Inakuwaje Mkifunga ndoa?


Mnaacha matumizi ya kondom ili kuzuia mimba na magonjwa mengine ya zinaa ambayo sio lazima yatokane na kufanya ngono holela/ovyo na watutofauti bali yanajitokeza kutokana na mkanganyiko wa vimelea (cells) hasa kwa upande wa wanawake?

Tujadili hili.....

Kisha nitakuja na maelezo ya kina ambayo kwa namnamoja au nyingine yatakusaidia au kukupa mwanga ktk maamuzi yako na mwili wako(hasa mwanamke).
ty.

Comments

Anonymous said…
Ghuku ye!

Siku hizi hata huonekani hapa mtaani sijui jogoo limekuwa na wivu sana au ndo elimu kwa fedha. we haya kama waliokufunza walikutoza pesa nasi tulipe lakini kama........Lakini umetuzowesha.
Nilipita kukuswabah ka kaida etu.

Neene nawhukha wagisye wanyoko wuu.
Kila mtu na akili zake...

yaani mimi leo kilichonivutia ni rangi tuu.ya hizo ze kondomu...kwa jinsi simba tulivyoshinda lazima ningetafuta hiyo nyekunde nikasherekee na mai waifu wangu...


Dinah nimepita kukusabahi..siku njema..

Nawahi zangu pantoni kisha nichukue daladala yangu huyooo mapka maeneneo yangu ya kujidai GEZAULOLE center...kwabibiiiiii
Anonymous said…
Naelewa unachosema kuhusu kuvaa au kutovaa kondom baada ya kufunga ndoa.

Lakini naulizaje, dont u think baada ya kufunga ndoa maneno hasa ya kufanya mapenzi ni muhimu sana ? ? Itakuaje hata baada ya ya harusi bado one of the couple atavaa kondom ?

Pengine wangalichek kwa daktari kama wote wako sawa kabla ya kusubiri mpaka ndoa ikamilike.
Anonymous said…
Kuhusu uvaaji wa kondomu hata baada ya ndoa mi nadhani kama kuna kuaminiana wengi wanaovaa kondomu ni kwa ajli ya kuzuia mimba...Kumbuka sio wote wanaopenda utumia pills au chemical contraceptive ya aina yoyote...Na kwa wanaume wako ambao wako tayari kufanya small operation ambayo ni reversable ili kuokoa wake zao katika utumiaji wa madawa ambayo side effects zingine sio za kuepukika...Na kwa hawa wanaume mimi nawapa hongera sana sababu wanaume wengi wanaona contraceptives kama pills etc ni jukumu la mwanamke kana kwamba wao hawana jukumu hili!?Ni muhimu sana kuamua kwa pamoja contraceptive ipi ni bora kwa afya na maisha yenu kwa ujumla kwani ni wote mnaenjoy malavulavu na kama ni kushare responsibilities, wanaume nao wana jukumu hili
Anonymous said…
Simply put, kuvaa kondom na nimefunga ndoa na mke wangu ni ngumu..inahitajika kwanza elimu juu ya matumizi ya condom, tufike mahali ionekane kuwa anayenunua condom haendi kufanya uzinzi/uasherati etc, I mean ionekane kuwa kitu cha kawaida, otherwise bado kuvaa condom kwa maoni yangu kutanipunguzia intimacy na mwenzi wangu....kama kuna ishu ya ugonjwa 'wa kawaida' nadhani the point ni kutibiwa, na please Dinah unaweza kutupa detail za magonjwa ya namna hiyo? najua kuna gungus lakini pia nadhani ukimaintain usafi utasahau mambo hayo! Ni mtazamo wangu tu huo
Anonymous said…
duh kutumia condom ndani ya ndoa kweli ni ngumu. ila kwa upande wangu nilijiribu kuizoe kama kituchakawaida na hata nikitumia napata hisia zote kama sina kutokana na sehemu nilio kulia kuwa sio. ila kwa wasio weza unaweza kupiga njee kama nikukimbia mimba zisizo tarajia ila nayo pia ningumu.

Dada unafanya kazi nzuri sana ya kuelimisha

ninatatzi moja linaniumiza sana kichwa nafikilia jinsi ya kupata msaada toka kwako
Dada Chiku said…
Kondomu ni lazima! Tatizo mwanaume anasema hataona raha unless anakula kavu! Au anasema kama unanipenda kweli utaniruhusu kwenda peku!