Sigina a.k.a saga!

Haya wajameni ngoja sasa nimalizie na ile kitu inaitwa “sigina” au saga, lakini kabla ngoja nikupe hadithi ya mkao huu. Kule kwetu tunatumia zaidi karanga zilizosagwa na kuwa laini sana a.k.a “ntili” kama kiungo kwenye mboga au kuweka kwenye uji badala ya maziwa yaani kama ilivyo nazi ktk mikoa ya pwani.

Sasa ili kusaga hizo karanga mapaka ziwe “ntili” kwamba laini utahitaji muda wa kutosha kufanya hivyo na vilevile kubadili mikao (inategemea na uwingi wa karanga unazo sigina/saga).

Kwa kawaida unatakiwa kukaa na kupanua miguu kisha waweka jiwe katikati ya miguu yako na kuanza “kusigina”, ukichoka unabadili mtindo na hapo unapiga magoti, unapanua kiasi sehemuya mapaja kisha unainamia kidogo mahali lilipo jiwe na karanga juu yake ili uweze “kusigina” vema….yeah naona sasa unaanza kuelewa hehehehehe raha hizi! Huu ndio mwisho wa hadithi yangu, tuendelee sasa na somo la mkao wa kusigina a.k.a saga.

Baada ya kukuru-kakara za kuwekana sawa/tayari kwa kufurahia tendo takatifu, mlaze mpenzi wako juu ya kitanda/mkekani au kwenye sakafu (inategemea mnapenda wapi na usisahaukuwa comfy), panua na wakati huohuo shikilia miguu kitendo kitakachofanya mapaja yake yainuke pia alafu wewe jiweke kati (rejea jinsi ya kusaga “ntili” ukiwa umepiga magoti hapo juu).

Alafu sogeza mikono yako mbele zaidi ili ushike sehemu yake ya mapaja pale ktk ili usije ukaangaka, mara baada ya kuwa kwenye “control” jisogeze mbele ili uume ukuingie ukeni na kisha anza kwenda mbele-nyuma taratibu huku na badilisha mwenda jinsi uwezavyo.

Wakati wewe unafanya hivyo yeye anatakiwa kuzunguusha kiuno (sio wanawake tu tunaotakiwa kukata viuno, wanaume pia mnatakiwa kujua kucheza ngoma ei zile za asilia........hahahahaha mtakoma) au hata kujisogeza huku na huku ili agonge pombe zote za uke na kuwafanya wote mfurahie mnachokifanya.

Ikifikia wakati umechoka au unakaribia kufika kunako utamu basi jaribu kufanya kama vile unamlalia…….bila kuachia miguu/mapaja yake, kufanya hivyo kutasababisha kisimi kiguse sehemu ya juu ya eneo la uume wake na kukusababishia pupate ile wanaita “Double O”.

Nashukuru kwa ushirikiano wako na pia naomba radhi kwa Kiswahili changu kibovu;

Ty.

Comments

Anonymous said…
Dinah

Naomba kuuliza swali moja ambalo mara nyingi nikisoma makala za mapenzi huwa sipati jibu sahihi.

Hivi hisia za wanawake kimapenzi,kwa waume zao au boyfriends zao zinachukua muda gani kuamka. Maana kila mara mwasema wanawake wanachelewa kupata hisia.
Chukulia scenario kuwa hauna idea kama mtafanya mapenzi au la, halafu jamaa anaanza maandalizi ya kufanya mapenzi kama kupapasapapasa, mabusu na vitu kama hivi. Je mwanamke itamchukua muda gani naye kuona kuwa kweli tunaenda kwenye mapenzi kwa wastani.

Nafikiri wanaume wakijua hili pia hakutakuwa na malalamiko, maana kwa mwanaume rijali, yeye ni one kick, yaani akistune kuwa anaenda kwenye mapenzi, hata kabla hajakushika unakuta kitu kimesimama already.

Shukrani
KKMie said…
Mkandamizaji hapo umenichanganya kidogo, unaposema hisia unamaana nyege au zile hisia za mapenzi unapompenda mtu?

Nitajibu swali lako ktk vipengele viwili hisia za kufanya mapenzi(nyege) na hisia za mapenzi (kupenda).

Hisia za kufanya mapenzi a.k.a nyege za mwanamke hutegemeana na muhusika kwani wanawake tuko tofauti kidogo.

Kuna baadhi hupata hamu ya kufanywa (nyege) akikuangalia tu, yaani mvuto wa mpenzi wake/mwanaume, wengine hunyegeka wakikufikiria tu au kufikiria jinsi unavyofamfanyia mambo mkiwa faragha, wachache hutegemea "libido" iko juu/chini, wengine hutegemea na mapenzi yake juu ya mpenzi wake (hawa huwa hawawezi ku-cheat) na vilevile ujuzi wa mwanaume husika mbele ya mpenzi wake ambae ni mwanamke.

Ikiwa mwanamke hana mawazo, hakunakitu kinamsumbua kimwili na kiakili,anaridhika na wewe basi huwa haichukui muda kuwa na nyege.

Hisia hizo za kufanya mapenzi (nyege) kwa mwanamke huchukua sekunde moja mpaka dakika ishirini kutegemeana na hayo niliyoyataja hapo juu.


Kumbuka kuwa wanawake tuko tofauti na wanaume, mwanamke anahitaji hisia za mapenzi, akili yake itulie ili aweze kuwa tayari kufanywa (kuwa na nyege).

Asante sana kwa ushirikiano wako na ni matumaini yangu wasomaji wa hapa wataongeza maelezo ili uweze kuelewa vema.
KKMie said…
Hisia za mapenzi (kupenda) kwa sisi wanawake hazina tofauti sana na hisia zenu wanaume, ila wanawake wengi hutuchukua muda kujikita kwenye shughuli ya ngono mpaka tuhakikishiwe kuwa tunapendwa na mwanaume husika.

Mimi binafsi (old fashion) nina amini kuwa; kujiachia na kuruhusu ngono kabla hujajua uhusiano unakwenda wapi ni kutoheshimu mwili wako na vilevile ni kutojipenda unless unafanya hivyo kwa maana nyingine ambayo si mapenzi kwa maana ya mapenzi.

Kumbuka kuwa utafurahia kungonoana ikiwa tu uko kwenye mapenzi na mtu unaefanya nae kwani kufanya mapenzi/ngono sio wajibu ni mapenzi............ni tendo linalowafanya muwe karibu zaidi kihisia na kimwili, sasa kwanini ufanye na mtu ambae humpendi?

Ndio zenu....wanaume ndio zenu.

Hey Mkandamizaji asante sana kwa uhirikiano wako jioni ya leo.

Karibu tena.

Ty.
Anonymous said…
Nashukuru sana kwa majibu yako Dinah

Naona umejibu kwa upana zaidi swali langu. Mimi nilimaanisha kuwa hisia za kupatwa na nyege, nikimaanisha kuwa tangu mpenzi wako wa kiume anaponyesha kuwa yu katika hali ya kufanya mapenzi.

Kuhusu kupenda nafikiri, uko sahihi, maana hilo linategemeana na vitu vinavyomfanya mtu ampende mwenzake.

Nashukuru sana, namuonea wivu mpenzi wako maana haya unayoyaleta kwenye tovuti yako ni balaa, nafikiri anakumbana na styles kadha wa kadha

Hata hivyo nimekuelewa kuwa wanawake wanaweza kuchelewa kupatwa na nyege kwa sababu akili zao wanakuwa hawajazihamishia kwenye ngono.
Anonymous said…
Hi Dinnah mpenz,baada ya kusoma hii sigina au saga nimepata kitu cha kukuuliza,hv wewe ni wa kwetu tabora?mana najua wanyamwezi husema kitwili na wasukuma husema N'wili,if so nimefurahi uliponikumbusha jinsi ya kusaga karanga kumbe ni moja ya style ya mapenz hahah duu najifunza mengi kutoka kwako dear,asante sana.Kama nimekukera kukuuliza ni mtu wa wapi pia nisamehe.
KKMie said…
Mkandamizaji hakuna matata ikiwa umeridhika na jibu langu la kina....karibu tena!
KKMie said…
Hahahaha Mama Q matata sana!
Dionis said…
dinna,nina swali kwako!kwa uzoefu ulionao,mashavu ya uke kulegea inasababishwa na nini?
KKMie said…
Dionis asante kwa ushirikiano wako, kutokana na ninavyoujua mwili wa mwanamke kupitia mimi (mwanamke)ni kwamba mashavu ya uke ni ile sehemu ya nje iliyovimba na midomo (lips) ya uke (ambayo ndio huanza kulegea) ni ile sehemu/nyama iliyounganika na kisimi(nje ya biology hahahaha).

Ulegevu hutokana na upunguvu wa homono ambao hutokea pale ambapo mwanamke anafikia umri mkubwa/uzee, kama ilivyo ktk sehemu nyingine za mwili wa mwanamke huyo mtu mzima a.k.a mzee.

Lakini nasikia kuwa siku hizi kuna wanawake ambao sehemu hizo zimelegea japo kuwa wako kwenye their 20s au 30s inasemekana sababu kubwa ya ulegevu huo kuanza ngono mapema(chini ya umri wa miaka 21),matumizi ya mara kwa mara ya sanamu za ngono zile zinazo chezea kisimi na sehemu ya nje ya uke.