Sultan!


Ktk mkao huu mwanamke anakuwa mtendaji mkuu, mwanaume hapa anatakuwa kutulizana, kufuata maelekezo na kusogea akisogezwa,kuvutika akivutwa yaani yeye ni kufurahia utendaji wako (kule kwetu huwa tunafunzwa ku-treat wanaume kama wafalme/watemi) na hii ndio asili ya mkao huu ila sijasema kuwa utawaliwe ei!


Jinsi ya fanya.

Mkae mkiangaliana na wakati huohuo miguu imepanuliwa kwamba yeye atapitisha miguu yake sehemu ya kiuno ha hapo mnaweza kuanza kupeana mahaba kwa kukumbatiana, piagana busu, shikana, kumbatiana, papasana na hata kuambiana yale maneno matamu ambayo ukiwa nje ya chumba ni machafu si wayajua eeh? hey yaongee ikiwa unapenda au anapenda na yanawaongezea hamasa!


Taratibu mlaze mpenzi wako chali kitandani ukiwa katika mkao uleule kwamba uko mbele yake na umepanua miguu yako (yeye akiwa katikati), ikunje miguu yako sehemu ya magoti na nyanyua miguu yake na kuiweka kwenye mabega yako jivute kwa mbele ili mboo ili ikuingie vema.


Ktk mkao huu kiuno kinakwenda vema kabisa kwa vile wewe ndio mtendaji mkuu na yeye atakuwa ametulia tu akisikilizia utamu, huitaji kuharakisha au kumharakisha na badala yake chukua muda kum-pamper huku wamtomba (hey hapo mwanamke anatomba japo hahahah) pia unaweza ukabadilisha mwendo kwa kupiga nje-ndani (nenda mbele na nyuma) taratibu huku ukilamba/nyonya vidole vyake vya miguuni na anapofika kileleni mnyonye kwa kuvuta dole gumba la mguuni ili kumuongezea utamu (baadhi ya wanaume hupenda hiyo hivyo mjaribu na wako).


Kila la kheri ktk kufurahia miili yenu na asante sana kwa ushirikiano wako.


NB: Naomba radhi ikiwa kuna maneno yakiswahili nimekosea alafu mwisho mzuri wa wiki nawatakia ikiwa hatuto

Comments

Anonymous said…
Mambo mpwitompwito hapa jamani Kweli watu tunakuwa na wapenzi nakufanya ngono karibu kila siku lakini tunakimbiliaga kujilaza chati tu badala ya kuwa romantic kidogo.

Lakini Dinah nikwambie ukweli wanaume wengi wa kibongo sio wenye mahaba, wao wanachotaka wakifika chumbani ni kukulaza na kukushughulikia tu sijui kama watakuwa na muda wa kuvumilia hii Sultani.
Anonymous said…
haki yanani vile kumbe mambo matamu hivi lazima nipunguze huu mwili nionyeshe ufundi kwa baba watoto wangu, sio utani hapa mimi sitoweza kabisa Dinah naomba utupe mikao ya kimahaba kwa ajili ya watu wanene.
Anonymous said…
haya mpenz ndiyo maana kuna bag party hapo!! siku hizi ingawa bado wanaume ni wagumu!! hiyo ni culture yetu!!

Nadhani sema sasa hivi tunaendana na utamaduni wa magharibi!! si mbaya ni ktk kwenda na wakati!!

ngono kila siku za nini hilo ni tatizo!! mtu mwenye uwezo wa kufikiri wa kutosha huwezi kufanya mapenzi kila siku kwani utakuwa unajimaliza mwenyewe au labda uniambie unatafuta mtoto tena kwa kipibndi maalum!!

unajua ukifanya kila siku huoni utamu ni sharti ufanye kwa nafasi sio umetoka kazini umechioka bado umekazana mmmh bau weee sharti ufanyapo uwe ktk mood iliyotulia!!

sissemi huwezi kufanya siku za kazi la hasha!!
Mfano weekend naitumia sana ktk shughuli hiyo kwa vile niko huru siowazi kuchelewa kazini au lah!! kama mtalambana basi hadi mtachoka lkn mtaenjoy!! na breakfast unalia chumbgani ktk lovers seat!! utafurahia mwenyewe!! au Sema Dinah nakosea!! aah aah aah dinah usinichape sasa inatosha!!
KKMie said…
Anony wa saa mimbi na ushehe ju kabisa pale, natambua kwa baadhi ya wanaume sio "romantic" hali itakayofanya hii kitu iwe ngumu, lakini mkao huu haujatoka Ulaya au Magharibi ni mmojakati ya mafunzo yanayotolewa kwa wanawake wakubwa tayari kuolewa ndani ya bongo hivyo kuna baadhi ya wanaume wanajua kabisa nini kinaenda kufanywa na hivyo hutulia na kufurahia vilivyo.

Ikiwa unamjua mpenzi wako yeye ni mtu wa kungonoana na sio kufanya mapenzi kila wakati basi ni vema kuambizana kama ujuavyo mawasiliano ni sehemu muhimu sana ya mahusiano yetu ya kimapenzi.

Mueleze nia yako ya kufanya kama nilivyoeleza na hakika hatosumbua.

Asante kwa ushirika wako.
KKMie said…
Anony wa saa tano na dk 33 siwezi kutoa mikao ya watu wanene kwa vile siijui (mimi sio mnene) hivyo sinauzoefu na hilo.

Usikate tamaa kabla hujajaribu, hembu kajaribu kwanza ndio utajua kama utaweza au la!

Kila la kheri na asante kwa kushirikiana nami.
KKMie said…
Anony wa saa tano kasoro dk3, nakubaliana na wewe kiasi na wakati huohuo napinga sio kwa ubaya lakini ni katika kuelimishana sio? hehehe

Kuna watu nyege zao niza kila siku nahivyo wanahitaji kufanya kila siku ikiwa mpenzi yupo "availabo" (available) na hufurahia kama kawaida tu, yaani utamu unapatikana kama ifuatavyo...

Kumbuka kuwa utamu wa ngono hutofautiana kila unapofanya, mfano ukifanya asubuhi hii ukapata utamu kuliko wa jana usiku, ukija fanya tena mchana utajikuta umepata utamu kuliko asubuhi......hii ndio inatufanya tutake kila wakati (sio wote ni wale wenye uwezo mkubwa wa kungonoana....a.k.a ibido).

Asante sana kwa maelezo yako na kwa ushirikiano wako.
Anonymous said…
du kwelii mtalaamu sasa dinah naomba nikirudi TZ pls nikuone unifundishe hayo mambo vipi plssssssss
Anonymous said…
Hello Dinah,
Mimi siyo mnene na siyo mwanamke ila nimesoma watu kama wawili hivi wanene wakiuliza kwamba ni namna zipi wao nao wanaweza kuzitumia katika kufanya mapenzi ili wafurahie. Kutokana na mazoea yangu ya kuwa na wanawake wanene labda waulizaji wajaribu positions zifuatazo :-
FEMALE DOMINANT(FRONT TO FRONT)-hapa mwanaume analala chali huku miguu ameinyosha na mwanamke anamkalia huku wakitazamana.Ili kuzuia unene wa matumbo usiingiliane mwanamke inabidi awe kama amejipinda kidogo kwa kurudi nyuma.
FEMALE DOMINANT(BACK TO FRONT)-hapa mwanaume analala kama hapo juu lakini sasa mwanamke anakuwa amemgeuzia mgongo.Kwa style zote hizi inabidi mwanamke azingatie kwamba sababu ya kuchuchumaa anaweza kuchoka haraka.
SIM POSITION-hapa mwanamke analalia ubavu halafu mguu wa juu anaukunja kwa mbele kuelekea kifuani.Mwanaume anamwingilia kwa kupiga magoti huku mguu wa chini wa mwanamke akiwa ameupitisha katikati ya miguu yake.
T SQUARE-hapa mwanamke analala chali na miguu yake anaiinua juu (90 degrees) na kuitanua kabisa kisha mwanaume analala kiubavu nyuma ya matako ya mwanamke akiwa amenyooka na kuuingiza uume wake.
X POSITION-hapa mwanamke analala kama hapo juu lakini sasa miguu yake anaileta ikaribie kifua huku akiwa ameitanua.Mwanaume anapiga magoti huku wakiwa wanatazamana na akishaingiza uume mwanamke anairudiha miguu yake na kuibana pamoja.Mwanaume anatakiwa arudishe mwili wake kwa nyuma awe kama ameegemea vile,mwanamke hapa anapaswa kubana misuli yake ya uke ili uume wa mwanaume usichomoke kirahisi.
STAND AND DELIVER-hapa mwanamke anakuwa kwenye ukingo wa kitanda au amekalia mto kwenye meza huku miguu yake akiwa ameitanua na kuiegesha kila mmoja juu ya kiti.Kisha mwanaume anapiga magoti mbele yake au kama ni meza basi anasimama.Kumbuka kama mtatumia viti basi vitakuwa viwili ili kila mguu uwe juu ya kiti chake.
Zaidi ya hizi ni zilezile za kawaida ingawa doggy-style inaweza kusumbua kama uume wa mwanaume ni mfupi na mwanamke ana matako makubwa sana au uke wake umefichika.
Asante nadhani wenye maswali watakuwa wamepata japo mambo mawili matatu ya kuwasaidia.
KKMie said…
Hey Tien; asante sana kwa maelezo yako kuhusu wadada wanene namikao yakufurahia ngono. Natumaini maelezo yako yatawanufaisha.

SIM imekaa kama "spoon" nadhani nilisha wahi kuielezea hiyo, asante sana nakaribu tena utupe uzoefu wako wa wanawake wanene kuhusu swala zima la ngono.
KKMie said…
Anony wa saa moja na dk 55; unachotakiwa kufanya ni kusoma hapa na kwenda kujaribu na mpenzi wako ili kufurahia utukufu wa miili yenu.

Asante kwa ushirikiano wako.
KKMie said…
Karibu sana Michuzi mdogo na asante kwa ushirikiano wako.
Anonymous said…
Tie min
tuwekee hiyo kitu ktk website na picha zake itakuwa bomba sana !! thanks for ur support
big up dinah
Anonymous said…
mpendwa pole kwa kazi kwanza shukran sana kwa darasa hili maana linatulisha na kutushibisa haswaa
sasa mpnzimie aswali ati majimji ya ukeni ukitaka kuyacontrol unatumia njia gani maana mzee hulalamika kuwa ati mi mbona maji sanaa yani inaniuma kweli hasa akinitamkia tukiwa katikati ya shuhuli nisaidie mpenzi
KKMie said…
Anony wa nne na dk 6, pole sana kwa tatizo la maji mengo ukeni. Mimi binafsi sina uzoefu ila nimewahi kupata maswali kutoka kwa wanaume na wanawake wenye uzoefu(wamekutana na wamama/dada wenye maji mengi au wanawake wenye tatizo hilo kama ulivyoeleza wewe).

Baadhi ya watu huamini kuwa ni maumbile (jinsi ulivyoumbwa), wachache hudhani ni ugonjwa wa zinaa, kwa kawaida ni ngumu kukubali ikiwa hujawahi kushiriki ngono mbovu (nje ya uhusiano wako) lakini kumbuka kuwa ugonjwa wa zinaa unaweza kusababishwa na matubizi ya bidhaa fulani, maji au "material" ya chupi uvaazo bila kusahau matumizi ya madawa ya kuzuia mimba.

Kutokana na maelezo yangu hapo juu na maswali yangu hapa chini unafikiri unaweza kuwa wazi ziadi ili niweze kuwa na uhakika na ushauri wangu kwako?

Umewahi au unatumia aina yoyote ya madawa yakuzuia mimba? Unachangia chombo cha kuogea (ndoo, kopo, beseni, bath n.k.), kuna aina yeyote ya vidonge unatumia au umewahi kutumia hata kama ni vitamins? Je mwili wako ni mkubwa(mnene)?

Nakutakia siku njema.
KKMie said…
Anony wa saa 2:08 asante kwa ushirikianao wako nakaribu sana!
Anonymous said…
Asante dada dina kwa kunijibu mimi anon wa maji ukeni...,ndio nashare vyombo vya kuogea,ni mnene si sana ila ninamatako makubwa na hips mpnzi...madawa ya kuzuia mimba situmii muda wote niwewahi kama mara mbili kutumia morning pills..na huwa nina aleji sana kama nikitumia choo bila kumwagia dawa baada ya mtu kutoka nawashwa sana na pia nikitumia condom nawashwa mnoo mpaka nakuwa mwekundu
aksante dada dina kwa msaada wako majibu yangu ni hayo...
KKMie said…
Asante kwa uwazi wako, kutokana na maelezo yako kunauwezekano mkubwa kuwa ngozi yako haipatani na aina fulani ya "material" kondomz ni mpira na vilevile kuna uwezekano mkubwa kabisa dawa unayotumia kusafisha choo au chombo cha kuogea hazipatani na wewe au umepata/catch an infection kutoka kwa mtu mwingine ambae unachangia na vyombo vya kuogea.

Zungumza na mpenzi wako kuhusu swala hili (mawasiliano muhimu ktk uhusiano) ili kumueka tayari na kupataushirikiano wake.

Ukiongozana na mpenzi wako nendeni mkamuonea Dakitari kwani tatizo hilo limekaa-kaa kitibabu (kutokana na maelezo yako), hakikisha unakuwa wazu kwa Dakitari ili uweze kupata ushauri mzuri na penginge matibabu ya tatizo hilo.

Tafadhali hakikisha unafanya hivyo, kwani huwezi juwa, huenda likawa tatizo kubwa ktk kiungo chako cha uzazi (sikutishi ila dalili nyingine za Saratani ni hizo) hivyo wahi kwa Doc kabla mambo hayajakomaa ei!

Pole sana na asante kwa kuwa muwazi nakuwakilisha wanawake wengine hapa......

Msomajiw a hapa kama unauzoefu na hii kitu tafadhali tupatie ushuhuda ili watu wajifunze via kwako.

Karibu sana.
Anonymous said…
anti mambo. Napenda kukuuliza,girlfriend wangu anapenda kwenye romance nimnyonye matako (mkundu) anafurahia sana mpaka anatoka machozi. hofu yangu, hawezi kuwa anapenda mambo ya kuruka ukuta? ukinijibu kwa sms pia nitafurahi 0787 262106
Anonymous said…
Girl Friend wako analiwa kisamaki ila anashindwa kukwambia. Mjaribu na kidole uone reaction yake. Ukitia kidole na akinyamaza basi huyo anataka umnanihii. Hakuna ubaya wowote kwa watu wazima wapendanao kupeana ngono ya namna hiyo. Mimi girl friend wangu alitaka hivyo kama wako. Sikujizuga, baadaye akasema ukweli kuwa hapandi kileleni mpaka afanywe nyuma na huwa analia kwa raha!!!