Ushuhuda wa Mama Rahma! Unakmkumbuka?

"Its me mama Rahma,napenda kumshukuru Mungu kwa afya njema,nilijaribu kwenda kwa Daktari mwingine maana Daktari wangu niliona hayuko intrested kunisaidia nimeamua kutoa Kitanzi sasa nina afya njema najiamini na najitahidi kufanya mazoezi ya misuli ya uke na natarajia kutumia Vinega.

Ushauri wangu kwa wengine ni kuwa waangalifu tunapofanya kitu ambacho Mungu hapendi that's why mtu unapata matatizoada Dinah, sikufichi mapenzi ya mume wangu yalipungua but now he loves me.

Kumbe ile birth control ilinifanya ngozi ya uke iwe laini kiasi kwamba ilipoteza ladha(hali yake ya kawaida) lakini sasa nafurahia tendo kama mwanzo, ty Dada dinah"

Dinah-Mungu ashukuriwe kwa yote, Hongera sana kwa kurudia hali yako ya awali na kufurahia uumbaji wake Mungu. Pia nashukuru kwa kurudi tena nakushuhuida mafanikio yako, karibu tena siku nyingine.

Comments

Anonymous said…
Ndio umuhimu wa kusema wazi matatizo yako kwa Dinah na wadau wengine hongera kwa kufanikia.
Anonymous said…
Dinah anastahili pongezi kwani ndio mwanamke pekee mtandaoni aliyeanzisha haya mambo ya wanawake kujiachia nakuuliza maswali nyeti ambayo zamani yalikuwa adimu kuyaona yakiandikwa au kuzungumzwa.Unasaidia wengi sana kwakweli dada.