Kipepeo

Kama unakumbuka niliwahi kuzungumzia mikao ya kukufanya ufike kunako utamu haraka ukisaidiwa na kiungo “’Bo”, vilevile nilielezea kwa kifupi tu kuhusiana mikao itakayoufanya misuli ya sehemu husika kukaza na wakati huohuo kufurahia tendo tukufu ambalo wanyama na ndege tumejaaliwa ila bin’adamu tumependelewa kidogo wewe unasemaje?

Umewahi kuona kuku wakifanyana? Simba je? Vipi mbuzi na ng’ombe? Yaani ni “one sec mnyama husika” mwee, achana na hayo!

Sasa leo naelezea hatua kwa hatua mikao yaki mahaba, unaweza ukawa unapenda nakupendwa lakini hamjawahi kufanyana ktk mikao ya kimahaba. Si unajua pale penzi linapochanganya? Basi unatakiwa kujitahidi na kuuweka uhusiano wako ktk kiwango hicho unless uko na lijamaa kwa sababu zako nyingine na si mapenzi ya kweli.

Mikao ya kimahaba niijuayo mimi si mingi kama ilivyo ya kungonoana (kuna tofauti ya kungonoana, kufanya mapenzi kawaida na kufanya mapenzi kimahaba; tutaeleweshana hili siku nyingine). Lakini unaweza uka-creat mwenyewe kutegemeana na mnavyojuana wewe na mwenza wako.

Mikao ya kimahaba hufanywa taratibu, kwa muda mrefu na kwa hatua hali itakayo kufanya ufurahie kila kitu kuanzia pumzi yake, mgusano wa ngozi zenu, harufu asilia ya miili yenu, mshiko wa viganja venu, ulaini wa midomo yenu, kusikilizia mapigo ya moyo, uzuri namvuto wa macho yenu, tabasamu n.k. hii itakusaidia wewe na mpenzi wako kuwa karibu zaidi na mnaweza kufurahia zaidi kuliko mnavyofanyana kawaida.

Mikao hii ya kimahaba inajulikana kwa majina ya Kipepeo, Sultan a.k.a mtemi, sigina a.k.a saga.

Kipepeo;
Muongoze mpenzi wako; anapaswa kuwa juu ya kitanda/sakafuni/mkekani na kupiga magoti kisha kukaa akiegesha makalio yake kwenye visigino hali itakayofanya makende/pumbu kugusa godolo na uume utakuwa juu kama kawaida.

Wewe unatakiwa kumkalia kwenye mapaja yake na kupitisha miguu yako sehemu yake ya kiuno (hakikisha miguu imegusa godoro/mkeka/sakafu inategemea mko wapi) bila shaka kablya hatua hii mtakuwa mmeisha anza kupigana mabusu ya mate, kupapasana/tomasana hapa na pale, kulambana n.k.

Mnapokuwa tayari (yeye kasimamisha na wewe umekuwa mnyevu) mpenzi wako atapaswa kuinua mguu wa kulia (wakati anafanya hivyo ataku inuka na wewe kumbuka ulikuwa umemkalia mapajani) hivyo atakuwa kasimamia goti moja la kushoto, na wakati huohuo atakuwa kakushikilia kiunoni kwa mkono mmoja na mwingine utakuwa umekushika pegani (atapitisha mkono wake kwapani kwako) kisha atakuingizia mboo.

Unachotakiwa kufanya ktk hatua hii ni kukata miuno ktk pande zote, kutumia misuli ya uke wako kubana na kuachia uume wakati yeye anaingia na kutoka, vilevile unaweza kufanya hivi; akiingiza wewe rudi nyuma yeye akirudi nyuma wewe peleka kidude mbele, si wajua mrindimo wa huu mchezo?

Haya kazi kwako na kila la kheri ktk kuboresha uhusiano wako.

Hee! Kumbe ni usiku hivi?…..Sultani na sigina nitaielezea kukicha. Asante sana kwa ushirikiano na uvumilivu wako, karibu tena!

Comments

Anonymous said…
Duh habari wapenzi woote wa hii blogu yetu kipenzi!!

Hii kitu Dihan ni balaa si mchezo utajisikia kama unakunwa fulani hivi!! jamani hii style nilikuwa sijui jina kumeb ndiyo kipepeo ebu usitucheleweshe unajua tena tunaingia weekend tumwagie hizo mbili zilizobaki dear!!

Thanks kwa wote !!
Anonymous said…
Dinah kipepeo imetulia lakini wanaume wetu hawa wa kibongo walivyo na haraka tutafika popote kweli?
Anonymous said…
Kwa sisi wenye matumbo makubwa na wapenzi wetu wanavitambi tutaweza kweli hii kipepeo? Manaake mtu unajikuta tumbo linaingilia kati starehe.

Dinah mwaya hembu tuambie sisi wenye miili mikubwa tutafanyaje mkao huu?
Anonymous said…
unajua mapenzi siyo kutumbukiza Mboo ktk K sasa hizo vema watu wakajua!! hata ktk dini mafunzo ya ndo yanaeleza kwua hakikishaneni kuwa mmetomasana na kila mmoja wenu ameridhika na mwenzie ni vizuri mkajuana kwani mtakuwa hivyo miaka yote sasa mkiwa kama vitani basi tena!! siyo amefika tu amesimamisha mara anatumbukiza make sure mnaliwazana kimahaba kama dinah anavyoeleimsha hapo!!

maana kumbuka siye wanawake ndiyo tunaumia kama ile sehemu haipata hamasa utachubuka na kuishia kupata maumivu kila siku!! ni lazima uwe mkakamavu mweleze ukweli mwenzi wako ili ajue asipokufanyia hivyo atakuwa hakutendei haki za msingi!! mwanamkie ndiyo mambo yote!!

sisemi niko sahihi sana ila nafikiri ni vyo baadhi tu!!
KKMie said…
Anony wote hapo juu asanteni kwa ushirikiano wenu.

Naona maswali yamejirudia, ili kuokoa muda naomba basi mkasome majibu yangu kwenye sultani hapo juu ya kipepeo!

Asanteni sana.
KKMie said…
Anony wa saa nne na dk46 asante sana kwa maelezo yako.
Anonymous said…
kwa nini usionyeshe picha kabisa hata za kuchora kwani watu tuko tofauti ktk uelewa, naona nakosa raha, halafu wanitia nyege sana kachupi changu sometimes kanalowa, huu ni ushauri tu kama inawezekana, pili nakupongeza sana kwani ili ya kupata nyege haraka ilimradi uwaze unatobwa, mboro tamu, tomba kuma yako aaah waweza kupoga sauti kubwa ya ajabu you know dea
KKMie said…
Nitatafuta msanii wa uchoraji ili achore mchoro ili uelewe vema wewe anony wa saa kumi na nusu hapo juu.

Umenichekesha!
Anonymous said…
huree da dinah na tutawashika sana safari hii mpnzi hii kipepeo nimeifanya kwa utaratibu na ufasaha kidume wangu kachanganyikiwaa si kidogo na zawadi ya chain ya kiuno nimepata shukrani dinah.....God bless u
KKMie said…
Asante kwa kuleta beki ya fidi (feed back), hongera sana kwa kupatiwa cheni ya kunako kiuno.

Tubarikiwe sote sisy!

Tc
Anonymous said…
jitahid 2 utaweza