Zeze on kuktk

shamim a.k.a Zeze said...
Samahanini ni kazi zilibana tu sasa wacha niwape somo kujifunza kukatika kila siku au kila upatapo muda kaa kitandani lala chali kwa kutumia kiuno chako chora namba 1...2...3....4...5....6 hadi 10 mwanzoni itakuwa ngumu so waweza anza kwa kuchora namba 1-4 baada ya hapo kiuno chenyewe kitakuwa chepesi kiasi kwanza hata ukibeba mzigo juu kitakuwa kinaendatry this then mlete feed back hapahapa kwa mama malavidadavi
2:48:00 PM

Comments

Ash said…
jamani hivi kuna watu wasiojua kukatika? mmmmh haya basi msinishambulie!!!!! kwaherini
Anonymous said…
zeze uko shallow!!hilo ndo somo watu tulikuwa tunasubiri muda mrefu,harafu unaleta 'summary"?its like u r winding up a lesson!any of ur students if at all u were a teacher,wont pass any exam!
Anonymous said…
Jamani zeze utani umekuzidi hebu eleza kwa kirefu watu tuelewe hizo 1 hadi 10 ngumu kuzifanya.
KKMie said…
Kwahiyo ukimaliza 1-10 unarudi kwenye o kwamba unaenda mzunguuko....hehehehe safi sana.

Jaribu akina dada msiojua kukikazunguusha....logically inawezekana kabisa kuchora 1-10 kwa kutumia "movements" za kiuno chako.

Asante kwa ushirikiano Zeze.
Anonymous said…
Piga ua sijaelewa hata naona nitamjeruhi swahiba wangu bure more details please !!!!!or mnapicha basi kwa msisitizo zaidi tuone ?
Anonymous said…
i just recognize this blog few days back and i must say i am very interested. ila dada zeze umeniacha hoi na hiyo 1 - 10 please clarify. tunafanyaje hizo movements? kama unatupa tupe tu usitubanie
Anonymous said…
Zeze kiuno c lazima ujifunze huku umelala zoezi zuri la kujifunza kukatika kaa kwenye kochi fanya kama wasogea mbele hapo anza sas kukikata na njia nyingine always jaribu kukata kiuno mbele ya kioo kila utakapo kuvaaaaa!