka mwenyewe.Huyo shetani aliyekuingia mara ya kwanza ukamchukua kaka mtu sababu ya mali basi adumu na wewe.Iweje leo akutoke utake kurudi kwa mdogo mtu mwenye ndoa yake taamu tena akimwona mkewe uboo unamsimama anamtandika nalo sawasawa usiku kucha mkewe analia kwa starehe anazozipata bibi ukome tena USITHUBUTU maana nakwambia hapo hutafanikiwa mwanamume akihamisha moyo wake baada ya kutendwa bibi sahau sio kama sisi wanawake.so mwache mwanamke mwenzio apate mahanjumati daily toka kwa mumewe na kwa uzoefu najua atakuwa anamtomba mkewe vilivyo tena kwa nyege zotee yaani anakuona wewe kama fuko la rambo linaropeperuka barabarani bila uelekeo na ndo keshajua unayakosa mambo haki hamna rangi utaacha kuona.Aliyokuwa anakufanyia wewe anamfanyia mkewe cubic tena kwa raha zao.Wewe umelikoroga linywe hapo hakuna kutapika kudadadeki dunia inafundisha.
Anonymous said…
Wacha kwanya nikucheke kwanza dada angu. . Kwa kwa kwa!! ! ! Umefuria kwi kwi kwi!! Cha kufanya hapo ni kumkalisha chini mmeo na umwambie mwenzio nyege nyingi inakuwaje miezi inapita ujanitomba. Umenioa ili nije kufanya nini wakati haki ya ndoa cpati? Au unataka nitoke nje ya ndoa. Hapo hatashituka .Nadhani utatombwa vilivyo. Si unataka kutombwa tu dada?
Anonymous said…
mimi ni mwanaume wa miaka 42 nakataa kwamba pombe inapunguza uwezo wa kutomba,mara zote nikipiga kiraji hata mama uwa makini kwani ni balaa na kwa upande wa uzoefu nilifutana na rafiki yangu mmoja wa miaka sitini na mbili alipiga bacard na kubeba demu ya kibiashara yule dada alifika kileleni zaidi ya mara sita na kuchoka na kuamua kutimua mnamo saa kumi na moja na kusamehee ujira